Kwani shida ni construction yenyewe au pesa?, swala sio ukubwa wa project ila ni makubaliano ya pande mbili ndo kuna shida, maana serikali inatoa requirements zake kwa wazabuni wanao omba tender pamoja na kuangalia uwezo wa kumpuni kujenga ( Technical & financial capabilities), pia wazabuni huandaa technical design ya mradi huo , layouts baada ya kutembelea eneo husika, baada ya hapo wana toa taarifa kwa wahusika, wana review kama kuna marekebisho utaenda kurekebisha, layouts ndo inaonyesha workload ya kazi yote na muda utaokaotumika katika kujenga huo mradi, baadaye wanakuja na project milestone kuanzia contract signing, payment yaani serikali kufaya malipo kwa mzabuni, mzabuni kuandaa vifaa baada ya kupokea malipo, manufacturing, shiping, clearance, office setup in Tz, site acquisition, site clearance,project inauguration /Kickoff meeting hadi kuanza site/project implementation na phase zake zote, hii duration yote huwa imekuwa reviewed by both two parties, agreed and compiled in contract and signed, lazima mjiridhishe kila kitu na kutambua matatizo yote ya mradi kwa pande zote mbili, watalaam wetu wote pande mbili wanajua na walikubaliana, kama ni three years basi ni miaka mitatu tu na kama kuna delay basi mzabuni hutoa taarifa na kuakaa kuzungumza, kwa hiyo sio sahihi kuja na kusema kwa kuwa mradi wa xxx mdogo ulijengwa kwa miaka 10 basi huu ni miaka 20 in which basis? , kwani katika mazungumzo ya awali , technical discussion hamkuona hilo? sasa kuna haja gani ya kuwa na watalaam wasio jua kitu hadi waanze kazi bila kujua na leo ndo wana kuja na blablabla?
In facts, ngoja tuseme ukweli, miradi mingi or breach of contracts nyingi chanzo kikubwa ni pesa, sijui agreements za serikali za mzabuni wa Nyerere hydropower project, but i'm sure kwa serikali hii, sijui kama inatekeleza makubaliano, ndo maana wana rukaruka, serikali hii ni broke, hawana pesa, katibu wa wizara hajengi bwawa, yeye ni facilitator tu na mpokeaji wa taarifa za ujenzi kutoka kwa mjenzi, hivi leo hii huyo Mzabuni baada ya kujenga phase 1 akakuambia unajua ujenzi huu sio wa miaka 20 huu unachukua miaka 40 katibu mkuu atakubali tena? thats what we agreed? ni lazima uwe na akili ya kulogic kwanini under evaluation stage hukusema kitu kama hicho? hiyo ni breach of contract, lakini i'm sure 100% serikali haitoi pesa , wanatufuta tu huruma kwa wananchi.