Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

Feisal Salumu: Nimeondoka Yanga kutokana na manyanyaso, nilizungumza na Rais wa Yanga kwa saa 6, nikamwambia nataka kuondoka

So ukidhalilishiwa mama Yako saivi uitiwe wewe njoo hapa kwanini umechelewa ndio maana mama Yako ni mavi maana wewe ni mdogo bado unakaa hapo ukiwa mkubwa unakaa tu maana wewe ni upo yanga hivi ukionewa hela haiji Kwa wakati unatishiwa maisha,unateswa hupewi mahitaji unakaa tu unatukaniwa familia unakaa tu . Wewe ni wale ambao mke anamtusi na kumvua mama Yako nguo hujali walahuumii
Exact Kuna wanaume humo Hawajui thamani za mama zao Ndo maaana sijui na Ndo wake zao wanawashika masikio kutukana mama zao wanaona kawaidaa TU
Na ndo wanaita mama zao wachawi hawa
 
haaaa....eti alitoa pasi kwa Mayele akakosa goli akaambiwa anauza mechi...[emoji2][emoji2][emoji2]
Utoto huu
Kipanya amemwambia Fei kuna jambo halisemi ili kumsitiri kiongozi wa Yanga. Msimamo wa Fei ni mkubwa mno kwa manyanyaso ya kawaida. Kama hakuna timu inamtaka basi kuna jambo Fei kaamua kutokulisema maana kapelekwa hadi kwa mashekhe, kapewa ofa ya m30 ila kagoma. Wakili wake anasema hakuna timu inataka mchezaji mwenye mgogoro hivyo Fei anajua kashikilia makali lakini kaamua kuyashika hivyo hivyo.
 
Kwanini isiwezekane? Kwani Malaika?

Huyu si aliita mashabiki wa Yanga wala mihogo, huyu si aliwapigia Video call Kisinda na Razak wakiwa Berkane kuwa wakija Dar atawasaidia kuwapa mbinu ya Simba.
Ina uhusiano gani na kumtukana mzazi?!
 
Ni mara ngapi yanga imeshtakiwa na makocha na wachezaji Kwa kutofuata mkataba uliosainiwa? Unatanguliza ushabiki badala ya kutumia akili.
Samatta aliwahi kuwagomea Simba Kwa kutotekelza mkataba kama ulivyotaka. Klabu za kariakoo hasa Yanga sio ya kuiwekea dhamana.
Afu Wana roho mbaya saña
 
Feisal kanifundisha kitu kimoja, ni muhimu sana kujua kuongea. Kijana hayuko vizuri kwenye kuzungumza, hafahamu nini cha kuzungumza na kipi asizungumze
 
Nawaambia kuna kitu kizito Fei anakificha kukisema nadhani ni cha aibu na hakina uthibitisho....so ngoja tuone kuna siku mambo yatakua hadharani.
 
Bongo ubabaishaji ni mkubwa sana .amini usiamini ukisikia mchezaji kapewa Milion 50 sijui ngapi .ujue kabisa ni uongo ni katika kupamba tu hayo magazeti Huwa yanapozwa yaongeze sifuri mbili kweli .

Wachezaji WA kitanzania Huwa wanapewa mwisho Milion 10 signing fees.

Magezeti sasa ndio mlipuko sio WA kawaida

Hata hiyo Milion 4 tunayosikia alikuwa akilipwa pia usikute sio kweli

Mshahara usikute ni laki 7 tu .

Bongo nyoso


Kama ni kweli feisal hiki ndicho kukuta basi nipo radhi kukuchangia uende cas


Yanga Kuna watu Wana roho mbaya sana ila kucha kutwa kuvaaa kanzu nyeupe kujifanya watu safi.
Hakuna tajiri mwenye roho nzuri
 
1685604923283.png
 
Back
Top Bottom