Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Hayo siyo mambo yangu kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣Nawataja wala chps maarufu hapa
Gily huyu kinala wao
wa kupuliza huyu chipukizi
zwenge ndaba huyu ana kitambi kama mpira wa simba
Sharamdala huyu anakula mpaka anabeba kwenye sherehe
Binadamu Mtakatifu huyu anapenda chips yai ikaukeee kama makopa
mshamba_hachekwi huyu kaiga kutoka kwa mjomba ake Half american
Ongeeni nao hao wawe makini
Sasa basi sio kila kitu kinawezana mzee na sidhan kam kila mtu anapenda kuwa na kitambiUko umeenda mbali nazungumzia mambo yote yaliyoko chini ya control ya mwanadamu yanawezekana..
Hatuwezi kuumba but tunaeza kuondoa uhai i mean kuua sio kuumba.
Me nimemshukuru tu hiyo chips hajatukataza siye,Lipia tangazo lako la kujaribu kusema uko na 2pack na hauna minyama uzembe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka nishangae hii mada ushoga usitajwee lol.Mnaofanya mazoez na kutengeneza body sikuhiz ndio mashoga mnapumuliwa kilasiku huko gym...
Wanaume msidanganyike, chips mayai sausage kuku broiler hawana effect yeyote ktk nguvu za kiume...
Nguvu za kiume ni saikolojia yako tu, ukijiambia unaweza basi utaweza, ukijitia hofu huwez kweli hutaweza...
[emoji28] en wei nimekosea kidogo though nimekuelewa point yako makaveli10Una safari ndefu saana kama akili yako bado ipo kuwa kutomber vizuri ndio sababu ya kutokuchapiwa [emoji23]
Umeanza vizuri kuwa waache michips I yai sababu ya kupata mi nyama uzembe nakuunga mkono, ila si kuwa kibonge ndio mwanamke asikojoe.. Mwanamke anakojoa mpaka kwa kidole mzee. Rudi tena kwa mwalimu wako albabu.
Kutomber vizuri mwenzio haikupi uhakika wa kuto kutombewa.
Nina mengi sijisikii kuandika saana leo.
Hebu andikaaa hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una safari ndefu saana kama akili yako bado ipo kuwa kutomber vizuri ndio sababu ya kutokuchapiwa [emoji23]
Umeanza vizuri kuwa waache michips I yai sababu ya kupata mi nyama uzembe nakuunga mkono, ila si kuwa kibonge ndio mwanamke asikojoe.. Mwanamke anakojoa mpaka kwa kidole mzee. Rudi tena kwa mwalimu wako albabu.
Kutomber vizuri mwenzio haikupi uhakika wa kuto kutombewa.
Nina mengi sijisikii kuandika saana leo.
Pamoja mzee[emoji28] en wei nimekosea kidogo though nimekuelewa point yako makaveli10
Nimesema leo sijisikii kuandika sana.. Koma we mwana😂.. Na nina log out, reply yako nitaikuta siku nyingine nitakujibu nikiwa najisikia kuandika🤣Hebu andikaaa hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shukran ni kweli uvivu umeniathiri ila nyumban nina vifaa vya mazoezi kama stationery bycle na meza ya kukata tumbo😄[emoji122][emoji122] tunawaona umechagua uamuzi mzuri big up
Hatarii tupuu yaanHuyo mindset yake ni ya kijinga always yeye anawaza ushogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu andikaaa bhanaa jomonee, nimemis kupata madini mpyaaa, tusinyimane Elimu ya kuzagamuanaaa. UwiiiiihNimesema leo sijisikii kuandika sana.. Koma we mwana[emoji23].. Na nina log out, reply yako nitaikuta siku nyingine nitakujibu nikiwa najisikia kuandika[emoji1787]