Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Mama yake anawakilishwa na mawakili, Mahakamani huko nafasi ya Feisal kuongea ni mdogo sana kuliko wakili wake

Hivyo maagizo yote ya mapendekezo ya mwenendo wa kesi kuna uwezekano yaliwasilishwa kupitia makwakili baada ya kupokea maagizo kutoka kwa boss wao ambaye wana share common goals na familia yake na ndio maana mzazi alikuwa wazi kusema yale maneno
Hapo umefanya assumptions.

Mwisho wa siku, hili suala linafanyika kisheria. Iwapo kuna upande wowote utaona hautendewi haki, zipo taratibu za kufuatwa ili haki itendeke.

Ndio maana kuna rufaa na CAS. Wanasheria wa Feisal wanayajua haya, ndio maana huwaoni kulalamika mitandaoni.
 
Utajuaje na huo mwaka haujaisha,umekua mfalme juha?
Nimetumia analysis ya kawaida tu kwa kupima muda wake wa mkataba uliobaki na yaliyotokea. Ila upo sahihi, sijui. Anaweza tokea.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujue kwenye sheria hawa wanasheria wanakuwa wanabobea katika kusimamia kesi za aina fulani,mfano kuna ambao wanaziweza kesi za mashamba,wengine kesi za kisiasa,wengine za Jinai n.k

Nilipoona mwanasheria wa Fei ni Fatma karume nikasema tu hapa yaleyale hela imeshaenda maana sidhani kama Fatuma ana uwezo wa kuchambua vifungu vya kimichezo vya FIFA kiuweledi kabisa,sidhani maana simjui kiundani ,tatizo limeanzia hapo
we hukujua kuwa fei alikuwa akitetewa na mawakili nguli wa simba? fatma kaja mwishoni uamuzi ulikuwa umeshapita
 
Hakuna kitu kama hicho, wakina Shafii Dauda wanafungiwa kila kitu kilikuwa open

TFF ndio chombo kinachohitajika kufanya hayo yote kuweka kila kitu bayana, hizi habari za kusema wahusika hivi wahusika vile inaongeza mashaka kuwa maamuzi yaliyotolewa hayakuwa fair.
kuna watu wanaitafuta furaha ionekane kamati imekosea na fei ndio mwenye haki!
 
Yanga timu yangu pendwa, muachieni kijana aende zake pale nafsi yake inapomtuma, fei amekosea dhahri lakini kukosea kwake isiwe kigezo cha kumkomoa kijana huyu na kumuharibia maisha na kumuumiza kisaikolojia, fanyeni wema huo, aende zake huku mkimpa onyo.
wamuachie wakati anahudumiwa na mawakili wA simba, walituchezea kwenye kesi ya morrison hawakukoma wamerudia kwa fei lazima hii tabia ikomeshwe isijirudie wanataka mchezAji ghAli kwa bei kiduchu
 
Mchanganuo wa hukumu mbona unawekwa wazi

Hata kesi ya mbowe mbona watu tulikuwa tunajua kila nukta inayoendelea, hata jaji akikohoa tunajua
unajitoa ufahamu. sasa watu hukumu waliipataje? detail kamuombe fei jumatatu utupie gazetini
 
Hapo umefanya assumptions.

Mwisho wa siku, hili suala linafanyika kisheria. Iwapo kuna upande wowote utaona hautendewi haki, zipo taratibu za kufuatwa ili haki itendeke.

Ndio maana kuna rufaa na CAS. Wanasheria wa Feisal wanayajua haya, ndio maana huwaoni kulalamika mitandaoni.
Sio assumption ni fact regarding source iliyoleta taarifa ni trustable

Hayo maswala ya kisheria wala sina shida nayo, hata ikitokea Feisal kashindwa kisheria ni sawa

Ila nacho hoji mimi kivipi swala hili liwekwe gizani?
 
unajitoa ufahamu. sasa watu hukumu waliipataje? detail kamuombe fei jumatatu utupie gazetini
Mi nasema nikiwa na mifano sisemi tu kwakua mimi nataka kuona jambo likifanyika hivyo (wishfully thinking)

Ungekuwa umefatilia kesi ya Morrison usingeandika hivi
 
Sio assumption ni fact regarding source iliyoleta taarifa ni trustable

Hayo maswala ya kisheria wala sina shida nayo, hata ikitokea Feisal kashindwa kisheria ni sawa

Ila nacho hoji mimi kivipi swala hili liwekwe gizani?
giza lipi?hukumu huwa haitangazwi hovyo hupewa wahusika,na kamati imesema hukumu ndio hiyo na mwrnendo wa shauri ambao ndio hutoa sababu kwani uamuzi huo umetolewa hivyo watapewa wahusika jumatatu,sasa hapa kuna giza gani?
 
Kesi ina conclusion ambayo haifahamiki imetumika kanuni gani kuhukumu yani kiufupi haina mchanganuo

Kwenye circumstances ya Morrison hapo watu waliweza ku question chochote ambacho hakikuwa clear ili ku prove kuwa kweli haki imetendeka

Kwanini swala la Feisal mchanganuo wa maamuzi yake ufanyike gizani?
we jamaa hili neno mchanganuo umelipata wapi? umeambiwa detail na vifungu ni jumatatu, na ukumbuke sio kesi mpya hii ni review ya kesi awali
 
Hoja yangu mimi ni kwanini hiyo hukumu isiwekwe open kila mfatilia soka ajue?

Kuna madudu ambayo TFF imefanya na haitaki watu wayaone kwasababu wataonekana hawajafanya haki?

Mbona kesi za kina Morrison kila kitu kilikuwa wazi?
yaani tff hii ya karia iwe upande wa yanga, acha utani bwana!
 
Back
Top Bottom