Fahamu kuhusu vibali vya ujenzi, umuhimu wake na namna ya kuvipata

Nadhani hizo Sheria ipo kwa waliopo ndani ya na wale wanaojenga majengo makubwa au magorofa,lakini kwa walio nje ya mji ambaye amenunua eneo lilipopimwa na halmashauri na anajenga nyumba ya kawaida sidhani Kama ni tatizo

Mkuu utakuwa unaongelea zamani, sasa hivi bila kibali cha ujenzi utavunjiwa tuu, fuateni sheria msije kulia baadae, tena kama hujapima kiwanja chako fanya hima ukapime kabla kiwanja chako hakijageuka kuwa barabara
 
Nimecheka sana!
Watu mnajua kuweka kumbukizi nyie! Eti 'joka la makengeza na nduguyai'! Dah!
 
Umetukosea sana heshima aisee sema sababu umejificha nyuma ya keyboard unaweza kuongea lolote katika thread hapo nadhani kilichotolewa ni elimu ili watu walitambue kuwa katika nchi unatakiwa kufuata sheria za ujenzi ili uwe huru na kuepukana na adhabu zisizo na msingi
 
Sasa hapo unaiambia serikali mana sisi kama kampuni tumekupa elimu bure tu
 
mimi najenga chumba na sebule,ngoja nifuate huu utaratibu,,ila mlolongo mbona mrefu sana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…