Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona

Hivi hamna hujuma kweli kwa ugonjwa huu kumpata mtoto wa Mbowe! Nawaza tu🤔.
 

ha ha ha, wakati mwingine ili watu wa mtaani masela wa kijiweni waamini uwepo wa kitu cha hatari basi ni lazima kugusa na kuchoma sindano za moto kwa baadhi ya familia ‘kubwa’, japo mkubwa ni Mungu tu alieleta adui Corona asieshikika mkononi akupigae nawe huwezi kulipiza kisasi! nani angemfunga paka kengele sasa , mi kwangu naona hakukosea kumtaja mgonjwa this is public health issue kwanini DJ afiche ili mtoto akichepuka mtaani kula fegi awaambukize masela manake si hawakutaka ajulikane? mbona watu wengine wamejitangaza na kuwekwa lock up aka karantini!
 
Hivi nyie mashetani kwanininaleta mambo yenu ya siasa kwenye issue ya life and death hivi mnaona kama kamchezo vile au?

Yani unafuraha una take pride kabisa mwanadamu mwengine kuwa mgonjwa what kind of an animal are you ???

Mnafanya the whole black race tuonekane wapuuzi,wasio na akili,washenzi tuliokosa ustaarabu.Hivi jambonla corona ni LA kuleta fun mbele za watu !!!

Italy huko sana record more than seven hindered death in a day, hivi unadhani ikija kuspread Tanzania na hali yetu ya kiuchumi itakuwaje mbona ham contemplate??
Unajuaje next utaumwa wewe? ,mkeo? Watoto wako? Au wazazi wako ?? Do you think its funny making politics in serious pandemics like this ???

Shame on you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kati mwamba Technically aka kamanda wa Chadema alianzisha uzi hapa akiombea Corona iingie nchini.. Sasa imeingia imeanza na ndugu wa chama chake..😀😆😀hapa ndo hua najiuliza chadema amebaki nani mzima upstairs
 
Makonda aache kuropoka kutoa taarifa zisizomhusu
 
Mbowe kafanya uzembe ambao utagharim watu wengi
Mbowe hakua na sababu ya kuita press conference ilihali anajua anamgonjwa wa korona nyumban kwake huu ni uzembe unatakiwa kupingwa kwann baada ya kufaham kua mwanae alikua na Corona hakujiweka karantin mpaka ametangazwa na Paul Makonda et leo ndio anasema amejitenga karantin yeye na wafanyakazi Wake
Wakati amesha fanya mizunguko mingi na hata kukutana na watu
MUNGU ainusuru Tanzania mungu atulinde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili ya mbowe na TL inafikiria kuchonganisha Taifa na mabeberu,sasa hao mabwana wao Leo tunaongea lugha moja inaitwa covid 19
 
mtoa mada nimekuelewa mako anaropoka lakini kuropoka kwake sometime kunawashtua watu na majanga, imagine dogo kakohoa siku tano hajui ana shida gani, hapo baba yake kashamjulia hali ndugu mpaka marafiki wamemjulia hali, siku ya tano anakuna kujishtukia aisee ni hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…