Ezekiah Wenje: Abdul Mtoto wa Rais Samia ni Muungwana sana hadi alikubali kwenda Tegeta kwa Lissu...

Ezekiah Wenje: Abdul Mtoto wa Rais Samia ni Muungwana sana hadi alikubali kwenda Tegeta kwa Lissu...

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje ambaye anatuhumiwa kumpeleka Abdul kumhonga Mapesa Tundu Lissu.

Wenje anasema Tundu Lissu alikuwa anadai pesa zake za Matibabu, Abdul ikabidi amfuate Tundu Lissu Tegeta kichukua Documents za matibabu ili msaidie.

Wenje anasema yeye ndo alimuunganisha na Lissu.

Watu wanajiuliza, Abdul si mwajiliwa wa Serikali, hana cheo chochote nchini. Alitaka kumsaidia kama nani?

Awali Tundu Lissu alidai alifukuza Abdul na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA(Wenje) ambao walienda kwake kumhonga ili apunguze kuongea. Kwamba walienda kumlainisha ili aache kuusumbua Utawala wa Rais Samia. Akawafukuza na kuwaambia wasikanyage kwake tena.

Wenje anagombea Umakamu mwenyekiti chadema Taifa.
 
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje ambaye anatuhumiwa kumpeleka Abdul kumhonga Mapesa Tundu Lissu.
View attachment 3181601
Wenje anasema Tundu Lissu alikuwa anadai pesa zake za Matibabu, Abdul ikabidi amfuate Tundu Lissu Tegeta kichukua Documents za matibabu ili msaidie.

Wenje anasema yeye ndo alimuunganisha na Lissu.

Watu wanajiuliza, Abdul si mwajiliwa wa Serikali, hana cheo chochote nchini. Alitaka kumsaidia kama nani?

Awali Tundu Lissu alidai alifukuza Abdul na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA(Wenje) ambao walienda kwake kumhonga ili apunguze kuongea. Kwamba walienda kumlainisha ili aache kuusumbua Utawala wa Rais Samia. Akawafukuza na kuwaambia wasikanyage kwake tena.

Wenje anagombea Umakamu mwenyekiti chadema Taifa.
Wenje anatuona sisi ni maboga kama walivyo chawa wenzake. Hizo hela za Abdul lazima ziwatokee puani.Wanakula hela huku mama dula anazidi kuchinja watu.
 
Abdul alikwenda kwa nafasi gani aliyonayo kwenda kuchukua hizo karatasi za Lissu?

Kuwa mtoto wa raisi napo ni wadhifa wa kuweza kushurtisha/kufuatilia malipo ya mtu?

Angekuwa na busara huyu Bw. Wenje ni bora angekaa kimya tu. Anajidhalilisha yeye na huyo Abdul wake.
 
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje ambaye anatuhumiwa kumpeleka Abdul kumhonga Mapesa Tundu Lissu.
View attachment 3181601
Wenje anasema Tundu Lissu alikuwa anadai pesa zake za Matibabu, Abdul ikabidi amfuate Tundu Lissu Tegeta kichukua Documents za matibabu ili msaidie.

Wenje anasema yeye ndo alimuunganisha na Lissu.

Watu wanajiuliza, Abdul si mwajiliwa wa Serikali, hana cheo chochote nchini. Alitaka kumsaidia kama nani?

Awali Tundu Lissu alidai alifukuza Abdul na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA(Wenje) ambao walienda kwake kumhonga ili apunguze kuongea. Kwamba walienda kumlainisha ili aache kuusumbua Utawala wa Rais Samia. Akawafukuza na kuwaambia wasikanyage kwake tena.

Wenje anagombea Umakamu mwenyekiti chadema Taifa.
Wenje kavuta advance kutoka kwa Abdul, yaani Lisu anashida lakini Abduli ndiyo amfuate Lisu badala ya Lisu mwenye shida amfuate Abduli?
 
Abdul alikwenda kwa nafasi gani aliyonayo kwenda kuchukua hizo karatasi za Lissu?

Kuwa mtoto wa raisi napo ni wadhifa wa kuweza kushurtisha/kufuatilia malipo ya mtu?

Angekuwa na busara huyu Bw. Wenje ni bora angekaa kimya tu. Anajidhalilisha yeye na huyo Abdul wake.
Upo sahihi kabisa, Wenje kumbe ni tapeli
 
Wenje kavuta advance kutoka kwa Abdul, yaani Lisu anashida lakini Abduli ndiyo amfuate Lisu badala ya Lisu mwenye shida amfuate Abduli?

Yaani aibu kubwa kwa Wenje Bora Wenje angechuchumaa akaikwepa aibu hii ...
.ona sasa tuliokuwa nyumba yake tunaona aibu yeye walaaa!
Pesa Pesa Pesa, kweli MTU kama Wenje akakubali kubeba zigo haramu mpaka tiii sebuleni kwa mnyampaa?
 
Yaani aibu kubwa kwa Wenje Bora Wenje angechuchumaa akaikwepa aibu hii ...
.ona sasa tuliokuwa nyumba yake tunaona aibu yeye walaaa!
Pesa Pesa Pesa, kweli MTU kama Wenje akakubali kubeba zigo haramu mpaka tiii sebuleni kwa mnyampaa?
Rushwa humfanya mtu anakuwa kipofu kabisa na mjinga haswa
 
Mnakaa Mnawaza Kuna Upinzani wakuiondoa CCM kweli?
Hawa Wapuuzi na Mapandikizi Vijana Bado Mnasafari Ndefu sana kwa kuwategemea hawa watu!
CCM imechokwa Tanzania lakin Nani Mbadala Wake?
 
Back
Top Bottom