Kama Russia kasababisha mafuta yapande dunia nzima basi Russia is the most powerful country in the world.Tunalipia madhara ya vita!!...
Halafu kuna watu wanasifia Urusi kuvamia nchi nyingine....
Sikubaliani na baadhi ya sera za Samia lakini Magu was worstHuku wahusika wanatuambia tuwakune.
Hakuna msaada katika lolote.
Hatupo kuisifu Urusi...vita ndio sababu kubwa ya kupanda mafuta..Kama Russia kasababisha mafuta yapande dunia nzima basi Russia is the most powerful country in the world.
Na ushahidi kabisa hapoMafuta kwenye soko la dunia hayajapanda bali yameshuka kidogo, Ila usiniulize kwa nn bongo yamepanda
Hapo mm ndio pia nahitaji ufafanuzi na soko la dunia wanahizi wanaona wenyewe wakati pia iko wazi kuwa imeshuka kidogoWalisema wanashehena ya Maura kwenye maghala yao Hadi mwezi wa saba,yamepandaje Bei wakati siyo mzigo mpya?
Kwani bado wapo ?Unaonaje sukuma gang wanavyokomeshwa?
SawaMafuta kwenye soko la dunia yameshuka
Ikiwa tunayitumia yalinunuliwa nwezi wa tatu, basi basi ya mwezi uliopita na mwezi huu ilipaswa kuwa sawaKama ulisikiliza kipindi cha kipima joto kuhusu kupanda kwa bei ya walishaelezea mwezi bei zitaongezeka.
Sababu zilizotolewa ni za msingi kwa mfumo wa manunuzi, mafuta yanayotumika leo yalinunuliwa wakati ipo juu kidogo mwezi wa tatu.
All in all mfumo wa ‘bulk procurement’ inabidi waufanyie assessment una mazuri yake kwa upande wa serikali kuhakikisha wana uwezo wa ku control supply.
Alikadhalika una mapungufu yake kwenye procurement strategies, kununua kwa mwezi kuna wanyima waagiza advantage za price hedging.
Ukiwa reliable buyer unaweza strike long term deals za kupata mafuta kwa bei fulani ata bei zikipanda proportion yako inalipa chini ya bei za soko. Bulk procurement inazuia ubunifu na ushindani wa biashara mfanyabiashara awezi ata average costing za inventory ajipe advantage na kutumia mbinu zingine za ushindani.
Unaweza elewa kwanini serikali iliamua kwenda na Bulk procurement kutokana na masahiba ya huko nyuma kushindwa ku monitor reserves and supplies; but surely inahitajika amendments kwenye supply control baada ya kuwasikiliza na kuwaelewa umuhimu wake lakini huu mfumo unaondoa ubunifu pia wa ushindani na kupata good deals sokoni.
Kuna mambo ya taasisi kufanya overlapping works na zenyewe zinategemea mafuta, serikali kujitwika mzigo wa investment wakati port inatumiwa na rwanda, Burundi, congo, Zambia ata wao mafuta yao yakija meli ina wa-charge demmurage za siku do investments ambazo wanaweza changia bure.
Hii nchi ina mambo mengi
Awamu hii matatizo yanatengenezwa na wajanja ili watupige.Kama ulisikiliza kipindi cha kipima joto kuhusu kupanda kwa bei ya walishaelezea mwezi bei zitaongezeka.
Sababu zilizotolewa ni za msingi kwa mfumo wa manunuzi, mafuta yanayotumika leo yalinunuliwa wakati ipo juu kidogo mwezi wa tatu.
All in all mfumo wa ‘bulk procurement’ inabidi waufanyie assessment una mazuri yake kwa upande wa serikali kuhakikisha wana uwezo wa ku control supply.
Alikadhalika una mapungufu yake kwenye procurement strategies, kununua kwa mwezi kuna wanyima waagiza advantage za price hedging.
Ukiwa reliable buyer unaweza strike long term deals za kupata mafuta kwa bei fulani ata bei zikipanda proportion yako inalipa chini ya bei za soko. Bulk procurement inazuia ubunifu na ushindani wa biashara mfanyabiashara awezi ata average costing za inventory ajipe advantage na kutumia mbinu zingine za ushindani.
Unaweza elewa kwanini serikali iliamua kwenda na Bulk procurement kutokana na masahiba ya huko nyuma kushindwa ku monitor reserves and supplies; but surely inahitajika amendments kwenye supply control baada ya kuwasikiliza na kuwaelewa umuhimu wake lakini huu mfumo unaondoa ubunifu pia wa ushindani na kupata good deals sokoni.
Kuna mambo ya taasisi kufanya overlapping works na zenyewe zinategemea mafuta, serikali kujitwika mzigo wa investment wakati port inatumiwa na rwanda, Burundi, congo, Zambia ata wao mafuta yao yakija meli ina wa-charge demmurage za siku do investments ambazo wanaweza changia bure.
Hii nchi ina mambo mengi
Unachosema ni ukweli 100%Awamu hii matatizo yanatengenezwa na wajanja ili watupige.
Ni upigaji tu unaendelea nothing else.
Angalia hapo bei mwezi wa tatu yalifika karibu na $130 a barrel, kumbuka hiy ni crude price; refined itakuwa juu zaidi ndio tunayoagiza.Ikiwa tunayitumia yalinunuliwa nwezi wa tatu, basi basi ya mwezi uliopita na mwezi huu ilipaswa kuwa sawa
Tunapigwa kabla salary haijapandishwaMafuta kwenye soko la dunia yameshuka kidogo, Ila huku Bei imepanda. nadhani unaelewa nn kinaendelea