FIFA inatakiwa kuwaondoa Senegal World Cup kwa mchezo mchafu dhidi ya Egypt

dunia nzima ipi??? Sisi tumefurahi Sana Egypt kutolewa, tena waanzilishi wa hizo tochi ni wao waarabu, wakafiee mbele,

labda fifa ya nyoko
 
Kuna msemo wa kiarabu unasema (Kamaa Tadiinu Tudaanu) Utakavyofanya Ndiyo Utafanyiwa

Acha Waarabu waipate kwakuwa waliwafanyia wenzao Kitambo...!
 
Itakuwa wew n fata mkumbo mpira huujui nenda kaangalie bongo movie
 
vp na hawa walifungiwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…