Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Mi sijasema anatambulika kisheria, nimebainisha kuwa msimamo wa Feisal ndio kile alichokizungumza mzazi wake

Kwa hiyo kama mzazi ali demand kila kitu kiwekwe bayana that's means na Feisal anakubaliana na kitu hicho
mashudu
 
Naomba kuuliza
Kwenye mkataba si kuna kipengele cha kuvunja?? Na inatakiwa ifanyike hivi na hivi, sasa km mtu kavunja kwa kufuata matakwa shida iko wapi???
mkataba hauvunjwi kwa kipengele kimoja tu
 
Nafananisha na suala la Halima Mdee na wenzake dhidi ya CHADEMA.
Ngoma itachezwa mpaka mkataba wake na Yanga utaisha rasmi.
 
Wee ndo unaetaka kudanganya watu hapaaa, as if shule uelewa unao pekee ako. Usituchoshee bhana wee.
Nenda kwenye nyuzi zako huku huna uelewa, mtu akae nyumbani asubiri mkataba uishe awe huru? Ingekua hivyo Fei si angekaa asubiri hio 2024 unadhani anakomaa sababu ya nini?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwani yanga ipo pale kuhurumia watu?Yani ikihijumiwa yanga sio tatizo,waliompotosha ndio wamhurumie
 
Huu ni mfano namna watanzania tusivyopendana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…