Fatma Karume ataka uondolewe ukakasi kwenye mchango wa gari la Lissu ndio achangie

Fatma Karume ataka uondolewe ukakasi kwenye mchango wa gari la Lissu ndio achangie

1. Bima wakisema watampa Lissu gari mpya, utaratibu gani utatumika kumuwezesha Lissu abakie ya gari awali iliyopigwa risasi?

2. Bima wakiamua gari ikatengenezwe, baada ya matengenezo nini kitakwenda ktk makumbusho? Au milango yenye matobo ya risasi ndio itakwenda makumbusho?

3. Bima wakitengeneza gari, na Lissu akaamua kuitumia kwanza kabla ya kupeleka makumbusho, gari ikipata ajali si tutakuwa tumepoteza kumbukumbu ya kupeleka ktk makumbusho?

4. Kuna maswali yanayohitaji majibu kabla ya kuamua kudai Bima ya gari ya Lissu.

Cc Nguruvi3, Erythrocyte
 
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.

Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?

Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie. Na mimi namuunga mkono kwenye hili. Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.

Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.


Wananchi wenyewe wameamua kumchangia Lissu kwa hiyari yao kama vile walimu wanavyomchangia chifu Hangaya fomu ya urais. Wewe kinachokuuma ni nini?

Mbona unakuwa na kimuhemuhe kama mwanamke mwenye mimba changa? Lamba ndimu utapona.
 
Kwenye suala la bima Fatma yuko spot on...CDM wawe makini sana kwenye hili tusije tukaanza kuwafananisha na ma CCM
Bima unatakiwa kuomba ndani ya mwaka tangu kutokea kwa janga. Lile gari limekaa polisi miaka 7 sasa. Ingawa pia ukweli hauondoki kwamba Lissu mwenyewe hajashindwa kununua gari na pia CHADEMA hawezi kushindwa kununua gari la Makamu Mwenyekiti. Kinachoendelea kuhusu ununuzi wa gari la Lissu ni siasa.
 
1. Bima wakisema watampa Lissu gari mpya, utaratibu gani utatumika kumuwezesha Lissu abakie ya gari awali iliyopigwa risasi?

2. Bima wakiamua gari ikatengenezwe, baada ya matengenezo nini kitakwenda ktk makumbusho? Au milango yenye matobo ya risasi ndio itakwenda makumbusho?

3. Bima wakitengeneza gari, na Lissu akaamua kuitumia kwanza kabla ya kupeleka makumbusho, gari ikipata ajali si tutakuwa tumepoteza kumbukumbu ya kupeleka ktk makumbusho?

4. Kuna maswali yanayohitaji majibu kabla ya kuamua kudai Bima ya gari ya Lissu.

Cc Nguruvi3, Erythrocyte
Sasa hapa mbona umeandika utoko mtupu mkuu? Unajua sheria za bima kweli au unakuja hapa kupanua domo kama kinda la ndege ambalo hupanua domo hata upepo unapotikisa kiota likidhani ni mama amerudi kuliletea chakula?
 
Bima huwa ni mwaka moja tuu, hii gari ya Lissu ilikuwa polisi tangia September 2017kwa hiyo bima ili expire zamani sana na Polisi siyo jukumu lao ku renew


Wewe ni Tundu Lissu? Mwenyewe kasema lilipelekwa Polisi kwa uhifadhi na Wasamaria wema WanaCHADEMA, ni lazima walipewa RB ambayo wanngeipeleka Bima. Inawezekana ni ggari la wizi halikuwa na bima?
 
1. Bima wakisema watampa Lissu gari mpya, utaratibu gani utatumika kumuwezesha Lissu abakie ya gari awali iliyopigwa risasi?

2. Bima wakiamua gari ikatengenezwe, baada ya matengenezo nini kitakwenda ktk makumbusho? Au milango yenye matobo ya risasi ndio itakwenda makumbusho?

