Exposure ya Diamond ni ndogo, anahisi hapa Tanzania ana pesa nyingi, kumbe kuna watu

Mond itakua hajui $1B ikoje,sasa musk ana 150+,mo dewj 1.5, alifanikiwa kufika $2B atajua shughuli ya kumfikia dangote mwenye 13 achilia mbali musk, tatizo katokea umasikini wa kutupwa,alichonacho anaona kingi
Utajiri wa Musk unaohesabiwa ninule wa kwenye hisa za Tesla.

Lakini ana makampuni lundo ambayo hayako kwenye soko la hisa na hayahesabiwi

  • The boring company
  • Starlink
  • Space X
  • Neurallink
  • X (Twitter)
 
Beyonce na hao wenzie uliowataja wana endorsements kibao hadi za Sumsung na Pepsi.

Na huwezi kuufikia huo utajiri wa hao unaosema kama huwezi kuwekeza kwenye pesa yako ndogo kwa kusubiri mpaka pesa ziwe nyingi.

Hivi nani aliwaza kuwa huyu Diamond wa Mbagala na Nenda kamwambie angekuwa hapa alipo sasa ? Ni ndani ya miaka isiyopungua 10 amekuwa bilionea. He's just thirty something. Vipi Mungu akimpa uhai miaka 15 zaidi na akibaki kwenye malengo yake huoni hilo linawezekana?
 
Nigga una roho mbaya kichizi. wtf blood clot. Hivi unakaa kwa amani na majirani walokuzidi kipato?
 
Usijekuwa unaoongea hapa wakati bando umekopa na unadaiwa mkopo wa pesa x 20k
 
Kuna siku tajiri aliibiwa kofia akalia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…