Fei Toto kukata rufaa rasmi CAS aomba mchango wa pesa kwa Watanzania

Hivi zile milion 160 sijui alizowapa Yanga kuvunja mkataba nao wakamrudishia zilienda wapi? Si atukie hizo hizo tena zinazidi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zimeliwa urojo Zanziberi!
 
Utopolo acheni unyama....
 
😀😀😀 Mbumbumbu ni rahisi sana kudanganywa kwasababu wangekuwa na akili wasingemshangilia Manzoki kuja kusimamia uchaguzi
 
Huyu chalii kashapoteza dira kabisa
Alipewa kaz ya kumbikiri kafeli sana
 
Kuna gharama zipi wakati zinafanyika online gharama Bundle.

Ila upo vizuri yaani mpaka maamuzi ya CAS ushayajua yatakuwaje ,daaah umetisha kaka.

Ila yakiwa kinyume chake hamchelewi kusema Yanga kaiweka CAS mfukoni.
Nani alikuambia chenye gharama ni bundle?

Kasome gaharama zilizoorodheshwa na CAS wenyewe kabla hujaandika.

Halafu wapi nimesema maamuzi ya CAS nishayajua yatakuwaje?
 
Familia ya Soka ipo bega kwa bega na Feisal wakati huu akipambana na wakoloni wake.
 
akili hamna huyu bwa mdogo...
 
Yanga ni Taasisi ila wangeachana na hii ishu ya Faisal wamwambie aendelee na maisha yake amekosea ila sio kipindi cha kukomoana dogo alikosea na hajui kuwa kakosea waachane nae kuliko hizo mambo zinakokwenda...
Yanga wanaanzaje kumsamehe mchezaji ambaye haoneshi ushirikiano, na badala yake amechagua kuwa kiburi na mkaidi!!

Imagine mkataba kaingia na Yanga, lakini yeye anataka TFF ndiyo waingilie kati kuuvunja, huku akiwa hana sababu za msingi!
 
Akitokea FIFA wamemlima faini tutaendeleza mchango. Zile milioni 100 alizoweka kwenye akaunt ya Yanga baadae YANGA walimrudishia kashazimaliza?
Shangaz ndo alikua anazitumia
Kuzunguka na mafiles pale karume
 
Mbona rais anasema anakuingizia pesa wewe hutaki unarudisha unamwambia umetosheka Sasa mbona waja kuomba huku Tena? Okay sawa achana na hiyo weka benk A/C tukuchangie chap chap
nani anataka mshahara wa kimtego?. sawasawa tu anavyourudisha.
 
Hiyo Hela ya kumchangia Haina kazi labda.[emoji15]

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…