Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Familia ya Hayati Magufuli inajisikiaje Baba yao kutukanwa miaka miwili baada ya kufariki?

Inatakiwa hyo familia ijisikie powa tu! Maana wao hawakuachwa yatima kama watoto wa kina mawazo, azory na ben ambao walinyanganywa baba zao na huyo mwehu wa chato! Watoto ambao ni malaika waliporwa haki ya kutunzwa na baba zao kwa ajili madaraka tu na ulafi wa mtu na lichama lao. Hyo familia na ijifunze sasa maana wamepata darasa! Hayo mnayoita matusi ni sehemu ya topic kwenye somo la maisha!
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kweli umesema ukweli,ata mimi nashangaa mpaka leo kuna masomo yanawafundisha watoto wetu kuhusu mabaya ya HITLER,MUSSOLIN,AMIN,MOBUTU nk wakati hao watu walikufa miaka mingi tu.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Kama Mwenyekiti wa Chama Tawala anawaalika kwenye podium katika mkutano mkuu Taifa watu wanaofahamika tangu mtaani kuwa wanaongoza genge la kumtukana mtangulizi wake. Basi ujue matusi ya mitandaoni siyo jambo la bahati mbaya.

Jiulize wavujisha siri wote wa serikali wapo likizo? Nayo siyo ajali.

Tuendelee kumtukana tu maana ipo siku ataamka na kujibu so swiftly.

Tulambe assli bana. Haya mengine yatajiset yenyewe.

Pole nyingi kwa familia maana serikali imesimama kuhakijisha mzee wao anachafuka kisawa sawa
 
Kweli umesema ukweli,ata mimi nashangaa mpaka leo kuna masomo yanawafundisha watoto wetu kuhusu mabaya ya HITLER,MUSSOLIN,AMIN,MOBUTU nk wakati hao watu walikufa miaka mingi tu.
Hapo umeeleweka
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
You reap what you sow, huu msemo wa wahenga una maana kubwa mno.
Kabla hatujajiuza jinsi familia yake inavyojisikia tujiulize hivi familia ya Ben Saanane ambavyo hawana taarifa yoyote na polisi wamekaushia kabisa kupotea kwake wanajisikiaje kutopata taarifa zozote kuhusu ndugu yao? Hivi familia za waliouawa au walioporwa mali na fedha au walioteswa na kujeruhiwa zinajisiaje na wahanga nao wanajisikiaje?
Maraisi wengine pia waliua na kutesa lakini si kwa kiwango alichoua Jiwe ila kushambuliwa kwake amekusababisha mwenyewe kwa sababu ya mfumo wa divide and rule aliouanzisha kwa makusudi kwa ajili ya faida zake binafsi, aliunda kikundi cha 'chawa' wa kumsifia kipumbavu ambao walikuwa wakikera wengine kwa maneno ya kijinga ku-kustify mauaji, utekaji, utesaji na uporaji mali vilivyokuwa vikifanywa na kikosi cha untouchables waliokuwa almaarufu sana kikosi cha wasiojulikana. Wale wasifia maovu ndiyo walisababisha wale wasiokubaliana na uovu ule nao kuwa wanajibu mashambulizi hata humu JF walikuwepo wapiga mikwara uchwara wa 'utaona unadhani hiyo ID inakulinda, tutakukamata tu'. Walikuwa wapumbavu wakitishia watu hovyo, imagine mpuuzi anakutisha hajui hata uko nchi gani ndiyo maana walikuwa wakiishia kutukanwa tu.
Literally Jiwe aliipasua nchi katikati na huo mpasuko bado upo hata mleta hii mada(huu uzi) kuanzishwa kwake ni ushahidi kwamba nchi imepasuliwa katikati na kurudi kwenye ule ustaarabu wa Utanzania wa kupendana itahitaji kiongozi mwenye busara na upendo wa kweli kuliwezesha hilo.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
hiyo ni familia ya kiustaarabu na asilani haiwezi kujisikia vibaya sababu tu ya wapuuzi wachache ambao wanatukana humu mitandaoni.tunajua hao wanaotukana ni watoto wa zile familia za kifisadi ambazo JPM aliamua kuzisambaratisha.hautakuta mtoto wa mkulima akatukana humu mitandaoni na wanajua ni nn kilijiri wakati wa kipindi cha JPM.tukiacha unafiki,nchi hii kabla ya JPM kuna kundi la watu walijiona wako juu ya sheria na hawawezi kukuguswa.walikuwa wanaiba hata bila kuwa na hofu ya Mungu.waliwafanya watz kuishi bila uhuru.watoto wa mafisadi ndio waliokuwa wakiajiriwa kila sekta ambazo zilikuwa nyeti ktk nchi hii wakati watoto wa walalahoi ajira zao zilikuwa ni chaki na huko majeshini.mafisadi hao waliunda kampuni za kihuni za kuwaibia watz.walipora wanyama wetu na kuwapeleka ughaibuni.walikuwa wanasomesha watoto wao shule bora huku watoto wa walalahoi wakiputwa shule za kata.baada ya mwamba kuingia upuuzi huu ulisambaratishwa ndo maana kwa sasa unaona watoto wa hao wezi ndo wako humu kumtukana mtu ambaye hayupo tena duniani.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Nyie mnaoleta mada zake ndio mnaacha watu wateme nyongo

