EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

We kweli hamnazo so unataka nani alaumiwe?! Kama anakubali kupangiwa tumlaumu JK AU!
 
Ila daah!! Hatujamaliza lile, ghafla linakuja hili la mafuta kupanda, sasa unadhani lile litakamilishwaje...
Linatakiwa kuanza kukamilishwa lililotangulia 😜😜

Wachana na mafuta, mwendokasi upo.
 
Sorry nikurekebishe tu by record. Kwanza sweden na finland majuz tu wame request kujiunga NATO. As we speak wako kwenye mazungumzo

Lakini Bado hujajibu swali. Ukraine si taifa huru? Si lina right ya kujilinda? Si lina jeshi lake na bendera yake?
Kwann wakifanya maamuzi kama taifa huru wanaonekana wabaya..?
 
Mafuta kwenye soko la dunia hayajapanda bali yameshuka kidogo, Ila usiniulize kwa nini bongo yamepanda

Mkuu umesahau, bei uliyoiona leo sio iliyotumiwa kuyanunua mafuta yaliyopo sokoni leo. Pili, bei uliyoiona ni ya muuzaji kwenye refinery yake. Sio pamoja na export levy, freight, import levy na kodi nyingine.

Usisahau kila tukinunua tunanunua mafuta ya miezi kadhaa ya mbele na ndio maana mabadiliko ya bei soko la dunia kila siku hayana athari kwetu!

Ni kweli pia mifumo yetu ya kodi na aina zake si rafiki kwa mlaji wa ndani. Tusipodhibiti bei sa bidhaa hii muhimu tutashindwa kusonga!
 
Hiyo sukari 3500 unaopata wali wewe fala? Walipopamdisha uliona Magufuli alichukua hatua gani? Ongelea huyo bibi yako! Vitu vyote vimepanda bei hata kabla ya vita ya Ukraine!
Sijaribu kumtetea lakini sababu ya vitu kupanda kipindi hiki zinajulikana.
 
Kuna kipindi serikali ya mwendazake ilikua ianzishe petrol statns za serikali sijui ile plan iliishia wapi muda kama huu vingeweza kusaidia kupunguza makali kwa kuuzia wananchi kwa bei nafuu kidg
 
Zile za kukebehi vigari vidogo kama passo, vitz na IST ziendelee na sasa hivi.
 
Leo nimeenda kujaza mafuta ya dizeli kwenye gari langu nikitumaini kuwa bei niliyoizoea ni Tshs.2842 kwa lita hapa Mwanza. nilipotoa fedha ya lita 20 yaani Tshs.56,840 nikaitwa ili niongeze hela.

Nikawa mbogo nikaambiwa unatakiwa kulipia Tshs.68,040. Tofauti ya Tshs.11,200. Bado ninajiuliza kuwa juzi ndo Latra iliwaongezea wamiliki wa vyombo vya usafiri gharama zao za nauli, itakuwaje tena jana bei tena zimeongezeka. Je itabidi waongezewe bei tena?. Vile vile bei ya dizeli ndo imeongezeka kuliko hata petroli ni kwa sababu gani?.

Itakuwa vema kama Serikali ingekuwa inatoa elimu kwa wananchi kupitia luninga kwa vigezo ni kwa nini bei ya mafuta imepanda kwa kipindi husika. Tukiendelea hivi Serikali iliyo madarakani itaendelea kuchuchukiwa sana na wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…