Ewe kijana wa kiume wakwe zako wa leo ndio maadui zako wa kesho baada ya ndoa hivyo ishi nao kwa akiri

Ewe kijana wa kiume wakwe zako wa leo ndio maadui zako wa kesho baada ya ndoa hivyo ishi nao kwa akiri

Mwenye masikio na asikie mwenye akili na aelewe , umenena vyema kijana
 
Ewe kijana unapoingia katika maisha tambua ya kwamba wakwe zako ndio maadui zako kwani baada ya ndoa na Sterling movie hii ni mke wako sasa naomba unisikilize kwa haya machache

1.wakwe zako wengi huamini nyumbani kwako ndio nyumbani kwao na ndugu zako sio nyumbani hivyo mkeo atatumika kama silaha ya kuangamiza ndugu zako wasikanyage kwako ila ndugu zake tuu .

2.wakwe wengi huamini jukumu la kufanya maendeleo nyumbani kwao kama vile kujenga ukweni,kusaidia na kusomesha mashemeji ni la kwako hivyo mkeo atatumia silaha ya convince power upeleke maendeleo kwao

3.Na ikitokea umepata nafasi ya juu serikalini watahakikisha wanakufanyia kitu ambacho kitakufanya usahau ndugu zako na maisha yako yawe chini yao lengo ni kuhakikisha fursa zote serikalini wakwe ndio unawapa kipaumbele na hapa ndipo mwanamke hupewa silaha nyuklia na mkeo na mama yake kuhakikisha haufurukuti wala kufanya lolote lile .

Mwisho kabisa kama wewe ni mtu wa misimamo usiependa kuendeshwa wakwe zako na mkeo watakuchukia lakini pia hata usipokuwa mtu wa misimamo wakwe zako pia watakuchukia kipindi tiyali umeishiwa watakuona kama threat na mzigo kwao na kwa dada yao hivyo hiyo ndoa wanaona bora ivunjike kuliko kumuona mtoto wao anaishi maisha ya shida na wewe hivyo hata ikitokea mmegombana suluhisho wanaona ni bora muachane lakini kabla ya hujafilisika mkigombana kidogo wakwe hujitahidi kufanya juu chini ndoa yenu isivunjike tena mama mkwe yupo tiyali kukupigia magoti umsamehe mtoto wake .


Mwisho kabisa vijana kuweni makini usione wakwe na mashemeji wanakuchekea juu ya dada yao ukaona unapedwaaa kaa nao kwa akili hao watu
Mtu maana kabisa.. uzi bora wa mwezi huu
 
1. Umeoa jamii kutoka ukoo usio elimika.
2. Umeoa ukoo Fukara wangekuwa hata maskini wa kawaida hawawezi kuwa hivyo.
3. Umeoa kutoka familia ya kichawi

4. Umeoa familia yenye laana
 
Ewe kijana unapoingia katika maisha tambua ya kwamba wakwe zako ndio maadui zako kwani baada ya ndoa na Sterling movie hii ni mke wako sasa naomba unisikilize kwa haya machache

1.wakwe zako wengi huamini nyumbani kwako ndio nyumbani kwao na ndugu zako sio nyumbani hivyo mkeo atatumika kama silaha ya kuangamiza ndugu zako wasikanyage kwako ila ndugu zake tuu .

2.wakwe wengi huamini jukumu la kufanya maendeleo nyumbani kwao kama vile kujenga ukweni,kusaidia na kusomesha mashemeji ni la kwako hivyo mkeo atatumia silaha ya convince power upeleke maendeleo kwao

3.Na ikitokea umepata nafasi ya juu serikalini watahakikisha wanakufanyia kitu ambacho kitakufanya usahau ndugu zako na maisha yako yawe chini yao lengo ni kuhakikisha fursa zote serikalini wakwe ndio unawapa kipaumbele na hapa ndipo mwanamke hupewa silaha nyuklia na mkeo na mama yake kuhakikisha haufurukuti wala kufanya lolote lile .

Mwisho kabisa kama wewe ni mtu wa misimamo usiependa kuendeshwa wakwe zako na mkeo watakuchukia lakini pia hata usipokuwa mtu wa misimamo wakwe zako pia watakuchukia kipindi tiyali umeishiwa watakuona kama threat na mzigo kwao na kwa dada yao hivyo hiyo ndoa wanaona bora ivunjike kuliko kumuona mtoto wao anaishi maisha ya shida na wewe hivyo hata ikitokea mmegombana suluhisho wanaona ni bora muachane lakini kabla ya hujafilisika mkigombana kidogo wakwe hujitahidi kufanya juu chini ndoa yenu isivunjike tena mama mkwe yupo tiyali kukupigia magoti umsamehe mtoto wake .


Mwisho kabisa vijana kuweni makini usione wakwe na mashemeji wanakuchekea juu ya dada yao ukaona unapedwaaa kaa nao kwa akili hao watu
Ila kwer mpk Leo wakwe zangu wamekua maji moto🔥🤣🤣🤣
 
Ewe kijana unapoingia katika maisha tambua ya kwamba wakwe zako ndio maadui zako kwani baada ya ndoa na Sterling movie hii ni mke wako sasa naomba unisikilize kwa haya machache

1.wakwe zako wengi huamini nyumbani kwako ndio nyumbani kwao na ndugu zako sio nyumbani hivyo mkeo atatumika kama silaha ya kuangamiza ndugu zako wasikanyage kwako ila ndugu zake tuu .