Wewe kwanini unamuongelea?
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Unaleta upumbavu wako humu kwani huna hoja nyingine yenye mashiko!
 
Wewe hujiulizi kwanini akina Halima Mdee na wenzake wako bungeni na mambo yanakwenda Bila shida?

Hujiulizi kwanini Mabodi anadunda tu?

Dini na Siasa ni Kitu kilekile tofauti ni falme tu!
Yote hiyo ni sababu ya Magufuri bila Magufuri akina Halima Mdee na wenzake wasingekuwa wanapokea hela ambayo ingefanya shughuli nyingine za maendeleo,Magufuri kaifilisi nchi kutokana na ubabe wake usio na faida.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Nyie vibwengo mnaopandisha nyuzi zinazombusu huyo muuaji ndiyo mnakaribisha hasira za wale aliowafanyia unyama.
 
Kabla ya Hayati Magufuli walikuwepo Marais wanne waliomtangulia, ila wote hakuna anayetukanwa si mitandaoni wala majukwaani. Hayati Magufuli amevunja rekodi ya kutukanwa na kubezwa sana,si majukwaani au mitandaoni.

Alikosea wapi? Familia inajisikiaje?Au wameshazoea? Je, tuna la kujifunza kwake? Au tuko tayari kutukanwa tukifa?

Familia yake najua wapo humu mitandaoni wanasoma tu matusi juu ya baba yao. Mama Janeth naye anayasoma
Hata wenyewe wanafurahi tu mbona!! Dikteta alikuwa ana bulldoze mpaka familia. Hujawahi kusikia kisa cha Mama Janet kubeba mchanga kichwani?
 
Hata wenyewe wanafurahi tu mbona!! Dikteta alikuwa ana bulldoze mpaka familia. Hujawahi kusikia kisa cha Mama Janet kubeba mchanga kichwani?
Mama alinyanyasika tangu shetani Magufuli akiwa Waziri. Alivyo na roho ya kishetani alimnunulia nyumba ya serikali mchepuko wake aliyekuwa anasoma geology pale UDSM bila kificho!

Mama Janet ameanza kupata raha baada ya Magufuli kuuawa na wasamaria wema na sasa anakula raha ya kifo cha shetani!
 
You are just a learned friend who thinks that leading a country is that way simple especially here in Africa where power is centralized to one person....
Kwetu Tanzania rais ni kama mungu, unauliwa tu hata na wahusika wengine wanaosaka madaraka na sifa alafu lawama zinamuendea ambaye hata hahusiki. Same case to magufuli....lakini how long tutachukua kila siku kumponda ambaye ameshakufa?
Nikupe gari,nikuteue mimi,mshahara nikulipe mimi halafu nisikie mpinzani ameshinda!Kazi huna.By Magufuri.
 
Back
Top Bottom