Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Waambie haooooooooooooo.... halafu kusoma sio lazima kujiajiri, hajitambui huyo aliyekujibu, mzazi kule Chamwino, anauza mahindi mwanae aje kuwa na kazi nzuri, hategemei mwanae ajiajiri.....Wewe mwenyewe inaelekea hujielewi. Wote wanaolalamika hapa wameoa wasomi? Mbona wanapata changamoto nyingi tu kwenye ndoa. Nasisitiza tena hao unaowasemea hawajielewi. Uwe umesoma au la, kama hujielewi ni bure
Upo wapi mwanamke unaejielewa nimtume dereva hapa aje akuchukue uende kula kiapo cha uteuziMnakutana na wasomi ambao hawajielewi. Mwanamke anayejielewa hawezi kutamani hela ya mwanaume. Uwe umesoma au hujasoma hama hujielewi ni bure kabisa. Sasa unafanya kazi na una mshahara mzuri halafu unampiga vizinga mpenzi wako, si bora uache kazi ijulikane moja. Huo ni ujinga. Ndio maana familia nyingi haziendelei sababu wanaume wanahangaika wenyewe kulisha familia ili hali mke anafanya kazi. Eti nina hela niache kulipa ada ya mtoto wangu niliyezaa nimsubirie mwanaume sababu ni jukumu lake loh. Mimi nafurahi kabisa kuona nafanya mchango kukuza familia yangu.
Waambie haooooooooooooo.... halafu kusoma sio lazima kujiajiri, hajitambui huyo aliyekujibu, mzazi kule Chamwino, anauza mahindi mwanae aje kuwa na kazi nzuri,
Kila mzazi anapenda mtoto wake asome ili awe na maisha mazuri baadae. Iwe kuajiriwa au kujiajiri. Wao wasomeshe watoto wao halafu wanataka waoe ambao hawajasoma.Waambie haooooooooooooo.... halafu kusoma sio lazima kujiajiri, hajitambui huyo aliyekujibu, mzazi kule Chamwino, anauza mahindi mwanae aje kuwa na kazi nzuri, hategemei mwanae ajiajiri.....
Hahahaha. Uteuzi tena wajemeni. Huku niliko ni zaidi ya uteuzi. Mimi najua ninachokiongea na ninakiishi.Upo wapi mwanamke unaejielewa nimtume dereva hapa aje akuchukue uende kula kiapo cha uteuzi
Ndio masuper woman nyie tunaotaka bwana. Hawa wengi wee wacha wajida omba omba wataishia kugegedwa tuuHahahaha. Uteuzi tena wajemeni. Huku niliko ni zaidi ya uteuzi. Mimi najua ninachokiongea na ninakiishi.
SaanaFor your information.. hakuna mtu katili kama wanawake.
Kwa nini uwe una ombaomba , ridhika na kipato chako. Hata kama ni kidogo. Na nyie muache kuwapa hela ovyo, ndio mnawafanya wawe wajinga wajinga. Ukimpenda mtu kwa dhati huwezi kumpiga vizinga.Ndio masuper woman nyie tunaotaka bwana. Hawa wengi wee wacha wajida omba omba wataishia kugegedwa tuu
Sawa bwana tutawanyima...tutawasilisha hili jambo kwenye kikao chetu kijacho.Kwa nini uwe una ombaomba , ridhika na kipato chako. Hata kama ni kidogo. Na nyie muache kuwapa hela ovyo, ndio mnawafanya wawe wajinga wajinga. Ukimpenda mtu kwa dhati huwezi kumpiga vizinga.
Kwa hito mwanaume kuwa na huruma ni tabia za kikewanaume hamkuumbwa muwe na huruma,
Unakuta unampangishia mwanamke nyumba ya laki tano ili hali yeye hawezi hata kupanga nyumba ya elfu 50. Ukifulia lazima akukimbie.Sawa bwana tutawanyima...tutawasilisha hili jambo kwenye kikao chetu kijacho.
Nimekukubali mkuu..lolKwa hito mwanaume kuwa na huruma ni tabia za kike
Acha makasiriko tupate mawazo huruManaume yale yako twisted, yamejazana humu kwenye hii topic, stop treating women like shit, wapuuzi tu nyie
Hata yangu ni mawazo huru...Acha makasiriko tupate mawazo huru
Nipo sana,, hujanijulia hali siku nyingi kweli....sio vyema..mzee wangu upo?
B A R I K I W A sana mkuu...Huo ni ujinga. Ndio maana familia nyingi haziendelei sababu wanaume wanahangaika wenyewe kulisha familia ili hali mke anafanya kazi. Eti nina hela niache kulipa ada ya mtoto wangu niliyezaa nimsubirie mwanaume sababu ni jukumu lake loh. Mimi nafurahi kabisa kuona nafanya mchango kukuza familia yangu.
Asante sana mkuuB A R I K I W A sana mkuu...