abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Ungesoma radioactivity hivi vitu visingekushangaza ungeelewa.Kwamfano utasoma sehem unaambiwa jamii flani ya kale iliishi kati ya miaka 2137 kabla kristo.
Unabaki ukijiuliza, habari hii ni nani alie thibitisha?
Binafsi nikisoma habari aina hiyo, huwa naipuuza na kuiona ni sawa na matango pori.
Hizi nazo ni story tu kama story nyingine, ambazo hazifati utaratibu wa Kisayansi.Wengi tumekuwa na mawazo ya kuwa dunia inalizunguka jua ambalo limetulia sehemu moja halizunguki wala kutembea ila kiuhalisia mambo yapo tofauti na unavyofikiria. wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka jua, jua pia linafanya mzunguka mkubwa kwenye space likizunguka galaxy ya milk way likifanya hivyo kwa kutuchukua sisi na sayari zote ikiwepo dunia kwenye mzunguko huo
View attachment 3138872
Galaxy ya milk way ni kubwa ikiwa imebeba nyota zenye idadi kubwa na sayari zake, gesi, vumbi na uchafu mwingi ikiwa na upana wa ( 100,000 light years) View attachment 3138880
miongoni mwa kitu cha kuvutia kuhusu galaxy yetu ni mzunguko wake kama gurudumu kubwa la duara linalopelekwa na upepo, mzunguko huo hufanya gesi na nyota zilizomo kuzunguka kwa mduara. Jua letu na sayari zake linapatikna kwenye mmoa ya mikono/mbawa zake umbali wa (25,000 light years) kutoka katikati ya galaxy View attachment 3138875
Kama vile dunia linavyolizinguka jua, jua linazunguka kwenye center ya galaxy ya milk way kwa kasi ya maili 143 kwa sekunde liki kamilisha mzunguko wote baada ya miaka millioni 230, mzunguko huo sio kama duara kabisa ila lina panda na kushuka kwenye galactic plane likitumia miaka millioni 60 kila likipanda na kushuka View attachment 3138876
Sio tu jua linalotembea bali hata galaxy pia zinatembea na kwa sasa galaxy yetu ikiwa inaelekea kwenye galaxy ya karibu inaitwa Andromeda. View attachment 3138877
galaxy ya milk way pamoja na galaxy zingine zilizopo kwenye kundi la galaxy linaloitwa Local Group likiwa na takribani galaxy 54 zote zikiwa zinaelekea kwenye mvutano mkubwa wa ajabu unaoitwa The Great Attractor, View attachment 3138883
pia hapo siyo mwisho ulimwengu wetu wote unatanuka kwa kasi kubwa na kufanya galaxy kuwa mbali mbali kuliko ilivyokuwa zamani
Muda unahitaji nafasi na uwepo tu, sababu muda haufubgamani na kitu chochote isipokuwa mwendo wa jua tu.Yas kila kitu kinazunguka, the universe is in motion.
Hiyo ni lazima ili muda uendelee kuwepo. Kitu kikitulia tuli kinakuwa hakina muda na ndio kinakuwa hakipo!!! Lazima ujongeee tu bro
Baada ya kuingia google kudadavua nimegundua kumbe bado kuna walakini juu ya mambo tunayofundishwa.According na hiki ulicho elezea naomba nikuulize je unaelewa nini kuhusu mfumo wa Heliocentric na Geocentric?? 😎🤝🏽
Mfumo wa Heliocentric na Geocentric ni mifumo miwili ya kihistoria inayojaribu kueleza nafasi ya Dunia na sayari nyingine katika uhusiano wake na Jua.
1. Mfumo wa Heliocentric: Huu ni mfumo unaosema kuwa Jua ndilo kitovu cha ulimwengu (au mfumo wa jua), na sayari zote, pamoja na Dunia, huzunguka Jua. Mfumo huu ulianzishwa na mwanasayansi wa Kipolandi, Nicolaus Copernicus, katika karne ya 16. Huu ndio mfumo unaokubalika na sayansi ya kisasa, ambapo tunajua kuwa Dunia na sayari zingine huzunguka Jua kwa njia za mviringo au mchepuko kidogo.
2. Mfumo wa Geocentric: Katika mfumo huu, Dunia inaaminika kuwa kitovu cha ulimwengu, na Jua pamoja na sayari zote huzunguka Dunia. Huu ndio mfumo uliotumika kwa muda mrefu sana hadi Copernicus alipokuja na nadharia ya heliocentric. Mfumo huu ulianzia kwa wanafalsafa wa Kigiriki kama Ptolemy na ulikubalika kwa zaidi ya miaka elfu moja.
Kwa ufupi, heliocentric inasema Jua ndilo kitovu, wakati geocentric inasema Dunia ndiyo kitovu. Mfumo wa heliocentric umethibitishwa kuwa sahihi zaidi kutokana na uchunguzi wa kisayansi na data za kisasa.
