Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Haujasoma vizuri comment yangu. Mwanamke ambaye siyo mkeo unatakiwa kwa mwezi isizidi 20,000. Hata mkeo pia usimpe hela ya matumizi yake binafsi zaidi 50,000. Zingine wekeza kwa watoto na maendeleo kwasababu ukiwa na hela mkeo atakuona wa maana sana ila ukiishiwa utabaki wewe na watoto tu.
sasa mbona umejikanyaga lakini mwishoni umejua ukweli ulipo. hao wengine hawakukupenda mkuu ,huyo wa sasa ndio anayestahili kupewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kuwapa pesa ila mfumo wetu ulivyo yaani mwanamke ni tegemezi kwa mwanaume. Kwasababu hawana kazi ila kutokana na nyakati kubadilika unakuta mume na mke wanakazi ila unakuta utegemezi wa mwanamke bado upo. Hajui kuwa ile kumtegemea mwanaume kwasababu hana kazi.
Unakuta mwanamke anasema, yeye hawezi kumpa mwanaume hela yake. Mpaka nilishituka, sasa huyu hata ukimuoa hana msaada wowote kwenye familia.
Ukumbuke tunamajukumu mengi sana
1. Nikulishe wewe
2. Niwalishe watoto
3. Kodi alipe mwanaume
4. Umeme analipa mwanaume
5. Matibabu mwanaume
6. Tuwafikishe kileleni, unafikiri ni majukumu madogo?
Kwa nini uwe una ombaomba , ridhika na kipato chako. Hata kama ni kidogo. Na nyie muache kuwapa hela ovyo, ndio mnawafanya wawe wajinga wajinga. Ukimpenda mtu kwa dhati huwezi kumpiga vizinga.
 
Kuna wanaume wanaona wake zao Kama vile mama zao,kuna jamaa alikuwa anamkabidhi mke wake card za benki na anajua password zote,sasa kilichotokea Mwanamke kafanya tranfer kwenye account yake kavuta mpunga wote waliokuwa wanaweka akiba akamkabithi mama yake akatoa mjengo wa fasta kwao,jamaa kuja kustuka mpunga hakuna na Mwanamke ana ujauzito wa mtu mwingine, hadi naandika uzi huu Mwanamke alishajifungua Mtoto wa mwanaume mwingine japo ndoa yake chali lakini mwanamke alivyo shetani amefungua kesi mahakamani ili wagawane nyumba nyingine walioanza kuijenga na ex husband ambayo iliishia kwenye lenta na jamaa mwingine aliyemzalisha kampiga chini sasa hivi analea watoto wawili mwenyewe wa kwanza wa aliyekuwa mume wake wa pili wa mchepuko!na Mwanamke hana kazi yeyote maana alipata kazi ya kuuza dukani baada ya miezi mitatu alifukuzwa sababu ya wizi
 
Duh! Pole yake.
 
Sasa hapo unaongelea kipato chako mkuu ,usimsemee mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Si bure limekukumba jambo zito.
 

100.00%
 
Nimekupenda bure mkuu.Una hekima na busara!
 
Interesting...
 
Interesting...
 
sema haya mambo hayana formula bana ishi vile itakavyofaa kwako, mwingine atakuja hapa atasema mama yake alipewa atm card na mzee tangu wakiwa wadogo na familia ilikua na furaha tele mpaka leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaume wengine mnatuaibisha kabisa. mwanamke kama hujamuoa sio wako peke yako,na ni marufuku kuhudumia mwanamke ambaye sio mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…