Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Mkuu toka huko, unapoamua kuwa na demu kuna vitu vingi watu wanaangalia sio uzuri tu peke yake utafeli
 
Dada yetu ahsante kwa kutukumbusha. Lakini nikwambie tu; Yuko Wapi Ben Pol na yule Binti wa Kitajiri toka Kenya?
Yuko wapi Diamond na Zari the Boss Lady. Yuko wapi Mwisho Mwampamba. Yuko wapi Kibu Denga na Mzungu wake. Kwa kifupi hasa mastaa Mahusiano yao ni kama moto wa Mshumaa haukeshi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…