Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Ndiyo maana asilimia kubwa wamefoji vyeti
 
Plans za kuuza viongozi??
Duuh!!!

Now this sums up all.

Kumbe , Ile kauli ya Chochochoko,

Ilimaanisha Kuna watu Wanajiandaa kufanya matukio.

Sasa nimeelewa.

Lakini kwanini mtu aue wenzake ili ashike Dola??
 
Hii issue anaijua Mbowe mwenyewe mzee wa matukio, hata kama ange debate katiba Mpya je ingepatikana vipi uitakayo wakati huo huna wabunge wa kuitetea bungeni? wazo la katiba sio baya ila linahitaji nguvu ya pamoja ya wananchi sio mtu mmoja.
 
Mama anaupiga mwingi sana😂😂😂
 
Plans za kuuza viongozi??
Duuh!!!

Now this sums up all.

Kumbe , Ile kauli ya Chochochoko,

Ilimaanisha Kuna watu Wanajiandaa kufanya matukio.

Sasa nimeelewa.

Lakini kwanini mtu aue wenzake ili ashike Dola??
Kuna uwezekano akapewa hata kesi ya kuchoma soko la kariakoo
 
People are making a mountain out of a mole hill .
Ni stori ndogo tu ya silaha moja iliyopotea armory ya Jeshi,sasa Mbowe ameshakuwa gaidi.
Kwamba CCM ilishinda mysteriously viti vyote vya Bunge haiwekewi màanani.
Ndiyo yale niliyoandika mwanzo,kwamba Tundu Lissu hawezi kurudi Tanzania.
It is like this. Kulikuwa na hizi incident KABLA ya Uchaguzi,ambazo ziliwafanya CCM wakasirike,na kuteka viti vyote vya Bunge.
Lakini sasa baada ya kuandika haya,labda na Mimi nitaunganushwa katika kesi,niraitwa haini au swaini.
Kuna kitu kinaitwa Nirvana. Kwamba,kama watu wanaishi maisha reasonable,wana sera nzuri za maisha,basi,uhasama kati yo lazima upunguke siku bàada ya siku. Nani alimshuti risasi Tundu Lissu. Kwani Tundu Lissu siyo kiongozi wa Chadema?
 
Wewe ni tahadhali gani ulichikuwa ukawa safe mambo mengine kaeni kimya mkiyasikia kifo cha bwana yule ni siri kubwa ! Zaidi ya kuambiwa alikuwa anatatizo la moyo huna mengine unabumbabumba!

Kwamba akae nani kimya? Zipo sababu 4 za mtu kufa zinazojulikana na kukaa kimya si ufumbuzi:

Kwa mujibu wa watumishi Mungu wabobevu:


Sisi wahanga watarajiwa kwa sababu yake tulisema, tunasema na tutaendelea kusema:


Zipo sababu za msingi za kusema sana tu.

Mkuu FUSO hawana la kututisha mburula hawa.
 
mimi ni mwanainch wa kawaida sijawah kupigia kura ccm.haiji kutokea
 
Huyu DJ naye kazidi!! NAni TZ hii alimtuma kutusaidia kudai katiba?? Au anaamini katiba mpya itamfanya awe rais? Sifa za kijinga.
Hilo ndio lengo Lao.

Hizi kelele za katiba mpya ni danganya toto tu lakini lengo ni kuingia madarakani
 
Ukhanithi mtupu!!
 
Huyo jamaa ndivyo alivyo mkuu. Yeye akishindwa hoja kazi yake ni kutukana tu
 
Samia will be the worst President ever. What a shame.

Hana hata miezi 6 kaanza kuact hivi, huyu si anaweza kutaka kutawala milele kama atapewa upenyo?
Hahaahahhahaahhahaahah. Sio Magufuli tena?? Ni Samia sasa sio??? Nyinyi watu akili zenu ni fupi.

Mwanzo mlisema Kikwete ndio worst president ever, then mkasema Magufuli is the worst president ever and now Mama Samia???

Tunawaangalia tu hahahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…