Familia ya Lowassa kutomtaja Kikwete rafiki kipenzi wa Baba, je ni kukosa shukran?

Familia ya Lowassa kutomtaja Kikwete rafiki kipenzi wa Baba, je ni kukosa shukran?

Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Hii ni kanuni. Haijalishi ulianza vizuri kiasi gani, kinachobeba taswira ni namna ulivyomaliza. Na mwisho ndiyo unabaki kuwa kumbukumbu.
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Kutomtaja Kikwete kwenye report zao, hotuba na hata jarida lao la Familia la kurasa, 23 ni msingi mzuri kuonyesha kuwa, wao, wana family ya Lowasa hawana unafiki kama wa Kikwete. Ndugu, mwandishi katika hoja zako unasema, wamekosa shukrani. Tukuuluze, shukrani IPI???? Nafikiri shukrani unayoongelea ni Kikwete kumteua, Lowasa kuwa PM. Lakin, tukichambua kwa makini kabisa, aliyekosa shukrani ni KIKWETE. Inasemekana Kikwete hakuwa na pesa, za kuwa Rais, alifadhiliwa na Lowasa na Rostam Aziz. Na utakumbuka, Mwaka 2015 , pale Arusha lowasa alisema kuwa, makubaliano Yao, y alikuwa, kwamba baada ya Kikwete kuwa, Rais, angemwachia, pia Lowasa. Alisema kabisa Lowasa. Aliyekosa Shukrani ni Kikwete. Alivunja makubaliano Yao. Kwanza, issue ya Richmond ilikuwa ya Kikwete lakini akamsingizia Lowasa. Lowasa, akajiuzuru. Akaona hiyo haitoshi, mwaka 2015,akaondoa jina la Lowasa kwenye wagombea wa, Urais wa CCM. Kikwete alimfanyia unyama mkubwa sana Lowasa. Lowasa alikuwa frustrated, mpaka akahama chama. Akapata, stroke kubwa. Bado unasema family ya Lowasa hawana shukrani.
 
Kutomtaja Kikwete kwenye report zao, hotuba na hata jarida lao la Familia la kurasa, 23 ni msingi mzuri kuonyesha kuwa, wao, wana family ya Lowasa hawana unafiki kama wa Kikwete. Ndugu, mwandishi katika hoja zako unasema, wamekosa shukrani. Tukuuluze, shukrani IPI???? Nafikiri shukrani unayoongelea ni Kikwete kumteua, Lowasa kuwa PM. Lakin, tukichambua kwa makini kabisa, aliyekosa shukrani ni KIKWETE. Inasemekana Kikwete hakuwa na pesa, za kuwa Rais, alifadhiliwa na Lowasa na Rostam Aziz. Na utakumbuka, Mwaka 2015 , pale Arusha lowasa alisema kuwa, makubaliano Yao, y alikuwa, kwamba baada ya Kikwete kuwa, Rais, angemwachia, pia Lowasa. Alisema kabisa Lowasa. Aliyekosa Shukrani ni Kikwete. Alivunja makubaliano Yao. Kwanza, issue ya Richmond ilikuwa ya Kikwete lakini akamsingizia Lowasa. Lowasa, akajiuzuru. Akaona hiyo haitoshi, mwaka 2015,akaondoa jina la Lowasa kwenye wagombea wa, Urais wa CCM. Kikwete alimfanyia unyama mkubwa sana Lowasa. Lowasa alikuwa frustrated, mpaka akahama chama. Akapata, stroke kubwa. Bado unasema family ya Lowasa hawana shukrani.

Unashangaa familia kutomtaja Kikwete, walijaribu kutoitaja hata CHADEMA. Sasa ndo uone ni familia ya aina gani!.

Kikwete alimpa mzee wao uwaziri mkuu wao wanataka angempa urais kabisa!
 
Unashangaa familia kutomtaja Kikwete, walijaribu kutoitaja hata CHADEMA. Sasa ndo uone ni familia ya aina gani!.

