The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Nadhani hizo Sheria ipo kwa waliopo ndani ya na wale wanaojenga majengo makubwa au magorofa,lakini kwa walio nje ya mji ambaye amenunua eneo lilipopimwa na halmashauri na anajenga nyumba ya kawaida sidhani Kama ni tatizo
Mkuu utakuwa unaongelea zamani, sasa hivi bila kibali cha ujenzi utavunjiwa tuu, fuateni sheria msije kulia baadae, tena kama hujapima kiwanja chako fanya hima ukapime kabla kiwanja chako hakijageuka kuwa barabara