Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Na sisi ndio tuliompa umaarufu.Sana. Wacha tumkomeshe. Atashuka kiwango mpaka aje kuchezea kitayosa. Yeye leo ndo wa kujifanya kuiponda Yanga na huku alikuja mweupe tu Yanga tukamjenga.
Wabongo ni nuksi sana...wanafiki..walozi ..😂😂😂 wabongo hata wakiachana huwa hawapendi wenzi wao wafanikiwe
Familia yake inatuhusu nini? Yeye tumemjenga sisi.Sasa Mumroge na Kumtupia majini mnataka akae kimya..
Mmesahau ana familia inayomuhitaji
Siku zote mimi Upande wangu ndo sahihi.Hii habari natamani kui support ila sababu kaandika huyo chizi maarifa basi lazima mayele kuna sehemu kakosewa. Huyo Chizi Maarifa hajawahi kukaa upande sahihi,
Na bado mpaka aje kuchezea Kitayosa FC.Umenichekesha sana. Amesema jioni atakuwa live, ngoja tuone atasemaje.
Kashindwa kufanya vizuri Afcon anatusingizia sisi.
Atatumia lugha gani kuyasema, maana naona kiswahili fasaha kimempita kando 😂😂atakua live kuyasemayote
Hiyo hiyo swahili yake mbovu...atasumbulia nayoAtatumia lugha gani kuyasema, maana naona kiswahili fasaha kimempita kando 😂😂
Maji yakifika shingoni......Eti majini 😂😂😂😂
Huyu mkongo jau alooo!!
Ndo mnataka mumbomoe 😂😂😂Familia yake inatuhusu nini? Yeye tumemjenga sisi.
Umeshapata jina 🤣🤣🤣Majini Sc mjitathimini mambo ya kurogana ninya kishamba
Iko nasubiri iyo swahili ake mpovu wenda batamueleba😂😂Hiyo hiyo swahili yake mbovu...atasumbulia nayo
Sensa ya mwaka gani hii mkuu😃😃Yanga wenye akili hawafiki watatu.
Kaenda kwa mwamposa kuchukua Upako kabisa 🤣🤣🤣Hii picha yake akiwa na Mwamposa ina reflect malalamiko yakeView attachment 2901558
Tunaondoa matofali yetu sasaNdo mnataka mumbomoe 😂😂😂
Hakika tupo wachache sana, vipi wewe uko upande upi🤣Mie nadhani Tanzania nzima wenye akili timamu ni wachache sana
Boo....Fiston amekolea lubumbashi..hiyo fasi wanasumbulia bien swahili hivyo hkn matata kwakeIko nasubiri iyo swahili ake mpovu wenda batamueleba😂😂
🤣🤣Kama katupiwa majini mrushieni life jacket atoke aje nchi kavu
Jamaa inaonekana amedumu muda mrefu akiwa na maumivu bila kufungua mdomoKaenda kwa mwamposa kuchukua Upako kabisa 🤣🤣🤣View attachment 2901600