Wewe unathibitishaje kama hayo unayo ambiwa au kuyadikia ni kweli yamefanyika ?Shida hapo ni wewe ni unaebishana nao.
Not long ago China wamefanya experiment ya quantum entanglement kutoka duniani hadi mwezini (or somewhere in space).
Thats like creating a wormhole, US wamepagawa. Sasa kubishana na watu ambao hawaelewi how far particle physics as yielded other innovation, ni kuamua kupoteza muda wako.
Otherwise inabidi uanze na hadithi za Marie Curie (ain’t nobody got time for that).
Shida watu huwa hawatumii akili kutafakari hayo wanayo letewa, na Hawa wanayo yaleta wamshajua ya kuwa wazi watu huwa hawahoji mambo.Jana Kuna Mtu nilimuuliza Kitu na wewe Nitakuuliza Pia ili niweke Record sawa..
hivi Nasa Gani mnayozungumzia hawa Wanaoshtumiwa na Vitu Vingi sana Ikiwemo kutumia Area 51 Kufake Moon landing Kwani bado mnawaamini NASA??
Picha za Nasa Zinazo Onyesha Dunia ni Duara Zinaonyesha Ramani, tena kwa bahati mbaya kabisa Ramani ambayo imekuwa Projected Mwaka 1594, Ikiitwa "The Mercator Projection" . Ambayo Imetengenezwa na Gerardus Mercator..
Sasa Unashangaa Gerardus Mercator Mwaka huo kipindi anachora Ramani hakwenda mwezini wala Kwenye jua 😂😂 na wala Hakukuwa na Advance Technology na Alichora Hiyo Ramani tunayotumia Mpaka leo..
Cha Kushangaza Nasa Imeanzishwa July 29, 1958..
Ila wanatumia Ramani ya Gerardus mercator ya mwka 1594 ambaye Kipindi anaichora Hakukuwa na Ndege wala Helcopter (Maana ndege imegunduliwa mwaka 1903 na Wright brothers na wakati Huo ikiitwa Wright Flyer, Na bila kusahau Rocket ya Kwanza Imezinduliwa Mwaka 1926 na Robert H. Goddard...)
Wakati wakianza Kuwadanganya wapeni Facts..
Msiogope..
Sasa Nataka Uniambie Kati ya Mzee wa Zamani Gerardus Mercator ambaye alichora ramani akiwa Kwenye Boma lake kwa Kuwaza tu....
Ikumbukwe hata Sattelite ya Kwanza inasadikiwa Kurushwa October 4, 1957, iliyokuwa Ikiitwa Sputnik I
Sasa Hebu niambie huyo Mzee wa Kwanza kuchora Dunia Kwa Umbo la Duara Yeye Alikuwa Amekaa Wapi wakati hakukuwa na vifaa vyovyote vya Kuthibitisha Madai yake
Na NASA ambao Wanatumia Vifaa (Kama wanavyojinasibu) umewahi kuona Ramani nyingine ikiikosoa Ramani ya Mercator Projection hata kwa Longitudinal tu au Latitude?
Tutumie Akili Tulizopewa Sio kila kitu tunadanganywa
na kingine Katika Ugunduzi sio Mzungu peke yake wapo Racial Class zingine wamehusika Kwenye Ugunduzi mpaka wewe unatumia Simu kutoa Credit kwa Race moja ni utumwa wa akili..
Kuhusu Kunufaika Kwamba Wamenufaika na nini, Yaani kueneza Uongo huo wamenufaika na nini..
Unafahamu kuhusu Propaganda na Indoctrination.. kama Utakuwa Unafahamu mpaka Kufikia Creation of Mythology Bhasi utakuwa Unajua kwanini Uongo hutengenezwa..
Hii Hapa Chini Ni propaganda Model ukifatilia Utajua kwanini Watu hutengeneza Propaganda..So hata Moon Landing bado ni Propaganda
Kama Usipoelewa Hiyii Model niambie Nikuchambulia japo lengo mojawapo Ni namba 6 "Theophobization"
kuanza Kusema Mungu kawajalia bhna si unaona..Wamefanya Vile..
Kasome Propaganda Model Hutashtushwa na Propaganda Yoyote
View attachment 3140458
Kama ni CGI kwanini unazileta kama mfano wa kuelezea jambo lako ? Huoni kama unaendelea kueneza uongo na ukweli hauko nao ?Hzo ni CGI
Nyie ndio hamjui hata robo ya bahari, wenzenu wanakaribia kuimaliza.Waliwezaje kujua mambo yote hayo ya nje ya Dunia ingali Bahari tu tuliyonayo hapa Duniani hatuijui hata Robo yake ?
Zikuungana means kwamba anga litakuwa na muonekano tofauti na huu wa sasa?Zitaungana, hilo la kwanza sijakuelewa vzr
Mambo ya anga n complicated, Ila Binafsi nikipewa sababu za kueleweka hua nakubali ht kama sina ufahamu wa hicho kitu.Haya sasa, yale yalee!
