[emoji28][emoji28][emoji28][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787] haahaahaa nimecheka kwa sautiWe nipoteze tu but at least am always stress free...
Kama kuoa, ni hadi nizeeke zeeke kwanza... nifike 50 hv, halafu nazoa gume gume lolote lile!
Hapo kanuni itakuwa: sikupendi na wala sihitaji upendo wako; na ukinipenda ni kiherere chako cha ku-divert kazi ya moyo wako!
Ama kweli dunia sio fair kabisa. Wakati wengine wanawapata watoto bure tena kwa kupata utamu kisha wanawatupa; wewe umespend Mil. 70 kwa ajili hiyo!Baada ya kukataliwa na wanawake wote nilio-waaproach, finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda
Gharama nilizotumia ni million 70 zinajumuisha gharama za hospital, kumlipa mwanasheria, kumlipa surrogate mother na kununua Yai la kike
Mapenzi hayalazimishwi
Fertilization inafanyika maabara kisha yai hilo linapandikizwa kwa mwanamke wa kulipwa (Surrogate Mother) ili kuikuza mimba hadi kujjfungua.Sijaelewa ..
Sasa fertilization ilitokea wapi/tumbo lA nani!?
Kwa milion 70 labda Kama unatugaia, wengine tumepataga watoto kwa pesa ya lodge tuHongera sana kaka. Surrogate inafanyika hapahapa Tanzania? Au upo nchi za nje? Na watoto watanyonyeshwaje? Hii ni dawa nzuri kwa wanawake maana wamezidi kuringa kila kukicha. Wanaume tuige huu mfano
Wahuni hao wala msiwasikilize wanaajenda zao za kihuni,huwezi kuikataa nature yako.Usisahau Culture Me naye alipata mtoto kwa njia hii bila kuwa na baba. Alinunua s.perms! Hivyo si tu wanawake na wanaume pia
Hiyo waliosoma veterinary wanaita moetFertilization inafanyika maabara kisha yai hilo linapandikizwa kwa mwanamke wa kulipwa (Surrogate Mother) ili kuikuza mimba hadi kujjfungua.
Kisu kimegusa mfupa, ushoga sio mzuri acha tafadhaliWanawake wa Tanzania punguzeni njjaa na poor mindset. Milion 70 ni kama Dola 34,000 unadhani hiyo hela hakuna watanzania wanayoweza kuiteketeza Kwa starehe Tu ?
Hii nchi raia tunakosa exposure kabisa hadi unadhani Dola 34,000 ni hela nyingi saaaaaaana Hadi kufikia kumuita mtu shoga.
Acha uongo mkuu kama una uwezo wa kugharamia hiyo huduma kwa milion 70 hivi Ni mwanamke gan hapa mjini atakukataa la sivyo utuambie hizo pesa hazijatoka mfukoni kwako umefadhiliwa.Mpango wa kuoa nilikua nao na napenda sana ndoa Ila ndio hivyo huwezi Amini niliambulia vibuti
Huwezi amini hakuna hata mmoja yaani surrogate imenitibu moyo wangu uliokua umepondeka pondeka
Ni kwanini walikuwa wanakupiga vibuti?Mpango wa kuoa nilikua nao na napenda sana ndoa Ila ndio hivyo huwezi Amini niliambulia vibuti
Huwezi amini hakuna hata mmoja yaani surrogate imenitibu moyo wangu uliokua umepondeka pondeka
70 Million ni pesa ya kawaida, ila usitugeneralize mana ni perception yake.Wanawake wa Tanzania punguzeni njjaa na poor mindset. Milion 70 ni kama Dola 34,000 unadhani hiyo hela hakuna watanzania wanayoweza kuiteketeza Kwa starehe Tu ?
Hii nchi raia tunakosa exposure kabisa hadi unadhani Dola 34,000 ni hela nyingi saaaaaaana Hadi kufikia kumuita mtu shoga.
Mim nimekosa ndo maana nikaamua kutumia surrogate kujenga familia unaweza usiamini Ila ndo uhalisia na ukweli wewe mwenyewe mwanaume usiyekua na hisia naye huwez mkubali
I mean awatafutie #georgina at least they got someone to call mamaWatoto wa Christiano ronaldo wale Mapacha Walipatikana Kwa surrogate Wana maisha mazuri kuliko mamilion ya watoto duniani wenye wazazi wote wawili
Ndio maana nikamuambia ukiwa mpambanaji a.k.a hustlers hio ela unaipata ndani ya mda mfupi sanaWanawake wa Tanzania punguzeni njjaa na poor mindset. Milion 70 ni kama Dola 34,000 unadhani hiyo hela hakuna watanzania wanayoweza kuiteketeza Kwa starehe Tu ?
Hii nchi raia tunakosa exposure kabisa hadi unadhani Dola 34,000 ni hela nyingi saaaaaaana Hadi kufikia kumuita mtu shoga.
Watanzania inabid watu wabadilike kufikiri tunakariri sana maishaWatoto wa Christiano ronaldo wale Mapacha Walipatikana Kwa surrogate Wana maisha mazuri kuliko mamilion ya watoto duniani wenye wazazi wote wawili
Mfano sababu za wewe kukataa mwanaume ndo hizo hizo walizokua wanatumia kunikataaNi kwanini walikuwa wanakupiga vibuti?
We huwajui wanawake na hela zako unakataliwa vizuri tu Tena na sio mmoja Bali wengiKuhusu Hisia labda huko nchi zilizo endelea lakini kwa bongo hawaangalii Hisia wala nini [emoji108]
Bongo wanawake wanaangalia kipato cha Mwanaume zaidi kuliko kuona kama anampenda Mwanaume na kuwa na hisia naye au la.
Ni kama ulivyoelezea hapo juu uzoefu unaonesha wanandoa wengi wanachepuka Na maEXs sababu ya kukosa hisia toka Kwa wake zao wa ndoa.
Sasa mke anapokutazama kama anavyotazama kaka yake au Baba yake unategemea nini Kwa mfano?!
Uanabaki mazoea tu ilimradi siku ziende!
Wanakukataa vizuri tu money is not everythingAcha uongo mkuu kama una uwezo wa kugharamia hiyo huduma kwa milion 70 hivi Ni mwanamke gan hapa mjini atakukataa la sivyo utuambie hizo pesa hazijatoka mfukoni kwako umefadhiliwa.
Hapana mkuu, mama yangu sio mjinga. Lakini wamama wengine wote duniani na mabinti zao ni mbwaNa mama yako