sasa mbona umejikanyaga lakini mwishoni umejua ukweli ulipo. hao wengine hawakukupenda mkuu ,huyo wa sasa ndio anayestahili kupewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini uwe una ombaomba , ridhika na kipato chako. Hata kama ni kidogo. Na nyie muache kuwapa hela ovyo, ndio mnawafanya wawe wajinga wajinga. Ukimpenda mtu kwa dhati huwezi kumpiga vizinga.
Duh! Pole yake.Kuna wanaume wanaona wake zao Kama vile mama zao,kuna jamaa alikuwa anamkabidhi mke wake card za benki na anajua password zote,sasa kilichotokea Mwanamke kafanya tranfer kwenye account yake kavuta mpunga wote waliokuwa wanaweka akiba akamkabithi mama yake akatoa mjengo wa fasta kwao,jamaa kuja kustuka mpunga hakuna na Mwanamke ana ujauzito wa mtu mwingine,hadi naandika uzi huu Mwanamke alishajifungua Mtoto wa mwanaume mwingine japo ndoa yake chali lakini mwanamke alivyo shetani amefungua kesi mahakamani ili wagawane nyumba nyingine walioanza kuijenga na ex husband ambayo iliishia kwenye lenta na jamaa mwingine aliyemzalisha kampiga chini sasa hivi analea watoto wawili mwenyewe wa kwanza wa aliyekuwa mume wake wa pili wa mchepuko!na Mwanamke hana kazi yeyote maana alipata kazi ya kuuza dukani baada ya miezi mitatu alifukuzwa sababu ya wizi
dawa yao ni anasbo, wanaojipendekeza watatueni marinda afu tembea zako. Wasilete mazoea ya kifala.
Sasa hapo unaongelea kipato chako mkuu ,usimsemee mtuHaujasoma vizuri comment yangu. Mwanamke ambaye siyo mkeo unatakiwa kwa mwezi isizidi 20,000. Hata mkeo pia usimpe hela ya matumizi yake binafsi zaidi 50,000. Zingine wekeza kwa watoto na maendeleo kwasababu ukiwa na hela mkeo atakuona wa maana sana ila ukiishiwa utabaki wewe na watoto tu.
Wakuu salaam,
Tofauti na mama yako na mke wako wanawake wengine wote achana kujifanya kuwasaidia wanakuchora tu. Wanawake ni viumbe wabinafsi kuliko viumbe wengine wote chini ya mawingu mpaka chini ya bahari. Kuna tofauti ndogo ndogo baina yao ila kwa ujumla package nzima wako sawa wote wabinafsi na hawana shukrani.
Hata umsaidie vipi hua wanaona kama walistahili zaidi na zaidi. Women are takers wanachojua ni kuchukua na kuchukua na kuchukua kisha kuchukua na kuchukua. Uko mahala pa kazi acha kujifanya kuwasaidia jinsia ke hawana shukrani, uko shule ni mwanafunzi soma faulu tengeneza mambo yako achana kujifanya unawasaidia sijui masomo hawana shukrani na wanakuona zoba.
They constantly want, constantly take kwao kila mwanaume wanataka awafanyie jambo 1,2,3 hutakosea ukiwaita malaya wa kuhitaji kufanyiwa favour kama jambo halimuhusu au halimnufaishi yeye hiyo jambo sio muhimu. Ubinafsi ulioota ukurutu.
Narudia mama yako na mke wako wanastahili msaada wako wamekufaa kwa mambo mengi ila hawa kina Ashura ndara ndefu piga chini fanya mambo yako.
Acha ujinga wa kujifanya kutengeneza urafiki na hawa viumbe, urafiki na mwanamke hua ni wakumnufaisha yeye tu na ni watu wa ajabu hata hawajishtukii hawa viumbe wanamapungufu mengi ila hili la ubinafsi na kukosa shukrani nachukizwa nalo sana.
Tangu nilipokua shule nilikua sitaki shobo na hawa viumbe, akiingia 18 natomb.a na kusepa sijengi kibanda ooh "baby baby" sinaga ujinga huo. Nimekua niko kazini na msimamo wangu ni ule ule sitaki shobo na ke, hata watoto wangu (wote madume)
Nawaasa kujali malengo yao na kuacha kujifanya kusaidia wanamake HAWANA SHUKRANI. Kuna wanaume wengi wamekwama na kushindwa kufikia malengo yao kwa kujifanya watakatifu wa kuwasaidia wanawake.
Wewe ni KE au ME?Si bure limekukumba jambo zito.
