List bado ni ndefuNawataja wala chps maarufu hapa
Gily huyu kinala wao
wa kupuliza huyu chipukizi
zwenge ndaba huyu ana kitambi kama mpira wa simba
Sharamdala huyu anakula mpaka anabeba kwenye sherehe
Binadamu Mtakatifu huyu anapenda chips yai ikaukeee kama makopa
mshamba_hachekwi huyu kaiga kutoka kwa mjomba ake Half american
Ongeeni nao hao wawe makini
Wew dogo acha kula chips ndio maana una lips kama za Depaluwe una balance na gym usije ukapata kitambi mzee 😂
Kuna wengi nimewasahauList bado ni ndefu
Ndio maana nakwambia wewe ni dogo,,, Kula Nyama,,Nyamaza!!!sasa kwa kuwa una akili ndogo na bado ni dogoo unajifanya unakuja na viushauri na kujisifu kitoto humu,,,Dogoo jaribu kukaza kifua hiko kuna mambo si ya kusema wala kujisifu hata kama unayafanya yabaki siri yako wewe na Mungu wako,,,yafanye kwa staha tuu mbona si mapya chini ya jua!!Mimi sio dogo au na wewe unakitambi na big boot??
Kuna umri ukifikia hata ufanyeje kitambi hakitokiFanya mazoezi mwanaume maana ni muhimu kwa afya yako
Sawa,,, Babu nimekuelewa.Ndio maana nakwambia wewe ni dogo,,, Kula Nyama,,Nyamaza!!!sasa kwa kuwa una akili ndogo na bado ni dogoo unajifanya unakuja na viushauri na kujisifu kitoto humu,,,Dogoo jaribu kukaza kifua hiko kuna mambo si ya kusema wala kujisifu hata kama unayafanya yabaki siri yako wewe na Mungu wako,,,yafanye kwa staha tuu mbona si mapya chini ya jua!!
Uwezi fanya chochote kuliwa ataliwa tu ata iweje endekeza kitambi na shoo iwe mbovu utaja niambia.
Wake zenu wanatulilia oh jamaa anakitambi hamfikishi da mambo ni mengi kweli kweliUsile mke wa mtu kisa uzaifu sijui ana kitambi ana matako bwanake Hana Hela ..hiyo haikubaliki heshimu mke wa mwanaume mwenzio kama unavyopenda mke wako aheahimiwe ...Kula mke wa mwenzako ni ujinga mtu mwerevu mwenye akili timamu hawezi shiriki mapenzi na mke wa mtu
Kama everything is possible jaribu kuumba mwanadamuAcha kusingizia umri bhana everything is possible under the sun