2.wakwe wengi huamini jukumu la kufanya maendeleo nyumbani kwao kama vile kujenga ukweni,kusaidia na kusomesha mashemeji ni la kwako hivyo mkeo atatumia silaha ya convince power upeleke maendeleo kwao

3.Na ikitokea umepata nafasi ya juu serikalini watahakikisha wanakufanyia kitu ambacho kitakufanya usahau ndugu zako na maisha yako yawe chini yao lengo ni kuhakikisha fursa zote serikalini wakwe ndio unawapa kipaumbele na hapa ndipo mwanamke hupewa silaha nyuklia na mkeo na mama yake kuhakikisha haufurukuti wala kufanya lolote lile .

Mwisho kabisa kama wewe ni mtu wa misimamo usiependa kuendeshwa wakwe zako na mkeo watakuchukia lakini pia hata usipokuwa mtu wa misimamo wakwe zako pia watakuchukia kipindi tiyali umeishiwa watakuona kama threat na mzigo kwao na kwa dada yao hivyo hiyo ndoa wanaona bora ivunjike kuliko kumuona mtoto wao anaishi maisha ya shida na wewe hivyo hata ikitokea mmegombana suluhisho wanaona ni bora muachane lakini kabla ya hujafilisika mkigombana kidogo wakwe hujitahidi kufanya juu chini ndoa yenu isivunjike tena mama mkwe yupo tiyali kukupigia magoti umsamehe mtoto wake .


Mwisho kabisa vijana kuweni makini usione wakwe na mashemeji wanakuchekea juu ya dada yao ukaona unapedwaaa kaa nao kwa akili hao watu
Mama mkwe wako alikuwa anajiuza lazima awe na tabia hizi.
 
Ndio maana huwa tunasema ni bora msingi wa mahusiano ya kimapenzi/ndoa ujulikane mapema mwanamke kapendea nini. Alichokipendea kikitoweka na yeye anatoweka no matter amezaa watoto wangapi. Wanawake wengi huolewa kufuata mali na fedha/ajira nzuri. Ikitoweka hakuna rangi utaacha kuona toka kwa mkeo na wakwe watakuona choo cha shimo/shit hole
 
Ndio maana huwa tunasema ni bora msingi wa mahusiano ya kimapenzi/ndoa ujulikane mapema mwanamke kapendea nini. Alichokipendea kikitoweka na yeye anatoweka no matter amezaa watoto wangapi. Wanawake wengi huolewa kufuata mali na fedha/ajira nzuri. Ikitoweka hakuna rangi utaacha kuona toka kwa mkeo na wakwe watakuona choo cha shimo/shit hole
Hamjuagi nini mnakipendea kwa mtu na hatwa tukiuliza hamsemi huishia kusema umempendea alivyo
 
Kuna watu mna bahati mbaya ya kuoa au kuolewa na familia za ajabu jamani...
Mm toka nimeolewa mama yangu mpk aje kukaa kwetu ni mumbembeleze haswaa na akija hawezi kukaa zaidi ya wiki..ndugu zangu ndo kabisa kila mtu na kwake labda itokee function au mkutane kwny sherehe huko..so hii ishu haiapply kwa familia zingine..yani mama yangu anishawishi ujinga...hahaha na alivyokua strict na amenyooka...dooo hii kali..any way it depends na familia zenyu...
daah ukiwa jeiefu burdani sana..hapa kila mtu anatoka familia bora. hakuna kajambanani hapa[emoji38]

Btw kuna makabila ukijichanganya tu kutembea na binti yao utajijua hujui.

picha linaanza mamamkwe anahamia mazima apo unapokaa na binti.

ujakaa sawa mashemeji wanahamia wao na kuku na mbuzi zao.

kumbuka apo wewe na binti ni wachumba tu bado hata hujaamua kama utamuoa uyo binti.
 
1. Umeoa jamii kutoka ukoo usio elimika.
2. Umeoa ukoo Fukara wangekuwa hata maskini wa kawaida hawawezi kuwa hivyo.
3. Umeoa kutoka familia ya kichawi

4. Umeoa familia yenye laana
Hii kitu nimeianzishia uzi apa jf mara nyingi ila kwa bahati mbaya nyuzi zinafutwa.

Ukioa FAMILIA YA WATU WAJINGAWAJINGA WASIOJITAMBUA WASIOELEMIKA AU FAMILIA HOEHAE hakuna rangi utaacha kuiona na siku zote utaishia kusema kataa ndoa
 
Nashukuru ktk familia yetu, tumefunzwa kuwa Dada akiolewa ni kuwa ametoka kwenye ukoo wetu na kuwa ukoo mwingnee. Ila atabaki kuwa ndugu.

Hivyo anakoishi na mumewe sio kwetu, ni kwake yeye, mumewe, watoto na ndugu wa mumewe, ndo maana alichukuliwa kwetu na kupelekwa huko.

Hivyo sisi hatuna hata sababu au hoja ya kuzamia pale, tutaenda kusalimia ila sio kuishi hapo, na wala wao mashemeji sio wajibu kusaidia kwetu, watafanya kwa ridhaa yao pale watakapotaka.

Kwa upande wangu, ndugu yoyote akioa au kuolewa akawa na kwake, ntaenda kusalimia tena kwa nadraa sana, vinginevyo mawasiliano ya simu yanatosha kabisa, sipendi kuwa kero ktk familia ya watu.

Huwa nashangaa ndugu wa mke kuzamia kwa dada yao, hivi wanajisikiajee? Ndo hawa huwa chanzo cha kuvuruga ndoa za watu,

Tabia mbayaa kabisa hii. Siipendi.
Kwa mawazo haya Nimekupenda cocastic ,hiv kumbe una akili nying tu sema huwa unajichetua chief..
 
Back
Top Bottom