Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema ilianzishwa kama chama cha mabepari yaani capitalist party kinachoamini kwenye capitalism

Waanzilishi walikuwa matajiri na walitoa pesa na mali zao nyingi ndani na nje kukiendesha

Ushindi wa Lisu kuwa chama kimechukuliwa na walalahoi wasio na hela .Kitapata shida sana kujiendesha
Sababu wengi wa walalahoi waliochukua chama ni wale wanaowaza chama kitawafanyie nini
sio wao wakifanyie nini.

Wengi walikuwa wakilia pesa haziwafikii matawini chini ili wale

Je Lisu kwenye uongozi wake ataliweza hilo asipoliweza ataingia kwenye mtafaruku na hao wa matawini muda si mrefu.Uchaguzi mkuu unakuja watataka apeleke pesa huko matawini ambazo hana

Na matajiri wenye pesa wataondoa mitaji na pesa zao Chadema baada ya mshika fuko.lao Mbowe kuondoka uongozi

Kwa sasa Chadema hakitakuwa na mvuto tena kwa matajiri
Wee mwana ccm Peleka una mawazo mgando, na mjipange mwezi wa kumi lissu anachukua nchi
 
Chadema ilianzishwa kama chama cha mabepari yaani capitalist party kinachoamini kwenye capitalism

Waanzilishi walikuwa matajiri na walitoa pesa na mali zao nyingi ndani na nje kukiendesha

Ushindi wa Lisu kuwa chama kimechukuliwa na walalahoi wasio na hela .Kitapata shida sana kujiendesha
Sababu wengi wa walalahoi waliochukua chama ni wale wanaowaza chama kitawafanyie nini
sio wao wakifanyie nini.

Wengi walikuwa wakilia pesa haziwafikii matawini chini ili wale

Je Lisu kwenye uongozi wake ataliweza hilo asipoliweza ataingia kwenye mtafaruku na hao wa matawini muda si mrefu.Uchaguzi mkuu unakuja watataka apeleke pesa huko matawini ambazo hana

Na matajiri wenye pesa wataondoa mitaji na pesa zao Chadema baada ya mshika fuko.lao Mbowe kuondoka uongozi

Kwa sasa Chadema hakitakuwa na mvuto tena kwa matajiri
Mawazo ya hovyo sana
 
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.

View attachment 3209693
In the name of God, GO!
 
Sio kwa ubaya ila yeyote atakayekaa pale juu, kuna wa juu yake zaidi atakayemfanya kuchukiwa na hawa hawa wenye matumaini chanya kwa sasa!

Labda pengine wameona Mbowe anafaa kugombea uraisi ndo maana wamemtoa kwenye uenyekiti; kitu ambacho itakuwa ngumu kumnadi kwakuwa wajumbe wamemtema!

Vyovyote vile, mihemko ndo imemuweka Lisu madarakani, wazaramo wanasema sijui, zitendwa mbali, zirongwa mbali.
- Lisu alifaa kuwa MWENEZI, wangetafuta mtu wa kumbadili Mbowe ila sio Lisu.
Mehemko haijamuweka lissu madarakani, if ingekuwa mihemko kuna watu wawili pale juu wangeshinda hiyo nafasi na si yeye
Lissu amehiweka wazi sana, hizi vision ku kuki structure cha upya again, na amejipambanua. Haiwezekan wajumbe wote wawe wamepiga kura kisa mihemko na si logic
 
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.

View attachment 3209693
Hongera FAM Kwa kuwa mkweli na mwandemokasia wa kweli.
 
Nawashauri ccm chama changu!rudini Dodoma mkasafishe uchafu wa juzi!!katafuteni mtu strong wa hoja akakabiliane na hoja za lisu!!

Huyo mama hawezi kabisa kumkabili huyu jamaa!
 
Mbowe alishindwa kuusoma upepo toka mwanzo,angeweza kuikwepa aibu hii kwa kutogombea, mwisho yamemkuta.
Kama hujui siasa utaona ni aibu.

Kwa chadema ni kete nzuri ya kuwaaminisha wananchi uomavu wao wa mchakato wa demokrasia.
 
Nawashauri ccm chama changu!rudini Dodoma mkasafishe uchafu wa juzi!!katafuteni mtu strong wa hoja akakabiliane na hoja za lisu!!

Huyo mama hawezi kabisa kumkabili huyu jamaa!
tuliwaambia mwisho wa ccm ni 2025 hawakuelewa na tunamshukuru Mungu kawapiga upofu pale dodoma,so the bad is coming soon
 
Back
Top Bottom