Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
mashuduMi sijasema anatambulika kisheria, nimebainisha kuwa msimamo wa Feisal ndio kile alichokizungumza mzazi wake
Kwa hiyo kama mzazi ali demand kila kitu kiwekwe bayana that's means na Feisal anakubaliana na kitu hicho
mkataba hauvunjwi kwa kipengele kimoja tuNaomba kuuliza
Kwenye mkataba si kuna kipengele cha kuvunja?? Na inatakiwa ifanyike hivi na hivi, sasa km mtu kavunja kwa kufuata matakwa shida iko wapi???
Nafananisha na suala la Halima Mdee na wenzake dhidi ya CHADEMA.Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo tarehe 2 Machi, 2023 kwa ajili ya kusikiliza pamoja na mambo mengine shauri la mapitio (Review) ya uamuzi wake wa tarehe 9 Januari 2023 kati ya Feisal Salumu na Klabu ya Young Africans kama yalivyowasilishwa na muombaji Feisal Salum dhidi ya Klabu ya Young Africans.
Baada ya kusikiliza hoja za mawakili wa pande zote mbili Kamati imeona kuwa shauri hilo la mapitio (Review) halina msingi wa kisheria kushawishi
Kamati kubadili maamuzi yake yaliyotolewa awali hivyo imetupilia mbali shauri hilo.
Sababu kwa undani za uamuzi huo zitatolewa kwa pande zote mbili zinazohusika katika shauri hilo siku ya Jumatatu 6 Machi, 2023.
Nenda kwenye nyuzi zako huku huna uelewa, mtu akae nyumbani asubiri mkataba uishe awe huru? Ingekua hivyo Fei si angekaa asubiri hio 2024 unadhani anakomaa sababu ya nini?Wee ndo unaetaka kudanganya watu hapaaa, as if shule uelewa unao pekee ako. Usituchoshee bhana wee.
Mpira hauna upuuzi ila watu kama wewe ndiyo wapuuzi wahedi Kwa kuwapotosha vijanaMpira wetu una mambo mengi ya kipuuzi sana mchezaji hataki kubaki kwenye timu muache aende aka pambane huko
Mkuu hivi unabishanaje na mtu asiyekuwa na marinda?Hauna hoja.
hiyo ni kwa mijubu wa akili yako na ufahamu wako mdogo zero brainMpira hauna upuuzi ila watu kama wewe ndiyo wapuuzi wahedi Kwa kuwapotosha vijana
Kwani yanga ipo pale kuhurumia watu?Yani ikihijumiwa yanga sio tatizo,waliompotosha ndio wamhurumieTaarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kwamba mzee wa Ugali na sukari ameangukia pua
Hii ni baada ya TFF kukosa msingi wa kisheria wa kubadili uamuzi wake wa awali
Sasa ni hiyari yake kusuka au kunyoa, bali nawaomba viongozi wa Yanga wamhurumie huyu kijana aende atakako, kumkomoa haitasaidia chochote.
Yanga Mshahara wenu mdogo sana, mwacheni huyo kijana akale Ugali na mboga sasa, milion zenu hizo 4 zinatosha unga, sukari na mkaa tu.