Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Hujui sababu ya wanawake kushikwa na majini?

Ulisha wahi kusikia mwanaume mwenye majini au mapepo??

Ulisha wahi kujiuliza kwanini nyoka alichagua kuongea na mwanamke na siyo mwanaume?

Hata bible yenyewe inasema mwanamke ni dhaifu,maana yake ana shida mahalaaa.

Shida Yako ni kutaka kujifananisha na mwanaume plus kutaka usawa.Mwanaume ni mwanaume.Wewe utabaki kuwa mwanamke tu

Hao vijana wanapewa tahadhari tu,wasije kusema hawakuambiwa. Choice ni yao.

ANGUKO LA WANAUME % KUBWA NI MWANAMKE.

Wajanja walisha shituka kitambo,
Kina Elon musk na Bezos na wengineo
 
sasa hapo jamaa ndo amepotea sababu Bora angeowa mmoja alafu aone kama atatedwa tena kubadilisha sana ni mbaya zaidi. magojwa anapoteza muda pia pesa na pia ataishi kama mbwa hana familia sababu tu ya kosa la kujichanganya kwa malaya..
Hapo wakati huo alikuwa tayari ana mke mkuu...
 
Mama yake ana hekima sana.
amenijenga sana kweli najua wachunaji wapo ila naona wapo wadada wanachakarika siku hizi wanafanya biashara wanatembeza nguo huko na huko wamejiajiri kwenye masoko ..lakini mitaani hatuna amani vijana hawataki kazi wanatuvizia usiku na visu na nondo wamechukua maisha ya wengi.. watu wameibiewa kwa kuuwawa.. sawa wanakuja kubeba jeneza ila wao ndo wametuuwa usiku...bado nasimama na mama yangu na wamama wote wadangaji watajua na mungu wao mana nao wana maisha mafupi sana...
 
Hujui sababu ya wanawake kushikwa na majini?

Ulisha wahi kusikia mwanaume mwenye majini au mapepo??

Hao vijana wanapewa tahadhari tu,

ANGUKO LA WANAUME % KUBWA NI MWANAMKE.

Mimi siamini katika majini, im sure kama yapo yatakua ya ajabu sana kufuata wanawake na sio wanaume....au wote in this matter...ningependa kujua majini yameumbwaje ? nielezee tafadhali..au naturally ni ya kiume ndio maana yanafuata wanawake?lol

Eti vijana wanapewa tahadhari, kutoka kwenu nyie mliokuwa shaped na experiences mbaya????

Anguko la mwanaume asilimia kubwa ni mwanamke,pole we, hutaoa, na ukioa hutakua na furaha na ndoa yako, kila saa utakua unakaa kimachale machale.. tu
 
Pamoja na yote still there milions of best women
 
Hata mke wako unatakiwa uishi naye kwa akili
 
i like you mkuu, you will make a perfect husband,lol, ukitaka kuolewa, angalia mwanaume mwenye ushusiano mzuri na mama yake!, au at least anaye appreciate mchango wa mama yake katika maisha yake!....na kuheshimu wanawake...kwa kweli umeoa? kama bado..kama kuna mdada humu yuko available huyu kaka sasa ndio type ya 'husband material' ..lol... 🀣 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
 
Kaka nakuelewa Sana ila Kama Mungu amekujalia huruma huwezi acha kusaidia pili msitoe pesa zenu kwani lazima mnatoa wenyewe kisa Sex kosa la kwenu mapenzi hayauzwi wekeni msimamo.MWISHO KBS SEX NI KWA WANANDOA TU HAKUNA MJADALA TUACHE ZINAA.
 
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijaowa bado..
 
Siyo kimachale machale.

Mungu kusema ishini na wanawake Kwa akili,unafikiri ni mchezo????

Hiyo kimachale machale ndo akili yenyewe.Hupaswi kwenda mzimamzima.

Au Mungu kusema ishini na wanawake Kwa akili alikosea?? Na yeye pia hana akili ,ana matatizo.

Kuna kitu aliona.Siyo mchezo mkuu.

Udhaifu ndo unafanya hayo mapepo na majini yawaingie na siyo jinsia za majini.Shida Yako ni kujifananisha na mwanaume.Hiyo battle mwanaume ni winner achana nayo.
 
Wewe upo kwenye kundi la wanawake wanaojitambua na inaonekana umelelewa vizuri haupo kwenye kundi la wanawake ambao anaowasema mtoa mada wewe hata siku ukija kumuomba boyfriend wako kweli boyfriend wako anajua unashida serious na atakusaidia sio kwa wanawake wasasa wanaomba mpaka nauli unaingia kwenye mahusiano kwaajili ya kupata upendo, Amani ya moyo, kunyanyuana kiuchumi lakini unaenda kukutana nacho sio ulichotegemea ndio kwanza unaenda kuongeza stress, kurudishana nyuma kiuchumi unakamuliwa vyakutosha Sana ukitoka hapo upo hoi ndio maana dada yangu watu wameamua kutoa nyongo zao kwenye Huu uzi sio kwamba wanachuki na wanawake
 
Kaka nakuelewa Sana ila Kama Mungu amekujalia huruma huwezi acha kusaidia pili msitoe pesa zenu kwani lazima mnatoa wenyewe kisa Sex kosa la kwenu mapenzi hayauzwi wekeni msimamo.MWISHO KBS SEX NI KWA WANANDOA TU HAKUNA MJADALA TUACHE ZINAA.
Nani kasema anatoa pesa apate sex MBONA MNATUMIA NGUVU NYINGI KUTWIST MADA ?! Imejadiliwa mwanamke atalia shida ukimtumia hata shukrani hakuna ni kimya next text atatuma ni ameishiwa gesi au kodi imeisha je hili ni sawa kwa kiasi gani ?!
 
Unaona hayo mambo ?! Usiwe na huruma na mwanamke kama anashida muache afe., kama anabakwa muache abakwe wewe wahi kwenye mishe zako, unaenda kumsaidia hachelewi kusema na wewe ulimbaka kisa umevaa poa anaona atavuta mpunga, hawana shkrani.
Impitie sina akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…