ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ile million 100 aliyoweka kwenye account ya Yanga si aipeleke CAS kama ana uhakika atashindaSijasema Yanga hana uwezo wa kulipa.
Nimesema Yanga hana maslahi kupeleka kesi CAS hivyo hawezi kukubali kutoa hiyo hela.
Kwenye kesi ya Morrison Yanga ndio waliotoa hela kule CAS baada ya Simba kuona kesi hiyo kwao haina maslahi kwasababu hapa walikuwa wameshinda.
Sijui kama umeelewa
Ebu kwanza tuambie Tff ndiyo imemuajiri fei? Fei alisign mkataba na nani? Je kuna vipengele vilivyovunjwa vya kimkataba kwa fei mpaka tff ivunje mkataba wa fei? Kama vipo vitaje, Nijibu kwanza ayo maswali alafu tuendeleeMbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?
Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair
Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Kwaiyo fei alisign mkataba wa upande mmoja na ndio maana kavunja peke yake au sio bwana mwanasheria?Hakuna mwamuzi wa mwisho kwenye kuvunja mkataba
Hakuna maamuzi yanayoruhusu upande wowote kuendelea kumng'ang'ania mtu pale ambapo yeye hana nia ya kuendelea kubakia
Nimeweka vifungu vya kisheria hapo, njoo na wewe na hoja zako ambazo ziko supported na sheria usije na speculations zako zakishabiki
Mnaingia king kwa vitu hamjui Feisal anataka TFF wavunje mkataba wakati hawana mamlaka kumbe huelewi nn kinacho endelea una payuka tuTanzania pekee ndio chama cha mpira kina haki ya kuvunja mkataba, ila huko duniani ni mchezaji ndio anavunja mkataba
Ni utaratibu upi ameufata tuambie? Ameenda kuzungumza na waajiri wake? Au utaratibu unaosema ni wa kuwataka tff wavunje mkataba wake na yanga?Yani kama hajafuata utaratibu basi ndio inafanya zoezi la kuvunjika mkataba liwe lepesi zaidi.
Na faini juu, ambapo kama Club inaweza kujipatia pesa kupitia makosa ya mchezaji.
Lakini hata baada ya maneno mengi kusemwa kuwa amevunja utaratibu na kuamua kufata utaratibu kuvunja mkataba bado maamuzi yaliotolewa yameonesha tatizo halikuwa kutofuata utaratibu
Bali tatizo ni Yanga hawataki mkataba uvunjwe, hivyo kwasababu yeyote ile huwezi kupatiwa unachokitaka
Vijana wa hivi ni hasara kwa TaifaEbu kwanza tuambie Tff ndiyo imemuajiri fei? Fei alisign mkataba na nani? Je kuna vipengele vilivyovunjwa vya kimkataba kwa fei mpaka tff ivunje mkataba wa fei? Kama vipo vitaje, Nijibu kwanza ayo maswali alafu tuendelee
Ipo wapi?kwani ile 110m aliowarudishia yanga si ipo? gharama ya CAS ni sh ngapi?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Hajalazimishwa alisaini mkataba.Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?
Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair
Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Yanga haikuwahi kumuita mezani Feisali kwa lengo la kuvunja mkatabaNani analazimisha? Yanga since day One walimwambia wakae mezani wajadiliane jinsi ya kuvunja mkataba na siyo kukurupuka unauvunja mkataba facebook/instagram na kuingiza pesa bila kukaa mezani na mwajiri wako,inaonekana haujawahi kufanya kazi zenye mikataba wewe....Ukitaka kuacha kazi lazima utoe notice kwa mwajiri either 1 month or 24 hrs ila huyu Amijei yeye hajatoa notice wala nini yeye kadumbukiza fedha kisha akavunja mkataba Instagram/facebook.
Mikataba ya mipira ipo wazi haivunjwi kienyeji enyeji ,ingekuwa inavunjwa kienyeji enyeji ipo siku utakuta simba mmebakia na MO tu,wachezaji wate wamevunja mkataba facebook nyinyi mkakuta fedha kwenye account halafu hapo hapo mna mechi ndani ya siku 3,utafanyaje?
Amijei amekurupuka ,wamemdanganya ,asichokijua mshahara ni bargaining kati ya mwajiri na mwajiriwa ,ndiyo maana wote mnaweza kuwa same position lakini mkazidiana mishahara ,kama yeye aliona analipwa kidogo kuliko azizi ki ,mkataba ulipoisha hapo mwanzo asingeongeza.