Sayans ya mambo ya anga me sijawahi kuielewa, naona kama tunalishana matango poli tu. Mfano mzuri kwenye swala la umbo la Dunia yetu, wapo wanaosema tufe na wengine flat.
Elimu ya anga ni tamu sana😋Wengi tumekuwa na mawazo ya kuwa dunia inalizunguka jua ambalo limetulia sehemu moja halizunguki wala kutembea ila kiuhalisia mambo yapo tofauti na unavyofikiria. wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka jua, jua pia linafanya mzunguka mkubwa kwenye space likizunguka galaxy ya milk way likifanya hivyo kwa kutuchukua sisi na sayari zote ikiwepo dunia kwenye mzunguko huo
View attachment 3138872
Galaxy ya milk way ni kubwa ikiwa imebeba nyota zenye idadi kubwa na sayari zake, gesi, vumbi na uchafu mwingi ikiwa na upana wa ( 100,000 light years) View attachment 3138880
miongoni mwa kitu cha kuvutia kuhusu galaxy yetu ni mzunguko wake kama gurudumu kubwa la duara linalopelekwa na upepo, mzunguko huo hufanya gesi na nyota zilizomo kuzunguka kwa mduara. Jua letu na sayari zake linapatikna kwenye mmoa ya mikono/mbawa zake umbali wa (25,000 light years) kutoka katikati ya galaxy View attachment 3138875
Kama vile dunia linavyolizinguka jua, jua linazunguka kwenye center ya galaxy ya milk way kwa kasi ya maili 143 kwa sekunde liki kamilisha mzunguko wote baada ya miaka millioni 230, mzunguko huo sio kama duara kabisa ila lina panda na kushuka kwenye galactic plane likitumia miaka millioni 60 kila likipanda na kushuka View attachment 3138876
Sio tu jua linalotembea bali hata galaxy pia zinatembea na kwa sasa galaxy yetu ikiwa inaelekea kwenye galaxy ya karibu inaitwa Andromeda. View attachment 3138877
galaxy ya milk way pamoja na galaxy zingine zilizopo kwenye kundi la galaxy linaloitwa Local Group likiwa na takribani galaxy 54 zote zikiwa zinaelekea kwenye mvutano mkubwa wa ajabu unaoitwa The Great Attractor, View attachment 3138883
pia hapo siyo mwisho ulimwengu wetu wote unatanuka kwa kasi kubwa na kufanya galaxy kuwa mbali mbali kuliko ilivyokuwa zamani
Hii niliwahi kukutana nayo huko mtandaoni, nikasema hiiiiiiiiiiiiiiiii kivumbi 😂 bc neurones za watu wote duniani zinaweza kujaza sayari zote na jua na chenchi inabakiYaani kitu ambacho sijawahi kuamini ni kwamba neurones za mtu mmoja ukiziunganisha zote zinaweza kuzunguka dunia nzimaa
Kama ambavyo ukifunguliwa simu halafu uambiwe uchambue kifaa kimoja kimoja kuanzia kilivyotengenezwa hadi kikafanya kazi na wewe ukaishia kusema hizi ni fani za watu. Ndivyo ilivyo elimu ya anga.Tena Wanatufanya watoto
Una amini kuwa kuna Subtomic particles (Neutron, proton, Electron)
Jibu kwanza swali nililo kuuliza.Una amini kuwa kuna Subtomic particles (Neutron, proton, Electron)
Utalewa vipi kitu hujawahi kukifanyia practical wewe mwenyew Bali umekarrishwa na watu.na Bado wenyewe wanabishana?hapa vichwa panzi mada kama hizi wanakaa kuuleeee hawaelewi wauni😂😂😂 waite Free ideas Kiranga @monsagala na magenious wengineo
Kwetu sisi watu wa duniya tunapima muda kwa kulinganisha mzunguko wetu kama dunia na mzunguko kwa jua.Muda unahitaji nafasi na uwepo tu, sababu muda haufubgamani na kitu chochote isipokuwa mwendo wa jua tu.
Sasa unaposema kitu kikiwa tuli kinakuwa hakina muda vipi wakati muda upo nje ya kitu husika ?
Vifaa vinadetect changes kisha wanafanya Calculation hivyo ili watu waelewe vzr AI inafanya Simulation. Ukitaka picha halisi ya kila kitu basi hutaamini vitu vingi, hakuna picha halisi ya Movement ya atom na particles zake,hakuna picha halisi ya movement ya sound waves, hakuna picha halisi ya movement ya electrical na magnetical charges. Vitu vingi havina picha halisi ni calculation tu kisha AI inasaidia kuelewa movement zakeSi
Jibu kwanza swali nililo kuuliza.
Mlipuko ambao hujawahi kuwazia boooooooonge la mlipukoKatika Galaxy la Milk way, solar system yetu inazunguka Kuelekea kati au nje?
Nini kitatokea tukifika kati au andromela na milk way zikikutana?