Nadhani hizo Sheria ipo kwa waliopo ndani ya na wale wanaojenga majengo makubwa au magorofa,lakini kwa walio nje ya mji ambaye amenunua eneo lilipopimwa na halmashauri na anajenga nyumba ya kawaida sidhani Kama ni tatizo
Nimecheka sana!Unaweza kuwa ni mmoja kati ya 10 au 100 lakini professionals wengi ndiyo namba moja kukiuka sheria na kanuni eg joka la makengeza kwenye sakata la rada, ndugu yai alivyompiga na gongo mtia nia mwenzake, wale wengine wa escrow, walimu nao wanakula urefu wa kamba si kwamba hawajui sheria....
Umetukosea sana heshima aisee sema sababu umejificha nyuma ya keyboard unaweza kuongea lolote katika thread hapo nadhani kilichotolewa ni elimu ili watu walitambue kuwa katika nchi unatakiwa kufuata sheria za ujenzi ili uwe huru na kuepukana na adhabu zisizo na msingiWewe jàmaa ni njaaa Sana kumbe ni walewale Kama dalali tu kuzurura mitaani kutafuta Nani anaejenga Bila kibali alafu unakimbilia manisspa unakuja na wale afisa wa ujenzi mwenye njaa hadi kwenye kope.mwanaume wewe pambana kuijengea misingi familia yako acha kuangaika na watu wanaopambana kuwekea familia zao future.
Tutakupa elimu bure ili ukafuatilie mwenyew labda kukusaidia tutakupatia watu waliopo katika wilaya husika wakusaidie kwa haraka zaidi mana tunafahamiana kutokana na mwingiliano wa kazi zetuAda yenu ni bei gani kwa ufuatiliaji??
HapanaVp kama nikaamua kubadilisha rangi za vyumbani kwangu nayo pia nitahitaji kibali?
Sasa hapo unaiambia serikali mana sisi kama kampuni tumekupa elimu bure tuHivi kibali cha ujenzi mbali na kuogopa hizo faini zenu za kipuuzi kina faida gani katika ujenzi wa nyumba ya kawaida za kuishi ikiwa kiwanja kimepimwa. Mimi ninajenga nyumba buyuni ccm kuelekea chanika na sina hayo mavibali yenu ya uongo uongo na bureaucracies za kijinga.
Unajenga wilaya ganiNi kiasi gani tuje nacho make tupo kwenye makazi ambayo hayajapimwa
Ni shilingi ngapi?Hakina gharama kubwa sijui labda njia ulizopitia wewe
Ndio sheria inavosemaLukuvi alisema kibali ndani ya wiki mbili tu
Kinatofautiana kutokana na wilaya na maeneoNi shilingi ngapi?
ukiwa na ramani iliyochorwa na mtaalamu hamna mlolongo wowotemimi najenga chumba na sebule,ngoja nifuate huu utaratibu,,ila mlolongo mbona mrefu sana?
Hili sasa tatizo.Kinatofautiana kutokana na wilaya na maeneo
Vp kama nitaamua kutoa madirisha ya Nyavu kwa nyumba yangu na kuweka madirisha nyumba nzima ya aluminium je nitahitaji kibali!?Hapana
Sawamleta mada mwizi tu
Ndio ukwel uliopo mana sisi tumetoa elimu bure ili ukitambue kibali cha ujenziHili sasa tatizo.
Aisee haya..... HAPANAVp kama nitaamua kutoa madirisha ya Nyavu kwa nyumba yangu na kuweka madirisha nyumba nzima ya aluminium je nitahitaji kibali!?
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app