3. Bima wakitengeneza gari, na Lissu akaamua kuitumia kwanza kabla ya kupeleka makumbusho, gari ikipata ajali si tutakuwa tumepoteza kumbukumbu ya kupeleka ktk makumbusho?

4. Kuna maswali yanayohitaji majibu kabla ya kuamua kudai Bima ya gari ya Lissu.

Cc Nguruvi3, Erythrocyte
BIMA wanamtazama Tundu Lissu na gari kama Mteja, taratibu zote zitafuata kanuni na sheria zinazomhusu Mteja
Bima wanalitazama gari kama chombo kilichopata ajali

1. Kama watampa gari jipya, 'policy' ya Bima husika itaeleza kama wanapaswa kulichukua. Policy pia inatoa nafasi ya ku negotiate ikiwa Lissu atataka kulinunua kwa makubaliano kati ya Bima na Mteja

2. Bima wakiamua kutengeneza, hiyo ni Policy itawaongoza. Wao hawatambui taratibu za makumbusho

3. Ni kweli uwezekano wa kupoteza kumbu kumbu utakuwepo, hapa ni yeye na jamii kuangalia kipi kitakidhi haja ya makumbusho na wakati huo huo haja ya matumizi

Ushauri
Bima wanachotaka siku zote ni 'win-win situation' Bima inategemea policy na sheria lakini huwa kuna 'flexbility' kupitia majadiliano
 
Shida watu mmerukia gari njiani. Utaliowaje bima huku una gari mkononi?. Bima inalipwa ukarababti gari au gari lirejeshwe bima uplkabidhiwe jipya. Sasa Lissu anataka abaki na gari Kama lilivyo iwe kumbukumbu.
Uwezo wa kulipwa na akabaki na gari upo. Angetaka, kwani likipelekwa kwenye bima kule huwa wanayachoma moto?
 
Sasa hapa mbona umeandika utoko mtupu mkuu? Unajua sheria za bima kweli au unakuja hapa kupanua domo kama kinda la ndege ambalo hupanua domo hata upepo unapotikisa kiota likidhani ni mama amerudi kuliletea chakula?

..usinitukane.

..mimi nahitaji elimu kwa hayo maswali niliyouliza.
 
Kwenye suala la bima Fatma yuko spot on...CDM wawe makini sana kwenye hili tusije tukaanza kuwafananisha na ma CCM
ninyi ni mandondocha wa sheria.

nani alifanya assessment ya uharibifu wa gari.

bima hulipiwa gari kila mwaka je gari lilikua na bima ilokuwa hai wakati wa assesment(kama imefanyika)

pia je ni bima ya aina gani linapotokea tatizo bima hulipa?

nani aliwaambia kua gari la lisu lilikua na comprehensive au third party
 
Kupitia akaunti yake ya X mwanamama mwenye misimamo mikali Bi Fatma Karume amehoji juu ya sintofahamu ya michango ya Lissu.

Amehoji kwa nini asilipwe gari na bima wakati gari ilikuwa na bima?

Ametaka huu ukakasi uondolewe ndio achangie. Na mimi namuunga mkono kwenye hili. Tundu asije tufanyia ujanja wa kuchukua michango ya wananchi na kuzunguka kampuni ya bima kuchukua hela zake.

Tuwe makini na hii michango isiyokuwa na auditing ambayo imeshamiri kwenye chadema.



Kwenye bima kuna coverage sasa sijawahi kuona coverage ya gari kupigwa risasi!. Pili report ya Polisi inasema nini kila mtu anakimbia Polisi kusema ukweli

Lissu hana sababu ya kudanganya chochote kama humuamini basi usichange. Huyo karume kachukizwa na hoja za Tanganyika na Zanzibar hapo ndiyo tatizo
 
Lissu atoke aweke mambo clear asitumie upepo wa huruma ya risasi 37 kugeuza raia mtaji. Kuna vitu vinatia mashaka integrity yake.
Lissu aache siasa chafu,umaarufu alionao unatumiwa na wale wachagga waliojazana pale chadema
 
Back
Top Bottom