Ewe kijana wa kiume wakwe zako wa leo ndio maadui zako wa kesho baada ya ndoa hivyo ishi nao kwa akiri

Ewe kijana wa kiume wakwe zako wa leo ndio maadui zako wa kesho baada ya ndoa hivyo ishi nao kwa akiri

Bata batani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
3,217
Reaction score
3,694
Ewe kijana unapoingia katika maisha tambua ya kwamba wakwe zako ndio maadui zako kwani baada ya ndoa na Sterling movie hii ni mke wako sasa naomba unisikilize kwa haya machache

1.wakwe zako wengi huamini nyumbani kwako ndio nyumbani kwao na ndugu zako sio nyumbani hivyo mkeo atatumika kama silaha ya kuangamiza ndugu zako wasikanyage kwako ila ndugu zake tuu .

2.wakwe wengi huamini jukumu la kufanya maendeleo nyumbani kwao kama vile kujenga ukweni,kusaidia na kusomesha mashemeji ni la kwako hivyo mkeo atatumia silaha ya convince power upeleke maendeleo kwao

3.Na ikitokea umepata nafasi ya juu serikalini watahakikisha wanakufanyia kitu ambacho kitakufanya usahau ndugu zako na maisha yako yawe chini yao lengo ni kuhakikisha fursa zote serikalini wakwe ndio unawapa kipaumbele na hapa ndipo mwanamke hupewa silaha nyuklia na mkeo na mama yake kuhakikisha haufurukuti wala kufanya lolote lile .

Mwisho kabisa kama wewe ni mtu wa misimamo usiependa kuendeshwa wakwe zako na mkeo watakuchukia lakini pia hata usipokuwa mtu wa misimamo wakwe zako pia watakuchukia kipindi tiyali umeishiwa watakuona kama threat na mzigo kwao na kwa dada yao hivyo hiyo ndoa wanaona bora ivunjike kuliko kumuona mtoto wao anaishi maisha ya shida na wewe hivyo hata ikitokea mmegombana suluhisho wanaona ni bora muachane lakini kabla ya hujafilisika mkigombana kidogo wakwe hujitahidi kufanya juu chini ndoa yenu isivunjike tena mama mkwe yupo tiyali kukupigia magoti umsamehe mtoto wake .


Mwisho kabisa vijana kuweni makini usione wakwe na mashemeji wanakuchekea juu ya dada yao ukaona unapedwaaa kaa nao kwa akili hao watu
 
Nashukuru ktk familia yetu, tumefunzwa kuwa Dada akiolewa ni kuwa ametoka kwenye ukoo wetu na kuwa ukoo mwingnee. Ila atabaki kuwa ndugu.

Hivyo anakoishi na mumewe sio kwetu, ni kwake yeye, mumewe, watoto na ndugu wa mumewe, ndo maana alichukuliwa kwetu na kupelekwa huko.

Hivyo sisi hatuna hata sababu au hoja ya kuzamia pale, tutaenda kusalimia ila sio kuishi hapo, na wala wao mashemeji sio wajibu kusaidia kwetu, watafanya kwa ridhaa yao pale watakapotaka.

Kwa upande wangu, ndugu yoyote akioa au kuolewa akawa na kwake, ntaenda kusalimia tena kwa nadraa sana, vinginevyo mawasiliano ya simu yanatosha kabisa, sipendi kuwa kero ktk familia ya watu.

Huwa nashangaa ndugu wa mke kuzamia kwa dada yao, hivi wanajisikiajee? Ndo hawa huwa chanzo cha kuvuruga ndoa za watu,

Tabia mbayaa kabisa hii. Siipendi.
 
Dada yangu ameolewa, sijawahi kulaza pumbu zangu kwa shemeji. Familia yetu nzima inaishi kwa kujitegemea japo kwa kipato kidogo.

Naweza nikakaa miezi mpaka 6 nikawasiliana na shemeji, kuonana nae kwa mwaka labda mara mbili au moja tu, kuna kipindi ilipita miaka.

Kwa kweli heshima ipo kati yenu na yake, tena kubwa saana.
 
Kuna watu mna bahati mbaya ya kuoa au kuolewa na familia za ajabu jamani...
Mm toka nimeolewa mama yangu mpk aje kukaa kwetu ni mumbembeleze haswaa na akija hawezi kukaa zaidi ya wiki..ndugu zangu ndo kabisa kila mtu na kwake labda itokee function au mkutane kwny sherehe huko..so hii ishu haiapply kwa familia zingine..yani mama yangu anishawishi ujinga...hahaha na alivyokua strict na amenyooka...dooo hii kali..any way it depends na familia zenyu...
 
Back
Top Bottom