Fanyeni mazoezi wanaume wenzangu, acheni kula chips


Njoo uchape wakwangu uone kama kizazi chako kitaiona kesho yake
 
Njoo uchape wakwangu uone kama kizazi chako kitaiona kesho yake
Uwezi fanya chochote kuliwa ataliwa tu ata iweje endekeza kitambi na shoo iwe mbovu utaja niambia.
 
Tatizo lako hujaelewa thread
Nani kasema mazoezi yanafanyaka gym pekee yake maana ata jogging,pushup ni mazoezi ya kawaida na mtu sio lazima kwenda gym
Hii inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na maarifa kidogo,kitambi kikubwa+ big boot
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We nichapie ila nisikukute, wengne mazoezi tunafanya na bia situmii ila sas huo mwili nimetumia hadi malimao niliskia yanasaidia lakini wap
 
Maisha mafupi, acha watu wafurahie maisha.

Hata hao wanao shauri wanajihita madaktari bingwa baadhi yao nao wanashindwa kuwa na ufanisi.

Dawa peke ni supu ya Kitimoto !
 
We nichapie ila nisikukute, wengne mazoezi tunafanya na bia situmii ila sas huo mwili nimetumia hadi malimao niliskia yanasaidia lakini wap
Fanya mazoezi mwanaume maana ni muhimu kwa afya yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…