Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Hili umesema kweli,

sa hv kuna fala mmoja nilikuwa namuhudumia kama mke wa ndoa, nilijitahidi kumtimizia mahitaji yake mwisho wa siku karudiana na Ex wake akamzawadia na mimba kabisa sasa mimba inavyomuendesha anataka niende kumuona,

Nikimuuliza baba kijacho anasemaje?

Anaruka kwa kudai mbona maswali mengi

Sijui ananichukuliaje huyu malaya, sema nini, kanikuta nipo active sana, ila angenijua vizuri huenda angeniogopa

Maana namchukia pia nna hasira nae kinoma ila bahati mbaya hajui, hii yote imesababishwa na malezi ya kijasusi niliyokulia,

Maana mimi mtu hata kama ninamchukia hawezi kujua, wenyewe wanasemaga,

"keep your friend close but keep your enemy CLOSER"
Mimi katika maisha yangu sijawahi tegemea hela ya mwanaume. Sijui kuomba omba etc. Nitajibana na mshahara wangu nihakikishe natatua mambo yote ya msingi. Mwanamke unafanya kazi halafu unaomba hela ya kusuka etc. Mimi nina rafiki zangu wa 2 wa kiume ambao tunasaidiana tukiwa na shida. Hao hata kama sina hela mkononi nitakopa niwape sababu nikiwa na shida ya hela hata 2m anaweza kunikopesha na nikipata tu narudisha, hata wao wananikopa wanarudisha wakipata. Mimi nikiwa na mpenzi, siku nikimuambia nakuja weekend kwako, nanunua kila kitu naenda kupika tunakula na ku enjoy . Sikuombi hata mia yako. Kama mmojawapo ana shida tunasaidiana kiroho safi lakini sio kuombana hela ovyo. Tujifunze kuwa wapenzi wa faida sio wa kunyonyana.
 
Mimi katika maisha yangu sijawahi tegemea hela ya mwanaume. Sijui kuomba omba etc. Nitajibana na mshahara wangu nihakikishe natatua mambo yote ya msingi. Mwanamke unafanya kazi halafu unaomba hela ya kusuka etc. Mimi nina rafiki zangu wa 2 wa kiume ambao tunasaidiana tukiwa na shida. Hao hata kama sina hela mkononi nitakopa niwape sababu nikiwa na shida ya hela hata 2m anaweza kunikopesha na nikipata tu narudisha, hata wao wananikopa wanarudisha wakipata. Mimi nikiwa na mpenzi, siku nikimuambia nakuja weekend kwako, nanunua kila kitu naenda kupika tunakula na ku enjoy . Sikuombi hata mia yako. Kama mmojawapo ana shida tunasaidiana kiroho safi lakini sio kuombana hela ovyo. Tujifunze kuwa wapenzi wa faida sio wa kunyonyana.
Kuna watakao sema uchongewe sanamu
 
Mimi katika maisha yangu sijawahi tegemea hela ya mwanaume. Sijui kuomba omba etc. Nitajibana na mshahara wangu nihakikishe natatua mambo yote ya msingi. Mwanamke unafanya kazi halafu unaomba hela ya kusuka etc. Mimi nina rafiki zangu wa 2 wa kiume ambao tunasaidiana tukiwa na shida. Hao hata kama sina hela mkononi nitakopa niwape sababu nikiwa na shida ya hela hata 2m anaweza kunikopesha na nikipata tu narudisha, hata wao wananikopa wanarudisha wakipata. Mimi nikiwa na mpenzi, siku nikimuambia nakuja weekend kwako, nanunua kila kitu naenda kupika tunakula na ku enjoy . Sikuombi hata mia yako. Kama mmojawapo ana shida tunasaidiana kiroho safi lakini sio kuombana hela ovyo. Tujifunze kuwa wapenzi wa faida sio wa kunyonyana.
Inabidi upate mwaliko wa ikulu ukakutane na mama !! Aisee dunia ingekuwa na wanawake kama wewe ingekuwa sehemu nzuri sana.
 
Inabidi upate mwaliko wa ikulu ukakutane na mama !! Aisee dunia ingekuwa na wanawake kama wewe ingekuwa sehemu nzuri sana.
Nilijifunza mengi kupitia kwa wazazi wangu. Kila mmoja alikuwa anachakarika kwa ajili ya familia. Dada zangu pia wako hivyo mmoja wana 31 years kwenye ndoa , walianza kwenye chumba kimoja sasa wako njema. Hapa tunavunja kamati mtoto wao wa kwanza kao juzi juzi.
 
