Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Siwezi kutetea Jambo lililo kinyume na sheria kisa mtaniita shabiki wa Yanga. Najua sheria nimeisoma sheria Kwa hiyo siwezi kukiuka taaluma yangu nikiogopa mtaniona shabiki wa Yanga. Tangu siku ya Kwanza nilisema Feisal hawezi kushinda mkaleta ushabiki.Wee kuna siku nilikuchana wazi, usijifichee wee ni shabiki wa yanga kuwa huruuu,.etii oooh mie shabiki wa mpira, niko neutral nasimama kwenye ukweli...