Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Ni adhabu kwa Fei, Mpira sio kama Mvinyo kwamba unavyokaa ndani muda mrefu ndo thamani yake inaongezeka! Mpira ukisugua benchi sana kiwango kinashuka na automatic bei au dau lako linaporomoka zaidi.Hii ni adhabu kwa Yanga au Fei?
Sijui kwanini watu hawaoni logic ya hii issue.