wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Acha kuidharirisha nchi na usalama wake.Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?
Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Pole kama tuko pamoja.Thibitisha kama nilishangilia.!!
Jifunze kuandika.
Vipi wewe bado hawajaja kukupekua dada?Hivyo ndivyo wanavyopanga
Siko pamoja na wewe.!Pole kama tuk
Pole kama tuko pamoja.
Vijana wa bavicha walishangilia kifo chake na ndo nawasemea.
Thibitisha tuhuma zako.Bavicha ni mashetani
Vipi wewe hawajaja kukupekua mkuu?samia afanye udikteta tu lakini mashirika ya Kimataifa na Nchi za wafadhili zikiamua kutotoa mikopo na misaada kutokana na nchi kukosa demokrasi hapo ndiyo Watanzania watatia akili kichwani kwani ugumu wa maisha utaongezeka mara tatu ya ilivyo sasa na Serikali itakuwa haina jinsi bali kupitisha fagio la chuma Serikalini litakalosomba Wafanyakazi wengi sana.
Aliambiwa na mama akoMbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.
Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.
Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?
Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503
Acha uongo! Nashangaa kwanini wewe hawajaja kukupekua mkuu?Hata mahakama ya uhalifu wa kimataifa ICC sasa wanaanza kuangazia hilo taasisi za haki za binadamu zote wameona uonevu mateso waliofanyiwa wananchi kule mwanza, hii inaenda kumletea chuki kubwa Mama na itaharibu mazuri machache aliyokuwa kaanza kuyafanya
Shoga wewekuna mahali mlikosea kulea hii tabia ya kigaidi ikashamiri.
tena walijipenyeza kila mahali bila kujua. wapo ndani ya mfumo wanawatumikia magaidi. Hakikisheni mnasafisha mnyororo wote wa kigaidi.
Watz hawahitaji magadi mkuu.Pesa ya walipa kodi zinatumika hovyo kukandamiza demokrasia kwa njia haramu za kishetani, wametumia gharama kubwa kumsafirisha mbowe tokea mwanza hadi huko Dsm kwenda kusachi nyumbani kwake ni Aibu iliyoje
Kafi.rwe ukoMbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.
Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.
Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli
Ndiyo maana LISU alikuwa wa kwanza kusema Magufuli anaumwa na hatapona.
We kiumbe ni katili sana ata familia yako ipo nyuma yako kwa kukuogofya ila sio kwamba inakuheshimuBavicha ni mashetani
A leopard can't change its spots. CCM ndio ile ile.Dah ubambikaji kesi umeanza Tena? Wadau hao wawekezaji kweli watakuja?
Uko mjinga sana kagonoke upigwe pipeSerikali ina mkono mrefu unaweza kuona kama hakuna kinachoendelea kumbe mambo fire
Hii nayo inaweza ikawa hadithi tamu kuisikiliza.Magufuri alikuwa na kirusi karibu yake ndo maana walijua mpango wa kufariki kwake wakaijidai kwenda Tanga
Kagonoshwe uchanwe lindaKIPI mkuu?