Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Kwani yanga ndio wamemtuma afanye hayo anayofanya?Kwani lengo la viongozi wa Yanga ni kushusha kiwango cha Fei?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yanga ndio wamemtuma afanye hayo anayofanya?Kwani lengo la viongozi wa Yanga ni kushusha kiwango cha Fei?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungesema mtoto wa porini kabisaaa ili hoja yako iwe na mashiko zaidi,We mtoto wa shambani huwezi kujua hiyo habari. Manara alikuwa mchambuzi wa Mpira, CHANNEL TEN, ITV, TVT (TBC), nk nk, kipindi hiko ITV wanaonesha UEFA nk.
We unahisi SIMBA walimchukua kwa bahati mbaya kuwa msemaju wao? Msemaji wa wa timu ya mpira hasa hizi timu za Simba na Yanga mara nyingi unatakiwa uujue mpira.
Adhabu zilizotolewa na Barbra ziliamuliwa na Mahakama?Wewe umesema mahahakama ndio zinapaswa kuhukumu...kwahiyo kipindi mlipokuwa mnamsimamisha morrison kucheza mlikuwa mnatumia mahakama gani?
Wewe ndio unijibu sio unaniuliza tena.. Maana umesema hukumu zinapaswa kutolewa na mahakama sio club..!Adhabu zilizotolewa na Barbra ziliamuliwa na Mahakama?
Basi kaa na mavi yako kichwani, usikariri maisha, watu wana msingi wao wa maisha, na kwa Manara basi alikuwa mchambuzi kama unavyomuona DAUDA na tena Dauda hamfikii huyo MANARA, uliza watu uambiwe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungesema mtoto wa porini kabisaaa ili hoja yako iwe na mashiko zaidi,
Hizo futuhi zako, aiiiiiiih hata sihitaji. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana nakuambia hoja yako ni irrelevant kwasababu inaonesha umeirukia tu post yangu bila kuielewaWewe ndio unijibu sio unaniuliza tena.. Maana umesema hukumu zinapaswa kutolewa na mahakama sio club..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo ulie?? Si uandike kwa utuilivu.Basi kaa na mavi yako kichwani, usikariri maisha, watu wana msingi wao wa maisha, na kwa Manara basi alikuwa mchambuzi kama unavyomuona DAUDA na tena Dauda hamfikii huyo MANARA, uliza watu uambiwe.
Hebu kwanza, kwenye shule ulizopita uliwahi kukutana na kitu kinaitwa Contract Law? Unafahamu maana ya confidentiality?Huna hata unacho kiandika, yaan TFF ishindwe kufanya sehemu yake kisa usiri wa Yanga na Feisal?? Tatizo hujataka kuwa muelewaaa.
TFF wanamtambua Feisal, sio mama yake Feisal. Hivyo basi, kama kuna demands zozote za kufanyiwa kazi kutoka upande wa Feisal, anatakiwa kuziwasilisha yeye au mwanasheria wake, sio mama yake!Mi sijasema anatambulika kisheria, nimebainisha kuwa msimamo wa Feisal ndio kile alichokizungumza mzazi wake
Kwa hiyo kama mzazi ali demand kila kitu kiwekwe bayana that's means na Feisal anakubaliana na kitu hicho
Tatizo hujataka kuwa muelewaaa, hebu tuishie hapaHebu kwanza, kwenye shule ulizopita uliwahi kukutana na kitu kinaitwa Contract Law? Unafahamu maana ya confidentiality?
Nisije nikawa napigia mbuzi gitaa.
Hauna hoja.Tatizo hujataka kuwa muelewaaa, hebu tuishie hapa
Lengo la viongozi wa Yanga ni kutoa darasa kuhusu nidhamu.Kwani lengo la viongozi wa Yanga ni kushusha kiwango cha Fei?
Mfano kipindi simba Wana Hali nzuri ya kiuchumi wangeweza kufanya hivi kuchukua wachezaji hata watano wa yanga wanaofanya vizuri.. Kwa njia hii ya kuvunja mkatabaAkili ndogo zilikua zinadai jamaa alikua sahihi kuondoka maana amesharudisha fedha.
Kwani kila mxchezaji akitaka kuondoka kama Fei itakuaje katika vilabu vyao? Éti usiporidhika na mshahara unaondoka
Hivi akijitokeza mtu mwenye uwezo wa kuwapa hela wachezaji kama watano waondoke kwenye klabu moja kwa mtindo wa Fei itakua kuna mpira tena?
Mbona jamaa alinikumbusha enzi za wanasiasa kuunga juhudi mkono. Chama kinalala na wabunge ishirini kinaamka na wabunge pungufu kisa hamahama?
Mimi sijui sheria ila nimetumiatu akili ya kawaida nahakuna klabu itakayokua dhaifu kiasi hicho.
Afanye ushawishi na sio kuondoka kitoto
Hapana hawakumtuma. Kwa hiyo objective ni ipi baada ya kuzikataa fedha zake? Wanachokitaka viongozi wa Yanga ni kumlazimisha Fei aichezee Yanga kwa kipindi kilichobaki? Kupata dau kubwa kutoka kwake? Au kushusha kiwango chake tu?Kwani yanga ndio wamemtuma afanye hayo anayofanya?
Mama yake anawakilishwa na mawakili, Mahakamani huko nafasi ya Feisal kuongea ni mdogo sana kuliko wakili wakeTFF wanamtambua Feisal, sio mama yake Feisal. Hivyo basi, kama kuna demands zozote za kufanyiwa kazi kutoka upande wa Feisal, anatakiwa kuziwasilisha yeye au mwanasheria wake, sio mama yake!
Itoshe kusema kwamba TFF hawawezi kufanyia kazi maneno ya mama yake Feisal.
Amemaanisha wanasheria waliobobea kwenye mambo ya ardhi.Wakati wenzio wanasoma sheria wewe ulikuwa unawinda ndege na Mzee wako mashambani.
Nani kakwambia kuna WAnasheria wa kesi za mashamba?
Anyway issue inaenda CAS ndio utajua Kati ya WAnasheria wa YAnga na Fatma Nani ni Bora !
Kwani vifungu vilivyomtia hatiani mwanzoni hadi rufaa yake inadunda umevisahau?..mbn unasahau haraka km ubongo wa kuku?Uonevu tu. Waweke hoja zilizobishaniwa na rejea za vifungu kila mtu aone.
Eng kasema wazi wanaomtaka walete dau sio janja janjaHapana hawakumtuma. Kwa hiyo objective ni ipi baada ya kuzikataa fedha zake? Wanachokitaka viongozi wa Yanga ni kumlazimisha Fei aichezee Yanga kwa kipindi kilichobaki? Kupata dau kubwa kutoka kwake? Au kushusha kiwango chake tu?
Sio lengo baya. Ngoja tuone kama upo sahihi. Viongozi wasije tu wakakusaliti.Lengo la viongozi wa Yanga ni kutoa darasa kuhusu nidhamu.
Wanamuuza Tsh ngapi boss?Eng kasema wazi wanaomtaka walete dau sio janja janja