Koho kohoWampekue vizuri maana binadamu ni watu wenye mambo mengi sana wanayo ficha
Indeed!Ngoma inogile.
Mbowe atajulikana dunia nzima kama mpigania haki za Watanzania.
Samia atajulikana dunia nzima kama dikteta wa kwanza mwanamke Africa.
Gaidi Magufuli ameshakufa, yamebaki masalia yakeTupe taarifa wewe unajua nini kuhusu ugaidi wa Mwenyekiti wako mkuu?
Sio kirahisi hivyo acha kutisha watu ni Rais huyu huyu aliwahi kusema bado hawana uweo wa kumkamata Kigogo? Magu alijaribu akashindwa,unadhani Google wako tayari kuruhusu kuingilia faragha za watu kijingajinga tu hivyo, Haya basi tuleteeni KIGOGO si yupo hapa nchini! si mna mauwezo, nasema tena kwa hali ilivyo ndani ya chama cha mapinduzi kwa sasa hakina ushawishi wa kisiasa, ili kiendelee kuwepo lazima kitumie nguvu,CCM inapigania Roho muionee huruma tu maana matendo yake na maamuzi yake ya sasa hayatofautiani na ya mtu anayetoka usingizi wa nusu kaputi,ukimuona mwanasiasa anaishiwa uongo tambua anguko lake liko karibu.Acha sheria ichukue mkondo wake, mbona dogo una haraka gani? Na kwa taarifa yako messages zako zote kwenye simu au computer yako hata ukizi delete kwenye device yako bado zinaweza kuwa retrieved from google. Hata maongezi yako kwenye simu yote yanaweza kuwa retrieved from google kirahisi tu. Hata wewe uliyejificha humu Jf kwa pseudo identity wakitaka kupata identity yako ni rahisi tu kupitia google. Usidhani umejificha na kwamba unaweza kufanya ugaidi wasikutambue. Ndiyo maana Osama bin Laden hakuwa na simu wala electronic device yo yote. Ndiyo maana zoezi la kumpata au.kupata ushahidi ya tuhuma zake zilikuwa ngumu sana. Halafu jua kwamba siyo kila kesi inayoendeshwa mahakamani iwe ya hadhara. Kesi inaweza kuendeshwa under camera.
JE kweli hayo yanatokea moyoni mwako?Mbowe and his fellow tricked us by using agenda of "Constitutional reforms" as a shield while knowing that would be arrested any time in connection with terrorist act.
they will be charged with the offence of terrorist Not for demanding constitutional reforms.
Neno ugaidi lina maana kubwa sio kama wengi wanavyofikiri
umejuaje kama kabambikiwa?Time will tell, unafurahi watanzania wenzako kubambikiwa makosa ya kumnyima dhamana. Muda utaongea!
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?
Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.