Ficheni ila wenye Watu wetu ndani ya Yanga SC wametuambia kuwa hizi ndizo sababu za Senzo Mbatha Kuwakataa

Wanayanga tutapinga kua sio kweli

Wanasima watasema ni kweli.

Ndivyo ilivyo.
 
Propaganda fc naona wapo kambini
Wao kila wanacho kifanya yanga kwao ni kibaya tu
Wakileta wachezaji ni wabaya
Wakileta Coch kwao ni mbaya
Wakifanya dili lolote kwao ni mbaya
Yaani kwa yanga hakuna njema dah
Ok endeleeni na propaganda zenu

Mbona haujatoa sababu zake za kutoka simba sasa
 
Simba walishapoteana tangu msimu uliopita wamebaki na Majungu na kuanzia tarehe 13 watabaki na swaga za Yanga ana nunua mechi.
 
Ww kinyeo fc
Unasumbuka Sana

Yanga moja na mwaka huu

Kombe tunabeba tripple
 
Wewe ni muongo , muhuni , laghai
Intalahamwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kumuuza vipi mchezaji ambae mkataba wake umeisha na hivi sasa ndo Kwanza wanafanya mazungumzo ya kuongeza mkataba

Wachezaji wote wa Yanga waliosainiwa last season ambao sio wazawa walikula mwaka mmoja mmoja, na alieonesha kuimpress ndio ataongezewa mkataba,kwahiyo ata kama Mayele angeamua kwenda kaizer angeenda kama free Agent

ila akiangalia vile anapata support akiwa bongo/umaarufu/kupendwa na yanga alafu akimbilie sehemu yenye ushindani anahisi yatamkuta ya kambole kwahiyo Bora atulize boli tu asinye mkataba mpya

aende south Africa kule Nani atampa Ng'ombe, Ng'ombe wa kule ni wa maziwa, ambao wafugaji ndio huwategemea kama chanzo cha kipato, kwahiyo kumpa mtu zawadi ofisi yako ni uongo

All in All siku hizi jamaa yetu umekuwa kama Kigogo wa Twitter, baada ya Raisi magufuri kufariki huna tena tena za ndani wa wala za Nje, unabwabwaja tu
 
Una uharo wewe si bure.
 
Hyo sababu ya mwsho nmeona kama ina sound iv..wajnga wamecheza na namba ili wawafurahishe mashabik...ila ukwl yanga haina dhaman ya kudhaminiwa kwa hzio b12
 
1❌Mimi nilishtuka sana kuona Msola dakika za mwisho ghafla kusikia hagombei

❌Nilishangaa sana kuona mgombea uraisi anamponda mgombea umakamu mmoja huku akitumia muda mwingi kumnadi mgombea mwingine ambaye ana connection na mzalisha magodoro

❌Nilisikitika sana kuona siku kombe limeingia hapa mjini, wakawa wanapiga ibada za dini fulani pekee bila hata kujishtukia

♦️Matendo yote yalinipa alarm kuwa ndani ya kundi kuna mtifuano wa ndani kwa ndani wa kikundi fulani chenye maslahi yake ku dorminate timu katika kila idara
 
🤔🤔🤔 Siku zote umbea auna posho👗👗👗👠👠
 
Kwa hiyo umeokewa na senzo na unamuwakilisha
 
Akili za luchelele hizi, punguza bangi

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…