Hamna anayebeba dhambi za mtu kuwa makini, kila mtu anabeba furushi lake mwenyewe. Usijidanganye π€£π€£π€£So long as mko hai mtabeba majanga aliyochuma huyo mtu wenu..ππππ.
alipiga watu risasi hata pole hakuna,
alivunja watu kiguu akasema eti wlilewa ππππ.
Nawapatiliza wana dhambi za baba zao,mtabeba Hadi mnaingia makaburini kumfuata baba yenu πππ
Walitukanwa wakiwa madarakani sio baada ya kuwa wametokaEnzi zao walitukanwa sana, hasa Mwinyi na Kikwete. Labda kama ulikuwa mdogo sana huwezi kukumbuka.
Mzee Mwinyi mpaka alitoa hutuba na kusema 'ametukanwa matusi ya nguoni'.
Au ulitaka watukanwe vipi?
Labda Mwinyi wengine walitukanwa wakiwa wazima hadi Sasa wamezoea na watukanaji wamechoka kutukana, hata huyu watachoka tuMbona Mwinyi na wenzake hawatukanwi
Mwalimu nikwambie kitu,uhuru ni bora kuliko yote hayo,vinginevyo blacks wa south africa wangemuacha kaburu awatawale tu,maana walikuwa na maisha bora kasoro uhuru,Ni kweli hakupandisha mishahara akasema sababu ni Nini!! Na mfumuko wa bei haukuwa mkubwa hivi!
Leo mfumuko ni mkubwa na tulidanganywa asilimia zile hapo july mwaka jana na hakuna sababu za msingi za kutudanganya na mfumuko ndio huo unauona!!
Hiyo familia Ina mkosi, ilizaa Pepo, ikaishi naloKabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Familia ya Nyerere imekuwa ikitukanwa kabla hata ya Uhuru lakini huwezi kumuona Madaraka au kaka zake wakijibu shutuma.Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kama kuuliza kuwa kwa nini anatukanwa ni jinai njoo unikamate nimekaa paleThis is unfair kwa wapenzi, ndugu na jamaa wa marehemu kwani huwaponyi Bali unawaadhibu kwa kufanya psychological torture! Acha hii kitu Mara moja kwani unafanya jinai na huitakii jamii yake amani.
Viongozi wetu wanajitahidi kutuleta pamoja na kusahau yaliyopita wewe unachochea mpasuko na uvunjivu wa amani dhidi ya wafuasi wake na wasio wafuasi wake! Lengo lako ni nini Kama huchochei vurugu?
Halafu unajiona umeandika as a gt!
Mauaji yanaendelea mpaka leo. Maiti zinaokotwa ndani ya viroba kila mkoa wa TZ, na haya nayo yamefanywa na JPM?.Jiuaji bladifakeni Jiwe
Idiot, go figureYou are very stupid for failing to identify who is your real enemy. Abusing a dead person can't make you strong.
Mkuu unajua mzazi wako akishaingia kweny siasa ni vzr sana ukajiepusha na mitandao hasa Jf, Twitter na Instagram yaan zitapigwa spana kinyama!! Na siasani haya yote lazima yakukute hakuna namna!! Imagine babaako anaambiwa mbele za watu arudi na mavi yake nyumban π€£π€£π€£π€£ imagine!!Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kweli siasa zinataja uwe na ngozi ngumuMkuu unajua mzazi wako akishaingia kweny siasa ni vzr sana ukajiepusha na mitandao hasa Jf, Twitter na Instagram yaan zitapigwa spana kinyama!! Na siasani haya yote lazima yakukute hakuna namna!! Imagine babaako anaambiwa mbele za watu arudi na mavi yake nyumban π€£π€£π€£π€£ imagine!!
C mchezo mkuu πKweli siasa zinataja uwe na ngozi ngumu
Ila kwa Magufuli siyo hivyo. Yeye alimiliki mwenyewe kundi la WASIOJULIKANA ambalo lilikuwa linafanya kazi chini ya Makonda na Sabaya. Lilikuwa linateka, linajeruhi na ikibidi linaua wale wote linaoona wanamkosoa Rais. Ndiyo maana hata uchunguzi wa mauaji ya akina Ben Saanane au Azory au utekwaji wa akina Roma haukuwahi kuchunguzwaYou are just a learned friend who thinks that leading a country is that way simple especially here in Africa where power is centralized to one person....
Kwetu Tanzania rais ni kama mungu, unauliwa tu hata na wahusika wengine wanaosaka madaraka na sifa alafu lawama zinamuendea ambaye hata hahusiki. Same case to magufuli....lakini how long tutachukua kila siku kumponda ambaye ameshakufa?
Daaah ila bongo π€£π€£π€£π€£Mkuu unajua mzazi wako akishaingia kweny siasa ni vzr sana ukajiepusha na mitandao hasa Jf, Twitter na Instagram yaan zitapigwa spana kinyama!! Na siasani haya yote lazima yakukute hakuna namna!! Imagine babaako anaambiwa mbele za watu arudi na mavi yake nyumban π€£π€£π€£π€£ imagine!!
Nioneshe chama kilichoenda ikulu kikiwa hakina hata ofisi.Hii ni cheap politics madam, wengi wamejaribu kuja na hii propaganda na wote wameangukia pua. Ofisi sio watu. Unaweza ukawa na ofisi nchi nzima na watu wasikuelewe. So njoo na hoja nyingine
Picha halisi ya kiongozi wanaijua wanafamilia kwanza.
Na wao pia walifurahi baada ya dikteta kuondoka.
Kweli wewe hujui Magufuli alikosea wapi!!!? Samia mwenyewe anahangaika kurekebisha maelfu ya makosa aliyofanya huyo mtu wenu. Juzi tu Samia ameondoa katazo la mikutano ya siasa lililowekwa na dikteta; hujui bado Magufuli alikosea wapi?!!!
Wenzie walitukanwa wakiwa madarakaniKabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.
Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?
Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma