FaizaFoxy: Nasaha na Ushauri wa kijamii usio wa kawaida. Nakaribisha maswali

FaizaFoxy: Nasaha na Ushauri wa kijamii usio wa kawaida. Nakaribisha maswali

Tatizo faiza unalazimisha sana kila mtu afahamu wewe ni mzawa nambari moja wa dar,uzi umejaa dharau,kebehi mara 'wakuja' . Kuna misemo inapita kubaliana na wakati. Uzi mzima utataka kila mmoja afahamu umekulia kariakoo daah
 
Tunayemuabudu tunamjua na ndio maana hayo majini ya kiislamu wanakimbia kuombewa kwa jina la Yesu
Wanapiga kelele eti wanaungua kwa moto

Kamuulize Maimuna, Subihani, Makata na majini yenu mengine watakuambia Mziki wa Yesu ukoje!

Na mimi nikisema uislam uliletwa na waarabu ili kurahisisha biashara ya Utumwa! Hiyo imekaaje...
Wewe nkuulize kitu rahisi tu, iyo Yesu umemjuaje?
 
Utaharibu uzi kwa maudhui ambayo sio yaliyokusudiwa kwenye uzi huu...

Kiumri Ukristo uliutangulia Uislamu (hili hata wewe unajua), ndani ya vitabu vyenye kubeba hizi imani mbili kuna asilimia kadhaa ya kushahabiana katika mafunzo yake...

Je, kama Uislamu ndio sahihi lakini si Ukristo, iweje kuwe na vinasaba vinavyolingana kwenye maandiko ya imani zote mbili, iweje imani ya kweli Uislamu(kwa mujibu wako) ikope mafundisho ya imani ya uongo Ukristo (kwa mujibu wako)?

Usijibu chochote kwenye hii post, tafakari kimya kimya
Uislam ndio dini ya kwanza na ya mwisho duniani.
Ulianza na Adam pale Eden.
Ukristo kwanza sio dini.
Ni uhuni Fulani tu umeasisiwa na waroma apo katikati
 
Unawasaidiaje wanawake wenzako hawa wanao omba hela sana , chuma ulete, wavaa uchi, wanaotaka mwanaume mwenye hadhi huku yeye hana hadhi na hawa wanaodhurura huku na huko Ili wanawake wenzako walio kwenye makundi haya waache waache tabia zao mbaya na pia wasitishe kwenda kwenye nyumba za ibada kuuziwa maji na mafuta yanayodaiwa ni ya upako kwa lengo la kutaka kutufunga kauli wanaume huku wao wenyewe wakikaidi amri za mwenyezi Mungu kuwa wao ni dhaifu chombo kisicho na nguvu na wapochini ya tawala na miliki ya mwanaume aliye kiongozi mkuu ?
 
Utaharibu uzi kwa maudhui ambayo sio yaliyokusudiwa kwenye uzi huu...

Kiumri Ukristo uliutangulia Uislamu (hili hata wewe unajua), ndani ya vitabu vyenye kubeba hizi imani mbili kuna asilimia kadhaa ya kushahabiana katika mafunzo yake...

Je, kama Uislamu ndio sahihi lakini si Ukristo, iweje kuwe na vinasaba vinavyolingana kwenye maandiko ya imani zote mbili, iweje imani ya kweli Uislamu(kwa mujibu wako) ikope mafundisho ya imani ya uongo Ukristo (kwa mujibu wako)?

Usijibu chochote kwenye hii post, tafakari kimya kimya
Wewe ndio utaarib Uzi maan hii ni open forums lazima tu reply comment yako,
Nabii issa hakuwa mkristo alikuwa mwislam kama sivyo leta ushahidi.
 
Kichwa cha habari kinajieleza.

Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.

Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.

Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.

Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".
unadhani ni sababu zipi zinachochea wanawake walio olewa hivi sasa, kuwa warahisi mno ukiwatongoza wanakubali bila hiana na kutoka nje ya ndroa zao bila woga 🐒
 
... Kuna Ushahidi mwingi sana wa kijeolojia unaounga mkono nadharia ya 'EVOLUTION', kwamba binaadam, na viumbehai wote duniani, ni matokeo ya madiliko madogomadogo kutoka kemikali zenye tabia kanganyifu mpaka tulipo sasa.
... mimi kama binaadam mwenye dini nakubali mafundisho ya dini yangu lakini pia nakubaliana na nadharia ya 'EVOLUTION' ... kwamba maelezo yaliyo kwenye misahafu, kuhusu uumbaji, ni ufupisho tu wa kilichotokea HALISI Katika uumbaji ambao umepitia njia ndefu ya 'EVOLUTION'!
MAONI YAKO TAFADHALI!

... Kuna Ushahidi mwingi sana wa kijeolojia unaounga mkono nadharia ya 'EVOLUTION', kwamba binaadam, na viumbehai wote duniani, ni matokeo ya madiliko madogomadogo kutoka kemikali zenye tabia kanganyifu mpaka tulipo sasa.
... mimi kama binaadam mwenye dini nakubali mafundisho ya dini yangu lakini pia nakubaliana na nadharia ya 'EVOLUTION' ... kwamba maelezo yaliyo kwenye misahafu, kuhusu uumbaji, ni ufupisho tu wa kilichotokea HALISI Katika uumbaji ambao umepitia njia ndefu ya 'EVOLUTION'!
MAONI YAKO TAFADHALI!
Hili swali lako nimelihamishia uzi husika, nimelijibu huko:

 
Kamtongoze,kafunguwa uzi wa kutongozwa tu:

🤣🤣🤣
 
Kichwa cha habari kinajieleza.

Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.

Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.

Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.

Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".
Bi FaizaFoxy

Sina mashaka na content utakayoijaza hapa.

Maulana akujalie subra, hata watakaokuvuruga makusudi wasikutoe kwenye lengo la msingi wa uzi huu adhimu na mujarabu!

Lete maneno...
 
Kichwa cha habari kinajieleza.

Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.

Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.

Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.

Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".
Vijana hapa wanauliza wewe ni mzaramo, mluguru, mmakonde au mndengereko?
 
FaizaFoxy samahani sana.

Nimekufuatilia comments zako na nyuzi zako huwa naona hauna ile femiminity (qualities or attributes regarded as characteristic of women or girls)

Hata kuna baadhi ya wadau wanasemaga wewe ni mwanamume. Unatuhakikishiaje kuwa wewe kweli ni mwanamke na sio mwanamume?

Si kwa ubaya lakini
 
Hapana, sivyo hivyo.

Lichukulie neno "kuowana" kwa maana yake ya Kiswahili. Huwezi kuoanisha raba na kandambili. Ili iwe jozi ya viatu ni lazima viowane. (compatibility).

Ndoa zimeenza na zimetiliwa mkazo sana na Uislam, ukitaka kuwa kwenye furha fata vigezo vya ndoa vya Kiislam, no jokes.
Umeongelea swala la compatibility/kuoana.. can you elaborate more Madam?


Pili Ikiwa kijana amechumbia In a hurry Kwa msukumo wa Binti/mwanamke , Mwanamke alitegesha akabeba ujauzito bse alitaka ndoa Kwa udi na uvumba, Kijana akapeleka kishika uchumba , Binti kajifungua Maisha yakasonga ila hakujawahi kuwa na amani , wanapata vipato vikubwa /fedha nyingi za mitaji the were financially free Binti alikuwa mwajiriwa Taasisi X Na kijana alikuwa husla wa mtaani ila alikuja PATA kazi part time kwenye taasisi x Anayofanya kazi Binti Kwa ufupi within 2 years wamepoteza more than 30 Million na unstable marriage/courtship Mpaka imepelekea bidada kapoteza kazi nk na mahusiano hayana amani? What can be done ... Na mtoto wao Ako na 2 years now ?

Wakiwa mbali everything is fine ...
 
Back
Top Bottom