Hili la ubinafsi hata kwa mke mkuu wala huna haja ya kumtenga. Ukifanya chochote kwa wazazi hata kuwajengea tu choo utasia eehhe kwenu tu ndio unapajali.
 
My policy for woman's will remain to be one since I was 18 - Pay, Get and Run. sijawahi kuwaga na G/F mimi.

It worked out, that's why i don't have any story to tell regarding eti being broken hearted... hakuna.

Married, happy - but the policy remains in practice for michepuko's ; Pay, Get and Run. 🙂🙂🙂
Uko sahihi kaka
 
Sio sawa coz kila mtu ana ufahamu wake Ni kweli hatujui kushukuru wala kujishusha tuwaombee Mungu awabadilishe hakuna jinsi,mbona Mimi nimesaidia (me) Tena pesa nyingi lakini akaenda kuoa mwingine siwezi kuwachukia wote hapana kila mtu anatabia yake naomba uwe TU mpole na kuwasamehe.
Ndo ww ninaekuona kwenye avatar hapo juu
 
Huu uzi umenikumbusha kisa changu na mwanamke mmoja hivi kati ya 2008 mpaka 2012.

Ni mwanamke wangu wa kwanza kwenye mahusiano, nililazimika kukaa nae geto kipindi hicho kwa sababu ya shida zake binafsi na nyumbani kwao. Alikuwa amefukuzwa kwao.

Kipindi hiko 2008 ndiyo na miezi kama 5 hivi tokea nipange na kujitegemea hata sikua nimefika mbali kiivile.ndio nilikua naanza maisha hapo hapo na mke juu, na alikua mwanamke wangu wa kwanza.

Nilikua na maisha magumu kwa kiasi kikubwa sana, yule binti aliumwa wa kulala kitandani kama mwaka na nusu hivi, maisha yangu na yule msichana yalikua magumu sana siku pata msaada popote pale iwe nje ama ndani, nilikomaa naye mpaka akapona na mimi nilirudi nyuma kiuchumi kwa kiasi kikubwa .

Ilibidi nimtafutie biashara eneo fulani lenye pilikapilika sana, haikupita miezi mitatu akaniambia amenivumilia sana anaona bora aondoke amepata bwana mwingine mimi ni maskini sana.

Alisahau mimi nilimvumilia mwaka na nusu wa kuugua kwake hata sex ilikuwa no.

Mwishowe akaondoka na vyombo ingawa nilinunua tukiwa nae lakini alibeba vyote akaondoka huku namungalia kwa machozi, kibaya zaidi huko aliko enda olewa na huyo bwana alikuja kumchukua mlangoni kwangu kabisaa.

Ingawa niliumia sana,nilirudi nyuma sana, lakini nilipoona yale maumivu.

Mwanamke huwa inapofika wakati wa kufanya lile linalo mfaa kwa wakati huo huwa haifikirii jana wala kesho, hana huruma hata kama wewe ni nani, hajali machozi ya mtu.

Kwa namna hio wanaume wengi kwa namna moja ama nyingine wameumizwa sana tena sio mara moja au mbili wala tatu, ndio maana kilio na malalamiko yamekua mengi mno.

Mwanamke ni mtu mzuri sana akiwa mama, na binti yako, akitoka hapo haki ya Mungu ishi nao kwa tahadhari sana.
Duuh pole mkuu
 
Na kinacho tuponza wanaume ni huruma yetu.
Siku akipata mwingine wewe hutaurumiwa,wanakuaga na kejeli na dharau hutaamini.

Panga malengo yako lakini yasihusishe mwanamke,utakuja kulimia meno
 
Nilijifunza mengi kupitia kwa wazazi wangu. Kila mmoja alikuwa anachakarika kwa ajili ya familia. Dada zangu pia wako hivyo mmoja wana 31 years kwenye ndoa , walianza kwenye chumba kimoja sasa wako njema. Hapa tunavunja kamati mtoto wao wa kwanza kao juzi juzi.
Hongereni sana ndugu yangu.
Hio familia yenu ni bora na itabarikiwa sana.
Nimependa sana mtazamo wako juu wanawake baadhi yao.
 
Hata akiwa mke wako usimpatie siri zote, chochote kinaweza kutokea ijapokuwa hatutarajii ila chochote kinaweza kutokea.
Hawa viumbe ni wa ajabu,hata kwenye uumbaji wa ulimwengu mwanzoni, Mungu hakuwaweka ktk plan yake,ilikuja kutokea baadae sana ndio akaleta mwanamke,na hapo hapo akasema tuishi nao kwa akili

Kisha mambo yakaharibikia hapo 😂🤣😂🤣
 
Back
Top Bottom