mjadala umefugwa..Finally we have agreed mkuu... tunachopinga sisi ni general conclusion wanawake wote ni wabinafsi, wasiopaswa kusaidiwa, mwanamke kutoa ama kutotoa hio ni ya kwako mkuu..kila mtu ashinde mechi zake..
Hahahaha mimi sio single mother, ila ningekua still nisingeruhusu mwanaume yoyote kuni treat like shit..kila mtu ashinde mechi zake..lol...sababu hata hao single mothers hao watoto hawakupewa na mijusi ni wanaume kama nyinyi mnaotreat wanawake kama shit proving ni nyinyi wanaume ndio selfish, msio na huruma, msio na shukrani (sio wote)Huo ni mtazamo wako mkuu.Maana Mimi sijasema hivyo.
Kuwa single mother siyo kosa lako,Tatizo ni kichwa chako.Kilaumu Kila siku.
i agree 100%... 😍😍😍😍😍tatizo wamepokelewa vibaya hata wake zao wamewaowa wakaanza na ukatili hapo hapo usitegemee mwanamke atakuvumilia...
Tena kwa ulimwengu huu wa kisasa wa usawa lazima utumie busara zaidi kuliko ubabe.
Unawezaje kuwa mkatili kwa mtu anae kupikia chakula???
Wanajikuta wanafanya hivyo kutokana na mazingira ya wanawake wasasa hivi umeona alichopitia saidi yule wa Mwanza kambadilisha demu alikuwa barmaid mpaka kumfanya awe mpambambaji wa maarusi na kumbi za harusi kawekeza muda na fedha kwake na akaenda mbali zaidi mpaka kumuoa kabisa lakini angalia malipo yake aliyoyapata ndio maana mtoa mada anasema Wanawake wengi especially wa kizazi hiki wengi wao ni wabinafsi na wasio na shukrani kijana usijitoe ufahamu kwasababu tu unataka nyapu humu Jfhata vijana wamebadilika mkuu zamani huwezi kuta kijana anafanya unyanyasaji wa hivi mkuu.
hahahah nyie wachukia wanawake ndio huwa mnamjibu mtu anayewachallenge kidogo kwa matusi ya Nguoni...eti bwawa, sugar mumy,malaya...tunawasoma na kuwazooom tuu....tunacheka hihiihiiii in Magufuli's voice!Hahahahahah. Bahati yako I never chose you. Nilikuona na bado nakuona huna issue kupitia post zako. Ni kama bibi flani tu hivi sugar mummy ambae lina bwawa kubwa na hata mtu ukienda utaishia kuogelea tu. Hahahahaahah. By the way nimesema tu mkuu wala usitafute battle na mimi. Qmmako malaya mkubwa wewe
Eti kipi kipya nilichonacho, wewe una kipya kipi kwani????
Wivu yes, tatizo lako ni immaturity, wewe ni kijana mdogo sana sidhani kama hata umefikisha miaka 30...
Wivu, sio lazima umuone mtu physically, au umuone ame acquire mali,gari,elimu sijui mke...
Wivu saa nyingine, hata kumuona mtu amekua accepted kwa mchango wake, katika jamii...
Unakua annoyed, why him and not you...
Unanipotezea muda na nguvu nyingi, kukufanunulia kwa ujuaji wako...
Nafikiria kuanza kuku ignore...
