Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Mtaji mkubwa wa mbogamboga (CCM) ni Ujinga wa wengi Nchi hii..Dah kwa style hii ndiyo maana mbogamboga wanashinda chaguzi zote. Yaaani hata barua simple kama hiyo watu hawaielewi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaji mkubwa wa mbogamboga (CCM) ni Ujinga wa wengi Nchi hii..Dah kwa style hii ndiyo maana mbogamboga wanashinda chaguzi zote. Yaaani hata barua simple kama hiyo watu hawaielewi.
Nakwambia Nchi ina maajabu hii !!Ujinga mzigo kweli mtoto wa raisi anaondolewa kwenye biashara mtoto wa pangu pakavu anacheka hiiii
TBC kwa ujinga wao,utawaona saa 2 usiku
Mimi ni sadukayo ujuwe![emoji39] Ngoja kwanza nije kukusalimia vizuri.Sishirikiani na mafarisayo aka maccm[emoji854]
Utoto wa uraisi ni wake unanihusu nini mimi kweli wewe jinga
Okoka kwanza...ubadilike uwe mwanamageuziMimi ni sadukayo ujuwe![emoji39] Ngoja kwanza nije kukusalimia vizuri.
Kwani CHADEMA na Fatma walitengana lini?Usipoitaja Chadema kuna kipele kinakuwasha?
Kwa hiyo hata kwako hunikaribishi tena Wangari??Okoka kwanza...ubadilike uwe mwanamageuzi
Hapana...hakuna nafasi kwa mtu anayeshabikia ujinga waccm😣! Tusiazimane hata maji...hamfai😣Kwa hiyo hata kwako hunikaribishi tena Wangari??
😀😀 Fatma ni 🔥Sasa nani kasema tunaweza kukaa benchi moja? Huoni pia nawe ni kilaza, achana na huyo jike dume hata kukaa na wewe dada meza moja haiwezekani,unakwama wapi bi mkubwa?
Nitue...Tena komaAkili za kisukule hizi kabla ya kuandika sijui uliwaza kwa kutumia kiungo gani,au kile kiungo pendwa!!!
Ndio vizuri hata tukiwa ndani tunabishana kwa hoja, kila kitu kwa hoja. Lakini nashangaa unaniita CCM, tangu lini nikawa CCM?Hapana...hakuna nafasi kwa mtu anayeshabikia ujinga waccm😣! Tusiazimane hata maji...hamfai😣
Kwani Bashite hjasoma mkuuAmesoma huyo hawezi kufa na njaa
Huijui IMMMA wewe!IMMMA yeyewe ishajifia.
Mbona mawakili wa serikali ni wazuri kumzidi Fatmawe kati ya vilaza fatuma ni wakili mwenye uwezo mkubwa kwa kujenga hoja na kauza jina sna pale Fatuma ni wakili ambae anaweza argue kesi kwa kingereza fruequent hata uk fatuma anaweza kukutetea