Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
HtrIko hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HtrIko hivyo
Sio kwer kuna umuhimu pia kua kwenye huu utapeliKATAA NDOA + WAKWE+ MASHEMEJI YAANI KATAA KABISA NI UTAPELI
Sahihi kabisa! Duuu R and L ni mzigo aiseeeEwe kijana unapoingia katika maisha tambua ya kwamba wakwe zako ndio maadui zako kwani baada ya ndoa na Sterling movie hii ni mke wako sasa naomba unisikilize kwa haya machache
1.wakwe zako wengi huamini nyumbani kwako ndio nyumbani kwao na ndugu zako sio nyumbani hivyo mkeo atatumika kama silaha ya kuangamiza ndugu zako wasikanyage kwako ila ndugu zake tuu .
2.wakwe wengi huamini jukumu la kufanya maendeleo nyumbani kwao kama vile kujenga ukweni,kusaidia na kusomesha mashemeji ni la kwako hivyo mkeo atatumia silaha ya convince power upeleke maendeleo kwao
3.Na ikitokea umepata nafasi ya juu serikalini watahakikisha wanakufanyia kitu ambacho kitakufanya usahau ndugu zako na maisha yako yawe chini yao lengo ni kuhakikisha fursa zote serikalini wakwe ndio unawapa kipaumbele na hapa ndipo mwanamke hupewa silaha nyuklia na mkeo na mama yake kuhakikisha haufurukuti wala kufanya lolote lile .
Mwisho kabisa kama wewe ni mtu wa misimamo usiependa kuendeshwa wakwe zako na mkeo watakuchukia lakini pia hata usipokuwa mtu wa misimamo wakwe zako pia watakuchukia kipindi tiyali umeishiwa watakuona kama threat na mzigo kwao na kwa dada yao hivyo hiyo ndoa wanaona bora ivunjike kuliko kumuona mtoto wao anaishi maisha ya shida na wewe hivyo hata ikitokea mmegombana suluhisho wanaona ni bora muachane lakini kabla ya hujafilisika mkigombana kidogo wakwe hujitahidi kufanya juu chini ndoa yenu isivunjike tena mama mkwe yupo tiyali kukupigia magoti umsamehe mtoto wake .
Mwisho kabisa vijana kuweni makini usione wakwe na mashemeji wanakuchekea juu ya dada yao ukaona unapedwaaa kaa nao kwa akili hao watu
Hakuna chuo cha kufundisha mahusiano, wewe unapigia mbuzi Gitaa, utacheza weweEwe kijana unapoingia katika maisha tambua ya kwamba wakwe zako ndio maadui zako kwani baada ya ndoa na Sterling movie hii ni mke wako sasa naomba unisikilize kwa haya machache
1.wakwe zako wengi huamini nyumbani kwako ndio nyumbani kwao na ndugu zako sio nyumbani hivyo mkeo atatumika kama silaha ya kuangamiza ndugu zako wasikanyage kwako ila ndugu zake tuu .
2.wakwe wengi huamini jukumu la kufanya maendeleo nyumbani kwao kama vile kujenga ukweni,kusaidia na kusomesha mashemeji ni la kwako hivyo mkeo atatumia silaha ya convince power upeleke maendeleo kwao
3.Na ikitokea umepata nafasi ya juu serikalini watahakikisha wanakufanyia kitu ambacho kitakufanya usahau ndugu zako na maisha yako yawe chini yao lengo ni kuhakikisha fursa zote serikalini wakwe ndio unawapa kipaumbele na hapa ndipo mwanamke hupewa silaha nyuklia na mkeo na mama yake kuhakikisha haufurukuti wala kufanya lolote lile .
Mwisho kabisa kama wewe ni mtu wa misimamo usiependa kuendeshwa wakwe zako na mkeo watakuchukia lakini pia hata usipokuwa mtu wa misimamo wakwe zako pia watakuchukia kipindi tiyali umeishiwa watakuona kama threat na mzigo kwao na kwa dada yao hivyo hiyo ndoa wanaona bora ivunjike kuliko kumuona mtoto wao anaishi maisha ya shida na wewe hivyo hata ikitokea mmegombana suluhisho wanaona ni bora muachane lakini kabla ya hujafilisika mkigombana kidogo wakwe hujitahidi kufanya juu chini ndoa yenu isivunjike tena mama mkwe yupo tiyali kukupigia magoti umsamehe mtoto wake .
Mwisho kabisa vijana kuweni makini usione wakwe na mashemeji wanakuchekea juu ya dada yao ukaona unapedwaaa kaa nao kwa akili hao watu
na wewe umoKataa ndoa, ndoa ni utumwa......
Umeongea ukweli kabisaHuwa nashangaa ndugu wa mke kuzamia kwa dada yao, hivi wanajisikiajee? Ndo hawa huwa chanzo cha kuvuruga ndoa za watu,
Ila wewe everyn🤣🤣Vile ukienda kusalimia ukweni na pesa hauna, unatumwa kupasua kuni.....wewe sasa
View attachment 3133493
cocastic katika moja na mbili ndani ya jfNashukuru ktk familia yetu, tumefunzwa kuwa Dada akiolewa ni kuwa ametoka kwenye ukoo wetu na kuwa ukoo mwingnee. Ila atabaki kuwa ndugu.
Hivyo anakoishi na mumewe sio kwetu, ni kwake yeye, mumewe, watoto na ndugu wa mumewe, ndo maana alichukuliwa kwetu na kupelekwa huko.
Hivyo sisi hatuna hata sababu au hoja ya kuzamia pale, tutaenda kusalimia ila sio kuishi hapo, na wala wao mashemeji sio wajibu kusaidia kwetu, watafanya kwa ridhaa yao pale watakapotaka.
Kwa upande wangu, ndugu yoyote akioa au kuolewa akawa na kwake, ntaenda kusalimia tena kwa nadraa sana, vinginevyo mawasiliano ya simu yanatosha kabisa, sipendi kuwa kero ktk familia ya watu.
Huwa nashangaa ndugu wa mke kuzamia kwa dada yao, hivi wanajisikiajee? Ndo hawa huwa chanzo cha kuvuruga ndoa za watu,
Tabia mbayaa kabisa hii. Siipendi.
Msimbe alieshindikana huyo ataki kujubari kama ngozu inaanza kubadirika 🤣
😂Ngoja aje mkuu utachambwaMsimbe alieshindikana huyo ataki kujubari kama ngozu inaanza kubadirika 🤣