Unaniboa
Wanajikuta wanafanya hivyo kutokana na mazingira ya wanawake wasasa hivi umeona alichopitia saidi yule wa Mwanza kambadilisha demu alikuwa barmaid mpaka kumfanya awe mpambambaji wa maarusi na kumbi za harusi kawekeza muda na fedha kwake na akaenda mbali zaidi mpaka kumuoa kabisa lakini angalia malipo yake aliyoyapata ndio maana mtoa mada anasema Wanawake wengi especially wa kizazi hiki wengi wao ni wabinafsi na wasio na shukrani kijana usijitoe ufahamu kwasababu tu unataka nyapu humu Jf
Na ndiyo maana nikasema shida iko kichwani.Maana hao wanaume hawaku force.Hahahaha mimi sio single mother, ila ningekua still nisingeruhusu mwanaume yoyote kuni treat like shit..kila mtu ashinde mechi zake..lol...sababu hata hao single mothers hao watoto hawakupewa na mijusi ni wanaume kama nyinyi mnaotreat wanawake kama shit proving ni nyinyi wanaume ndio selfish, msio na huruma, msio na shukrani (sio wote)
Acha kulialia wewee tulia dawa iwaingieMnh huyu muandishi wa hii topic kama sio yule Robert..sijui
Hautakuwa kwenye committed relationship uka enjoy Matunda ta real love, never ever ! Kwa kudhani kila mwanamke yuko kwako ku gain something...tunakupa pole kwa kweli...
Yaani wewe utakua ulikua Mchoyo sana,ulivyokua mdogo. Poor you! Sikulaumu japokua umesema una mapesa sasa hivi, lakini umekulia maisha ya shida sana, umekua surrounded na poverty ndio maana uko selfish,sababu unaona pesa ya thamani sana, not to be wasted, not to be given to anybody.... sikulaumu mazingira na experiences tunazokulia ndizo zinazofanya tuwe confused tukiwa wakubwa...
Najua utakataa lakini ukweli ni huu...
1. Umekulia kwenye umaskini.
2. Una uchoyo hata kwa ndugu zako. Eti hapo kasema , atasaidia dada zake ila sio wanawake, hao dada sio wanawake?, sema wewe ni mchoyo, hutoi hela yako/msaada kwa yoyote na sio mwanamke peke yake, art of giving, haiangalii unatoa msaada kwa nani, kiwete au mzima, ndugu au sio ndugu, whether you get something back or not, au mwanamke na mwanaume ila ukiwa mchoyo ndio utafanya tofauti na hayo mambo.... eti humsaidii mwanamke sababu she has nothing to offer than mbunye...yaani unatoa msaada to get back something ndio unapproved wwe ni mchoyo... hivyo eti?! ...basi kasaidie wanaume wenzio upate di**ck!... maana jinsia ziko mbili tu mwanaume na mwanamke , na wewe unatoa msaada kwa kuexpect something in return, haya wanaume wenzio wana offer di**ck...
3, Wewe ni mtu uliyekataliwa sana na wanawake/ rejected because of poor status ukajiapiza ukipata hela hautampa mwanamke pole weeeee
Nyie watu mliokuwa confused na malezi, msituumie hii platform ya bwana Melo, ku influence upumbavu... na wanaume wengine wameingia kichwa kwenye huu ujinga...
