Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate


Hongera sana ndugu
 
Hakuna cha majibu ya mantiki na logic kila mtu ana uhuru wa kuishi maisha ayatakayo
Mara unakubali huwezi kujenga hoja kimantiki.

Halafu hapo hapo unakanusha umuhimunwa kujenga hoja kimantiki.

Hata hapo unaonesha huwezi kujenga hoja kimantiki.

Hilo la uhuru si kitu ambacho kimebishiwa.

Wewe ni jama mtu unayesisitiza damu ni nyekundu, wakati hoja haikatai damu ni nyekundu, inaukiza kwa nini damu ni nyekundu.

Mimi: Kwa nini damu ni nyekundu?

Wewe: Ndivyo ilivyo.

Mimi: Sawa ndivyo ilivyo, lakini kwa nini ni nyekundu?

Wewe: Ina uhuru wa juwa rangi yoyote, imeamua juwa nyekundu.

Mimi: Ndiyo ina uhuru, lakini kwa nini imechagua kuwa nyekundu?

Wewe: Ndivyo ilivyo.

Huna majibu ya kimantiki.
 
Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake
Mkuu hayo maswali kwa watoto utakuja kuyajibu?
 
hata nikikujibu kimantiki huna msaada wowote kwenye maisha yangu in-short uniongezei chochote au unipunguzii choote
 
Siwez juta kwa sababu plan A technically has been failed, I don't love the strategy but I love the results don't blame me instead blame game
 
Umuefanya Jambo zuri na lakutukuka .
Wanawake wa Tz ni zaidi ya uchafu
Mtu Kama una hela Huwezi kukubari kuzaa na hawa Malaya wa Tz wachafu , wazinzi hawajui kulea watoto Wala kupika na kufua hata Mungu hawamjui
 
Ni ngumu sana kuishi na mwanamke asiyekua na hisia na wewe hata uwe trillionnaire akishakuja kwako lazima atatafuta mwanaume ambaye Roho yake inapenda na ndo usaliti unapoanza Sasa kwanin kupotezeana mda nawakati science imefanya mambo mengi kuwa possible
 
Wewe ngumbaru hujui hata herufi za Kiswahili, hujui tofauti ya "unipunguzii" na "hunipunguzii".

Ndiyo maana wanawake wanakukataa domo zege ngumbaru wewe.
Sawa mim ni ngumbaru nilishakuja kukulia shida mim siwez kukudharau sababu sikujui na sijafundishwaga kumdharau mtu nisiyemjua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…