Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tundu Lissu sio mtu wa ku negotiate nae hata kidogo, so kuanzia ndani ya CHADEMA watashindwana sana na migogoro itakuwa mikubwa na CHADEMA ifakufa siku hadi siku.

Pili, upande wa Chama Tawala, Tundu Lissu sio mtu wa kuongea nae jambo lolote la kiuongozi na kukubaliana nae kwa siri, anasema kila kitu hadharani akitoka tu anaita wana habari anamwaga upupu wote, so CDM kwa maana nyingine haita aminika ndani ya CDM yenyewe na upande wa Chama Dola yaani CCM, sbb ya Lissu, hivyo CDM inaenda kupukutika kabisa najua ngumu kuamini..! Time will tell..!!
Hiii nikawahida ya viongozi mafisadi,wezi,hawan hofu ya Mungu,kuuza marighafi za nchi..... Asante Mungu kwa kutuletea kiongozi bora lissu Msema ukweli,mwadilifu,na mwenye hofu ya Mungu.
 
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.

View attachment 3209693
Kaonesha ukomavu wa kisiasa.
Good start for Lissu.
 
Tundu Lissu sio mtu wa ku negotiate nae hata kidogo, so kuanzia ndani ya CHADEMA watashindwana sana na migogoro itakuwa mikubwa na CHADEMA ifakufa siku hadi siku.

Pili, upande wa Chama Tawala, Tundu Lissu sio mtu wa kuongea nae jambo lolote la kiuongozi na kukubaliana nae kwa siri, anasema kila kitu hadharani akitoka tu anaita wana habari anamwaga upupu wote, so CDM kwa maana nyingine haita aminika ndani ya CDM yenyewe na upande wa Chama Dola yaani CCM, sbb ya Lissu, hivyo CDM inaenda kupukutika kabisa najua ngumu kuamini..! Time will tell..!!
Tuhuma zako ni nyingi? Je hauna hata kamfano kamoja?
 
Let ua wait and see kama ataleta katiba mpya, tume huru..... Mropokaji kinachofuata ni jela, kama slaa "risasi" zingine maana hana mtetezi sasa na Nairobi haipo
Una akili mbovu sana aisee!
 
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.

View attachment 3209693
 

Attachments

  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 1
Huyo kapoteza credibility na vile vipeperushi vyake havina tofauti na yale magazeti ya Musiba enzi za Magufuli.
Hakujali au hakujua kuwa ana biashara yake ya vitabu, na wateja wake wengi ni wakunja ngumi, sasa hivi itakuwa ngumu sana. Ingawa maisha lazima yaendelee.
 
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.

View attachment 3209693
Haya matokeo yamewashangaza kina Lusungo Fundi Mchundo King Kong III FUSO Stuxnet na Team Mbowe.....ila tafadhalini sana msiuhujumu uongozi mpya wa Chadema (natania tu).....😂😂
 
Haya matokeo yamewashangaza kina Lusungo Fundi Mchundo King Kong III FUSO Stuxnet na Team Mbowe.....ila tafadhalini sana msiuhujumu uongozi mpya wa Chadema (natania tu).....😂😂
Kwa kuona kuwa una haja ya kutuambia kuwa unatania kunaonyesha kuwa hautanii.
Kitu usichoelewa tulichokuwa tunapinga ni kumtaka Mbowe asigombee na hivyo kumnyang'anya haki yake. Kwa maoni yangu ni matokeo mazuri kwa sababu:
1. Watu wa Lissu walikuwa wamejitayarisha kwa shari kama angeshindwa.
2. Hicho mlichoshinda ni poisoned chalice. Mtajua namaanisha nini honeymoon itakapoisha.

Amandla...
 
Kwa Miaka 33 CHADEMA imekuwa ikiongozwa Kwa influence ya Mzee Mtei na Sasa Tundu Lisu ametamatisha rasmi utaratibu huo

Kuanzia Sasa Chadema itaongozwa Kwa mujibu wa Katiba yake na Siyo vinginevyo

Kibiblia mwaka wa 33 ni wa Ukombozi

Ahsanteni 😀
 
Wakati namfatilia Mh, Mbowe nilikuwa nashindwa kumuelewa katika mambo yafuatayo.

Anatoka familia bora
Amewahi kufanya Kazi BOT
Amewahi kuwa Mbunge miaka 15


Ila bado anakosa hekima ya step down na Kulinda heshima yake mpaka unaondoshwa Kwa nguvu.


Napata wasiwasi na kuamini labda alikuwa double agents.
 
Back
Top Bottom