UKWELi ni kuwa Mwanaume ukiingia kwenye trap aliyokataza mleta uzi ujue hio ndio itakuwa KADI YA MWALIKO wa umasikini, sonona katika maisha yako...
Na utaingia kwenye trap endapo utajisikia vibaya(get offended) wakikuita bahili, mbinafsi,,mchoyo,,huna huruma,,huna utu,,huna upendo,,sio mwanaume wa kweli,,n.k... Ukisikia hizi kauli unaambiwa na Mwanamke zitafakari sana,, asilimia kubwa huwa ni kwa ajili ya Manipulation...
Ukiona unafanya jambo kwa demu ili kuepuka usiitwe hayo majina basi jua tayari umeingia 18 zao..
Silazimishi mtu kuelewa ila Mazingira yatakuelewesha zaidi.
Be a Man, Stay Taliban.
Nimekupenda bure mkuu.Una hekima na busara!Tatizo umekutana na wasiojielewa. Mwanamke yoyote akijirahisisha hata kama hafanyi kazi ataliwa hata na bodaboda. Mapenzi kazini loh, huo ni uchafu. Ni kukosa kujiheshimu. Mwanamke yeyote ambaye hajielewi ataliwa tu iwe kazini au mtaani. Dunia ya leo kila mzazi anataka mwanae aende shule na apate kazi , hata wewe si ajabu mwanao wa kike anasoma shule nzuri ili baadae awe na kazi nzuri.
Vip Tunda ajambo?Si bure limekukumba jambo zito.
Interesting...Kabisaa.Taikon anakwambia Wanawake Wana roho za kishetani ndo maana hata majini yanawapenda wao na bustan ya Eden shetani aliongea na mwanamke. Wakati mwanaume ana roho ya Mungu ndo maana inasadikika kuwa jinsia ya Mungu ni ya kiume na mwanaume huyohuyo ndiye mwenye jukumu la kutoa,kuongoza nk.
Interesting...[emoji16][emoji16][emoji16]asee naumia sana nikioana hii vile mamayangu anaishi powa na mshua japo miaka ya nyuma nikiwa mdogo niliwahi kuona mzee amezingua ma marungu sababu tu mama alikataa moja ya nyumba isiuzwe lakini leo mama amekuwa msaada sana kwa mzee kuendelea kuongeza hata mwaka mmoja wa kuishi naamini mapenzi yapo. ni wewe mwenyewe kumchagua wako kwa busara na kuishinae kwa upendo na nidhamu...
AsanteNimekupenda bure mkuu.Una hekima na busara!
sema haya mambo hayana formula bana ishi vile itakavyofaa kwako, mwingine atakuja hapa atasema mama yake alipewa atm card na mzee tangu wakiwa wadogo na familia ilikua na furaha tele mpaka leo.Kuna wanaume wanaona wake zao Kama vile mama zao,kuna jamaa alikuwa anamkabidhi mke wake card za benki na anajua password zote,sasa kilichotokea Mwanamke kafanya tranfer kwenye account yake kavuta mpunga wote waliokuwa wanaweka akiba akamkabithi mama yake akatoa mjengo wa fasta kwao,jamaa kuja kustuka mpunga hakuna na Mwanamke ana ujauzito wa mtu mwingine, hadi naandika uzi huu Mwanamke alishajifungua Mtoto wa mwanaume mwingine japo ndoa yake chali lakini mwanamke alivyo shetani amefungua kesi mahakamani ili wagawane nyumba nyingine walioanza kuijenga na ex husband ambayo iliishia kwenye lenta na jamaa mwingine aliyemzalisha kampiga chini sasa hivi analea watoto wawili mwenyewe wa kwanza wa aliyekuwa mume wake wa pili wa mchepuko!na Mwanamke hana kazi yeyote maana alipata kazi ya kuuza dukani baada ya miezi mitatu alifukuzwa sababu ya wizi
[emoji1][emoji1] Mungu fundi sana ,alipoweka utamu ndipo alipoweka uchungu.Wanawake ni changamoto ya hali ya juu zaidi tuliyowekewa na mnyaazi Mungu
wanaume wengine mnatuaibisha kabisa. mwanamke kama hujamuoa sio wako peke yako,na ni marufuku kuhudumia mwanamke ambaye sio mkeoumeandika ukweli mtupu . wanawake sio watu aisee .. nimewahi kuwa kwenye mahusiano na binti flani nilimpenda na kumuhudumia mpaka kumlipia kodi
ila alichonifanyia! aligongewa humo humo ndani kwenye chumba nacholipa kodi mimi [emoji24] tangu siku hiyo I'm cold hearted
But we move !!