Usilie dada we tanua vizuri dawa ikuingie. Unaonekana umezoea kitonga sasa mada kama hizi zinakupa mawenge, kaa kwakutulia.Manaume yale yako twisted, yamejazana humu kwenye hii topic, stop treating women like shit, wapuuzi tu nyie
asee nakwambia jamaa amepata anacho stahili wewe una mke unamwacha mke wako unaenda mjengea kimada mdangaji unawekeza kwake unategemea nini kama sio mauti..Wanajikuta wanafanya hivyo kutokana na mazingira ya wanawake wasasa hivi umeona alichopitia saidi yule wa Mwanza kambadilisha demu alikuwa barmaid mpaka kumfanya awe mpambambaji wa maarusi na kumbi za harusi kawekeza muda na fedha kwake na akaenda mbali zaidi mpaka kumuoa kabisa lakini angalia malipo yake aliyoyapata ndio maana mtoa mada anasema Wanawake wengi especially wa kizazi hiki wengi wao ni wabinafsi na wasio na shukrani kijana usijitoe ufahamu kwasababu tu unataka nyapu humu Jf
wakati said anatedwa mwanamke alikuwa anarudi kwa mume wake ambae yeye anaona anakuwa na amani..Wanajikuta wanafanya hivyo kutokana na mazingira ya wanawake wasasa hivi umeona alichopitia saidi yule wa Mwanza kambadilisha demu alikuwa barmaid mpaka kumfanya awe mpambambaji wa maarusi na kumbi za harusi kawekeza muda na fedha kwake na akaenda mbali zaidi mpaka kumuoa kabisa lakini angalia malipo yake aliyoyapata ndio maana mtoa mada anasema Wanawake wengi especially wa kizazi hiki wengi wao ni wabinafsi na wasio na shukrani kijana usijitoe ufahamu kwasababu tu unataka nyapu humu Jf
Unapoteza nguvu zako kupingana na maada.Wewe ni mwanamke pekee unayetaka kupinga kilicho andika.Haujishtukii Mkuu? Ujuaji tu ndo umekujaa
Yani nione wivu Kwa kumwambiwa mwanaume mwenzangu yeye ni husband material? Hiyo ni ngumu.Maana kuambiwa hata wewe unaweza kuambiwa wewe ni mzuri japokuwa si kweli. Ok.mwanamke mwingine aone wivu mm kukwambia wewe ni wife material? Mbona inashangaza... Maana kama vigezo ni vyako ulivyo tumia kusema na mm kutakuwa na vigezo vyangu nilivyo tumia kusema.Wivu???
Ignore.
Huu ujumbe wako ngoja nimtag bidada Rebeca 83 na Mume wake mtarajiwa The unpaid SellerHuu uzi umenikumbusha kisa changu na mwanamke mmoja hivi kati ya 2008 mpaka 2012.
Ni mwanamke wangu wa kwanza kwenye mahusiano, nililazimika kukaa nae geto kipindi hicho kwa sababu ya shida zake binafsi na nyumbani kwao. Alikuwa amefukuzwa kwao.
Kipindi hiko 2008 ndiyo na miezi kama 5 hivi tokea nipange na kujitegemea hata sikua nimefika mbali kiivile.ndio nilikua naanza maisha hapo hapo na mke juu, na alikua mwanamke wangu wa kwanza.
Nilikua na maisha magumu kwa kiasi kikubwa sana, yule binti aliumwa wa kulala kitandani kama mwaka na nusu hivi, maisha yangu na yule msichana yalikua magumu sana siku pata msaada popote pale iwe nje ama ndani, nilikomaa naye mpaka akapona na mimi nilirudi nyuma kiuchumi kwa kiasi kikubwa .
Ilibidi nimtafutie biashara eneo fulani lenye pilikapilika sana, haikupita miezi mitatu akaniambia amenivumilia sana anaona bora aondoke amepata bwana mwingine mimi ni maskini sana.
Alisahau mimi nilimvumilia mwaka na nusu wa kuugua kwake hata sex ilikuwa no.
Mwishowe akaondoka na vyombo ingawa nilinunua tukiwa nae lakini alibeba vyote akaondoka huku namungalia kwa machozi, kibaya zaidi huko aliko enda olewa na huyo bwana alikuja kumchukua mlangoni kwangu kabisaa.
Ingawa niliumia sana,nilirudi nyuma sana, lakini nilipoona yale maumivu.
Mwanamke huwa inapofika wakati wa kufanya lile linalo mfaa kwa wakati huo huwa haifikirii jana wala kesho, hana huruma hata kama wewe ni nani, hajali machozi ya mtu.
Kwa namna hio wanaume wengi kwa namna moja ama nyingine wameumizwa sana tena sio mara moja au mbili wala tatu, ndio maana kilio na malalamiko yamekua mengi mno.
Mwanamke ni mtu mzuri sana akiwa mama, na binti yako, akitoka hapo haki ya Mungu ishi nao kwa tahadhari sana.