econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kama huchangii Kaa kimya, upunguze kimbelembele.Ndio kuna video akiomba achangiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huchangii Kaa kimya, upunguze kimbelembele.Ndio kuna video akiomba achangiwe.
Punguza roho mbaya. Kama huchangii kamata jembe ukalime. Unaonea wivu pesa ya mwingine, huo ni umalaya.Amewageuza wafuasi wa chama chake kama wanavyofanya kina Mwamposa. Hakuna tofauti yoyote.
Wamekutapeli Nini?Matapeli chadema nikisema .....
Tutachanga sana na kama imekuuma basi ichomoe
Na hiyo issue ya Tanganyika aliongea yeye Lissu pekee yake na kuandaliwa press conference na Mzee kinana, kipindi hicho wewe ukiwa umejificha JF na ID ya uongo. punguza unafiki wa kutafuta mambo yasiyo na maana.sometimes Tundu lisu utafikiri huwa anatumwa kuzima issues, amekuja na mchango wa gari, issue ya Tanganyika yetu imepotea hata hatujui imeenda wapi.
Waalimu wanalimwa michango ya mwenge hujawahi kukosoa, ila wananchi kwa hiari yao bila kusukumwa wameamua kumchangia Lissu gari, ndio umeona ushikilie Bango huku ukijua ukweli kuwa Bima hawawezi kufanya refund wakati Mali unayo kwako.Lissu atoke aweke mambo clear asitumie upepo wa huruma ya risasi 37 kugeuza raia mtaji. Kuna vitu vinatia mashaka integrity yake.
Aweke mambo clear kwa nani?Lissu atoke aweke mambo clear asitumie upepo wa huruma ya risasi 37 kugeuza raia mtaji. Kuna vitu vinatia mashaka integrity yake.
Sio dosari, ni roho mbaya yako kuona wananchi wanaomchangia ni wengi. Kuanzia buku tu. Kaa na roho yako ya kwanini.Ndio kuchangia ni hiari ila Lissu ni public figure tunatakiwa tusiwe na mashaka kwenye integrity yake.
Tunapoona kuna dosari na dalili za udanganyifu lazima tumuulize maswali. Hapa tunazungimzia mkosoaji mkubwa wa serikali na presidential candidate wa 2025
Ungeaza kukemea wezi kwenye ripoti ya CAG mnafiki mkubwa wewe. Una roho ya kichawi. Eti wizi, nani kakuibia. Wananchi wameleta wazo Lissu abaki na gari Kama ukumbusho, wakaamua kumchangia gari jipya. Wewe unakuja hapa na uchungu wako kuuliza maswali ya kijinga.Ni jukumu letu kukemea na kuhoji wizi na udanganyifu wa kiongozi yoyote wa umma, awe serikalini au upinzani. Lissu anajipa kinga lakini kuna ukakasi kwenye nyendo zake haswa inapokuja michango anayowakamua maskini wenye shida nyingi kuliko yeye. Ana historia ya kupata double double na zote akatafuna.
Mbona na wewe upo hapa?. Ina maana inamfuatilia Lissu.Wanaofuatilia habari za lisu nao ni vichaa kabisa. Tangu alipobadili msimamo na kuanza kushabikia makampuni ya madini akina bariki anahangaika huku na kule kuomba info ili azitumie kuharibu taswira ya nchi enzi za Dkt Magufuli akishirikiana na akina Dkt Kafumu etc, lisu brainwashed matope
Ajibu Nini?. Msingi wa michango ni kwamba gari libaki mikononi mwa Lissu.Ni kweli kuchangia siyo lazima, lakini usisahau kuwa Tundu Lisu ni mwanasiasa, kila kinachofanywa na mwanasiasa ni hoja.
Maana kuna siku mwanasiasa aweza kuwa kiongozi wa jamii.
Aje hadharani ajibu, ndiyo siasa.
Utahakikishaje wakati umekufa. Hakuna aijuawe kesho. Tuishi kwa nidhamu.Bora nijinyonge huku nikihakikisha chadema haiingii madarakani
Kama Samiah anavyochangiwa pesa za fomu. Ombaomba Sana yule mama.ni mazoea tu na tabia mbaya ya kuombaomba 🐒
Nani kamlazimsha?. Mchango wa hiari, yeye tu na mihemko yake.fatuma amegoma kushikwa maskio na ombaomba mjanja 🐒
Mwambie na mama yako aache kuomba omba pesa ya fine.mazoea mabaya sana kuomba kuchangiwa🐒
inabidi utengeneze imotional script, ili uonewe huruma watu wavutike kukuchangia 🤣
lakini hata hivyo wengi wamestukia haka katabia , ikiwa ni pamoja na fatma 🐒
Hapana ! Taratibu za Bima zipo wazi. BIMA inalipwa siku ya tukio ikiwa gari lilikuwa nayo.Bima huwa ni mwaka moja tuu, hii gari ya Lissu ilikuwa polisi tangia September 2017kwa hiyo bima ili expire zamani sana na Polisi siyo jukumu lao ku renew
Wewe wasemaSawa ila
Chadema na uongozi na bahari na tsunami
Tundu Lisu amezidi sana aise dah....Mwambie na mama yako aache kuomba omba pesa ya fine.
