Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #61
We Huna hela bwana pisi kali wanatulia tafuta hela tuKabisa mkuu, unakaa na pisi kali ndani unaona hamna ule muunganiko kabisa , unakua na upweke kama upo mwenyewe, ila pisi ya kawaida tu , unafurah na kuona maisha ni matamu.
Ushawahi kuwa mzuri?Wote ndio haohao
Halafu umri ukienda kdg unakuta mtu keshazeekaaaa
Ppttuuu
Kabla hajawa ex kulikuwa na chemistryUzuri wa kitu au mtu uta depend na vigezo vya muhusika, si watu wengine.
Lakini pia kuna suala la chemistry
Una nidham ya wogaWalaa. Wanaume mnapigwa na vitu vizito maskini.
We demu ataacha kukuchiti km mpk mwili wake keshauchiti!!!😜😜😜
😁😁😁😁😁Kabisa ngoja nitafuteWe Huna hela bwana pisi kali wanatulia tafuta hela tu
Hajamzidi ex wa jux, huo ndio ukweliHuyo aliyemuweka kama EX wa Juksi mbona siye...
Ila hako katoto ka Naija ni kazuri sana..
Mbona wa kawaida tunao huku mtaani wana miaka inaenda 45 hata kusalimiwa hawasalimiwUnaweza ku date na wanawake warembo sana, ukaja kuoa mwanamke wa kawaida sana.... Ni kweli mkuu.
Mkuu toka huko, unapoamua kuwa na demu kuna vitu vingi watu wanaangalia sio uzuri tu peke yake utafeliMajanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175
View attachment 3092177
Angalia current girl friend jamaan
View attachment 3092178
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?
Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Sura kama ya nanihiikamepoa sana sura yake inamaelezo yote
Wenye nidham za woga ntawafungulia uzi😁😁kabisa mkuu, halafu pisi huwa ni kabla mkuu😅
Nan kavaa? Zari au?Hivi unaweza kuwa social media personality halafu unavaa hijab na gauni ndefu?
Nidham za woga zinaleta afya ya akiliHalafu nusu ya mwili wake ni full surgery..
NaonaMnaangalia akili za kusaidia watoto Homework....si eti?😅
Babako mzaziJux ndo nani hapo daresalam
Dada yetu ahsante kwa kutukumbusha. Lakini nikwambie tu; Yuko Wapi Ben Pol na yule Binti wa Kitajiri toka Kenya?Majanga, na wao, wahala!
Ivi kwani Tanzania wanawake warembo hamna mpaka mnaenda kuchukua totoz Nigeria?
Kwani wadada wa Tz wana shida gani?
Umemwona Ex wa jux alivyokuwa mzuri
View attachment 3092175
View attachment 3092177
Angalia current girl friend jamaan
View attachment 3092178
Alafu girlfriend wake wa sasa kwao ni matajiri wa kufa mtu sijui nduguyenu atawezana na lifestyle ya Nigerian Babe?
Nyie jamaan nyieee me mambo ya aibu staki kabisa kuandikwa vibaya watanzania kuja kutukanwa kwenye ma blogs ujue, sipendi kabisa
Mbona mnigeria anafanana na wifi yake fatumaKiukweli huyo M Nigeria ni mzuri kuliko huyo unayesema wewe. Ila sishangai kila mtu anajicho lake la uzuri mpaka kum term huyu mzuri na mbaya.
We wako wa nje au magomeni mapipa?Jamani kwani mwanamke kumcheat mwanaume nalo ni jambo la makasiriko? Wee wacha mke nae akapate ladha tofauti huko nje
Alafu anafeliJux anapataga watoto wazuri
Ameongea kichagaAisee! Ambao hatukwenda shule ni shida...
KiruMjanja sana, pisi nyeusi ni nzuri mno.