Facts kadhaa zinazoufanya Mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya Bandari kuwa batili. Tuwe nazo Makini

Hiyo ndio hatutaki. Hatuna access na HGA, itamkwe huku huku kwenye IGA
Kusema hutaki termination clause..Kwa kuwa wewe huna access na HGA sio Sawa nakusema "hakuna termination clause"...
Kwahiyo kabla huja demand kuona HGA kwanza mkiri mnafanya upotoshaji...
Kingine hutaki wewe na nani??

Usiseme hatutaki ,sema wewe hutaki
 
In principle bandari as airports, sio mpaka, but in practice, as far as movement of people and goods, bandari na airports ni mpaka.


I know in and out.

Mpaka kwa sasa is not that line/boundaries. Things have changed a lot.

Understand the facts, not theories
 
IGA haiwezi kuvunjwa kwa vyovyote vile, kasome uelewe. Na hiyo clause ya kuvunjwa, inafutwa na hii clause.
 
Bandari sio mpaka, period..
 
Hii tafsiri yako ni nyingine kabisa.

Hata tukivunja mahusiano ya kidiplomasia na Dubei, ....anzia hapo! Acha kuyumba eti akisapoti sijui nani, na sisi nani,
 
Watanzania bara kazi yetu ni ushabiki usiokuwa na manufaa,fursa ziko nyingi,hatuna kazi nazo,Zanzibar hapo kuna fursa za kitalii,hatuna kazi nazo.Watu kutoka Kenya wanajinufaisha na fursa hizo.
Ukipeleka kitu chochote Zanzibar cha kibiashara au kuwauzia wafanyabiashara kutoka Zanzibar unanufaika kwa utalii ulioko kule
1:Ukiwa na duka au mkulima wa nafaka,wananunua kwako
2:Ukiwa na mazao ya shambani kuanzia Viazi,Nyanya,vitunguu,vitunguu saumu,karoti,pilipili hoho,nk.Ni kila wiki wanakuja fungasha magunia kwa magunia.
Wa Tanzania bara ni kukaa kwenye vijiwe vya kahawa na vijiwe vya pombe za kienyeji kulaumu tu.
 
1. Makubaliano hayana ukomo. Kama ambavyo imeonekana kwa wengi, makubaliano haya hayaonyeshi muda maalum katika umilikishaji wa bandari zote kwa DPW:

Weka ushhi wa fikra zako, hatuendi kifikra, tunaenda kiushahidi.
Kwanza tuoneshe hicho kifungu cha makubaliano / mkataba kinachosema "hayana ukomo". Pia tuoneshe kifungu kinachosema "
umilikishaji wa bandari zote kwa DPW:".


Tuoneshe hivyo, usifikiri wote tu wajinga. Ukishindwa kuvionesha hivyo vifungu basi wewe u muongo.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Prove hiyo termination clause. Wewe, The Boss toka mwanzo unautetea huu mkataba kisa tu Rais ni muislamu. Kiti ambacho ni ujinga tu kukubali kitu kisichofaa kisa kiongozi unasali naye.
JPM alipingwa hadi na kina Fr. Kitima.
Tumieni akili acheni kulalamika,hao waarabu wakija ndio fursa ya kufunguka biashara za mazao,hao watataka kula
1.Viazi,Ngano,Michele,mihogo,!
Mapapai,ndizi,matunda nk
 
Hii tafsiri yako ni nyingine kabisa.

Hata tukivunja mahusiano ya kidiplomasia na Dubei, ....anzia hapo! Acha kuyumba eti akisapoti sijui nani, na sisi nani,
Kwani international events umeelewaje?..
 
Tumieni akili acheni kulalamika,hao waarabu wakija ndio fursa ya kufunguka biashara za mazao,hao watataka kula
1.Viazi,Ngano,Michele,mihogo,!
Mapapai,ndizi,matunda nk
Wamekwambia hawana chakula hao?!

Si wanaendesha bandari hapo msumbiji, nani kakwambia msumbiji wamepata soko la mazao?!

Zungumza facts za mkataba, achana na mengineyo, hewa hiyo
 
Wamekwambia hawana chakula hao?!

Si wanaendesha bandari hapo msumbiji, nani kakwambia msumbiji wamepata soko la mazao?!

Zungumza facts za mkataba, achana na mengineyo, hewa hiyo
Hawana chakula kwao ni jangwa,Hakuoti kitu chochote wala kufuga chochote,zaidi ya ngamia,hawana
1.Kuku
2.Ng'ombe
3.Mbuzi.
4.kondoo
5Viazi,ndizi,Michele,matunda,nk
Badala sisi kuanzisha njia za kibiashara kunufaika kwao,twapoteza wakati bure,!nafasi hiyo ya vyakula akichukuwa wa nchi nyingine tutakuja lalamika.Hapo Zanzibar kuna soko kubwa la vyakula na mifugo na matunda,kutokana na mahotel ya kitalii,fursa hatuzitumii.
Kuna visiwa vya Ngazija,Mauritius,Madagascar,!fursa za vyakula kuuza kule,na mifugo,hatutumii.
Kama hivi sasa mbuzi amefika mpaka 170000,ng'ombe mpaka mamilioni,kwa ajili ya sikukuu ya Eid,dini inawahimiza watoe sadaka ya nyama!,bado visima watachimba vya maji.kusaidia kwenye matatizo ya maji,maana dini ya uislamu imehimiza kutoa sadaka ya maji,sisi tumekaa kubishana yasio na faida.Ukiwa na mbuzi 20 si tayari una 36milioni.Bado ng'ombe
Ukiwa nao 20,hujainuka kiuchumi.Na hapo bado waarabu hawajaanza Bandarini.Hawa waislamu waacheni waje,watuinue kiuchumi,siku kuu zao zote na siku za kawaida ni neema.Bado kipindi cha sikukuu ya mwezi wa Ramadani,wananua Michele kwa wingi,kwa kutoa sadaka.Bado hatujagusia wavuvi wa samaki,hawa ni walaji sana wa samaki,kwa wavuvi ni fursa hiyo.
Wakulima na wafugaji,kwa ujio wa hawa waarabu waislamu ni neema kwao.
 
Hivi Tanzania inaweza kuwa na mgogoro wa kidiplomasia na Dubai wakati haina uhusiano wa kidiplomasia nayo
Bandari ni mpaka hata kama tuna mpaka wa maji au bahari. Mkataba mmbovu. Unauza nchi kwa DPW bila ukomo.
 
Mkataba mbona Una termination clause?
Unaweza iweka hapa tuone labda tatizo ni English na sio mkataba
Hebu weka Termination clause tukutafsirie
Umeshaambiwa termination clause ipo, inasema ukomo utafikiwa kuvunja mkataba pale shughuli za bandari zitakapokoma. Labda sijui kama zitakapokauka maji? Au mwisho wa dunia. Ndo hicho kipengele unachosema kiwekwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…