Na wewe kuna wakati uwe unafikiri kabla ya kuandika. Kwa akili yako unaona ni sahihi huyo Dogo kwenda TFF kuomba mkataba wake na Yanga uvunjwe?Mbona mnalazimisha kubaki na mtu ambaye amewakataa?
Bodi ya TFF nayo ni kwasababu imejaa mashabiki ndio sababu tumekuwa tukishangazwa na maamuzi yao ambayo mostly ni unfair
Dogo kapeleka hoja ya kuvunja Mkataba baina yake na Yanga, maamuzi yanayokuja eti Feisali bado ni mchezaji wa Yanga. How could this be relevant?
Hii ni pumbaYanga haikuwahi kumuita mezani Feisali kwa lengo la kuvunja mkataba
Anayetakiwa kumuita mwenzake mezani ni Yanga, au ni Fei Toto? Acha kujidhalilisha.Yanga haikuwahi kumuita mezani Feisali kwa lengo la kuvunja mkataba
Tatizo wengi mnaongelea speculations wakati mimi natumia references za CAS.Elimu Elimu Elimu ,Nyerere alizungumzia Umuhimu wa katiba ,Katiba ndiyo sheria Mama ,Hauwezi kukurupuka asubuhi umepata ushauri kutoka kwa mkeo halafu unakuja kuiplement nchini ,hii nyerere alimaanisha lazima ufuate katiba/sheria na si kukurupuka.
Ni kweli mkataba una pande mbili na kati ya hiyo yoyote anaweza kuvunja na kila pande kuna taratibu hata mwajiri akikurupuka tu kuvunja mkataba inabidi akulipe pesa ndefu sana kama hajafuata taratibu ,the same kwa fei(mwajiriwa) hawezi kukurupuka kuvunja mkataba bila kufuata sheria ,mwajiri akitaka kuvunja mkataba kwanza inatakiwa aongee na mwajiriwa kisha atoe notice ya mwezi mmoja kwamba mwezi ujao sitoendelea na mkataba kisha ampe stahiki zake kimkataba na hivyo hivyo mwajiriwa akitaka kuvunja mkataba inabidi atoe notice kwa mwajiri wake either 1 month notice or 24 hrs ,Sasa Amijei yeye alilipa tu fedha kisha akavunja Mkataba instagram/facebook hajakaa mezani wala kuwapa taarifa waajiri kama ana nia ya kuvunja mkataba.
Sasa hii ulitakiwa umuandikie shabiki mwenzako ambaye alidhani Yanga walimuita Feisali kwa lengo la kuvunja mkatabaHii ni pumba
Yanga wamekuambia wana haja ya kuvunja mkataba mpaka wamuite
Feisal ndo anataka kuvunja mkataba na sio yanga
Post zilizopita nimeelezea hilo, rudi nyuma usomeEbu kwanza tuambie Tff ndiyo imemuajiri fei? Fei alisign mkataba na nani? Je kuna vipengele vilivyovunjwa vya kimkataba kwa fei mpaka tff ivunje mkataba wa fei? Kama vipo vitaje, Nijibu kwanza ayo maswali alafu tuendelee
Hivi mpaka ukamuelewa mtu anatakiwa akuambie mara ngapi?Ni utaratibu upi ameufata tuambie? Ameenda kuzungumza na waajiri wake? Au utaratibu unaosema ni wa kuwataka tff wavunje mkataba wake na yanga?
Ona hii Bush lawyer inavyotaka kujifanya ni Wakili Msomi.iii) Player has no obligation or automatic right to remain employed by the club
When considering the consequences of terminating a contract, a player cannot be obliged to remain employed by the club with which the contractual relationship has been terminated under any circumstances (whether the termination was with just cause or without just cause). Nor can the club be obliged to (re)employ the player. If one party decides unilaterally to terminate a contract prematurely, the contractual relationship between the parties ends. In the event of a dispute, the party in breach will be liable to pay compensation and sporting sanctions may be imposed on it, but no request for reinstatement of employment can be made, or considered. This principle has been confirmed by CAS,215
Familia haishabikii Yanga. Hiyo ni bahati moja wapo ya kuepukwa na hasaraKama una familia ina hasara sana