Kikwete alimpa mzee wao uwaziri mkuu wao wanataka angempa urais kabisa!
Sidhani kama uwaziri mkuu unatolewa kama nyanya sokoni.Lowasa alikuwa mchapa Kaz wa hali ya juu Sana. Hao watu wawili Lowasa na Magufuli w alikuwa na uwezo wa hali ya juu Sana kiutendaji , hauwezi kuwaacha. Lazima uwape kazi. Na ukikosea wana, Ku overshadow:
 
Kutomtaja Kikwete kwenye report zao, hotuba na hata jarida lao la Familia la kurasa, 23 ni msingi mzuri kuonyesha kuwa, wao, wana family ya Lowasa hawana unafiki kama wa Kikwete. Ndugu, mwandishi katika hoja zako unasema, wamekosa shukrani. Tukuuluze, shukrani IPI???? Nafikiri shukrani unayoongelea ni Kikwete kumteua, Lowasa kuwa PM. Lakin, tukichambua kwa makini kabisa, aliyekosa shukrani ni KIKWETE. Inasemekana Kikwete hakuwa na pesa, za kuwa Rais, alifadhiliwa na Lowasa na Rostam Aziz. Na utakumbuka, Mwaka 2015 , pale Arusha lowasa alisema kuwa, makubaliano Yao, y alikuwa, kwamba baada ya Kikwete kuwa, Rais, angemwachia, pia Lowasa. Alisema kabisa Lowasa. Aliyekosa Shukrani ni Kikwete. Alivunja makubaliano Yao. Kwanza, issue ya Richmond ilikuwa ya Kikwete lakini akamsingizia Lowasa. Lowasa, akajiuzuru. Akaona hiyo haitoshi, mwaka 2015,akaondoa jina la Lowasa kwenye wagombea wa, Urais wa CCM. Kikwete alimfanyia unyama mkubwa sana Lowasa. Lowasa alikuwa frustrated, mpaka akahama chama. Akapata, stroke kubwa. Bado unasema family ya Lowasa hawana shukrani.
Kuuliza swali siyo kwamba muuliza swali amejenga msimamo kwenye swali
 
Sidhani kama uwaziri mkuu unatolewa kama nyanya sokoni.Lowasa alikuwa mchapa Kaz wa hali ya juu Sana. Hao watu wawili Lowasa na Magufuli w alikuwa na uwezo wa hali ya juu Sana kiutendaji , hauwezi kuwaacha. Lazima uwape kazi. Na ukikosea wana, Ku overshadow:

Angeamua angempa yeyote mwingine nani angemzuia?.

Ni kwamba JK alimtaka Lowasa awe waziri mkuu, akampa uwaziri mkuu full stop.
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?


Nani kasema alikuwa rafiki kipenzi🙏 Kikwete ni mnafiki sana wa msio mfahamu ana wivu wa ajabu. Chini chini yeye ndiye alimtoa uwaziri mkuu na kukampeni asiwe Raisi
 
JK inaonekana ni icon inayopenda kutupiwa lawama kila wakati.

Lowasa alikataliwa na Nyerere kwanza kabla ya Kikwete. Hata jaji Warioba alithibitisha juzi hilo
na pia unakumbuka mkapa alipouzima ule wimbo wa tunaimani na lowassa!acheni kumsingizia jk,hivi ccm ingetaka lowassa awe rais na anayekataa ni jk tu,lowassa si angekuwa rais
 
Hii kauli tulikubaliana akitoka yeye niingie mimi nilipoisikia kwa mara ya kwanza ilinishangaza sana
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Akitajwa au asipotajwa inaqkuhusu nini? By the way tafuta hela mkuu
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Kwahiyo kikwete kuongea hivyo ndo Ina maana alikuwa akishirikiana na na ndugu na kuwa karibu na marehem?
 
Back
Top Bottom