Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Hata myie mnaofanya "mema" muda wenu ukifika na nyie mnakwenda tu.Huu ujinga wote wanaopanga wana mkataba na mungu? Wataishi milele? Magufuli alifanya vyote vibaya leo hayupo hata yeyote afanyae mabaya ipo siku atakwenda tu
Potelea nyanda za juu kusini.Hata mahakama ya uhalifu wa kimataifa ICC sasa wanaanza kuangazia hilo taasisi za haki za binadamu zote wameona uonevu mateso waliofanyiwa wananchi kule mwanza, hii inaenda kumletea chuki kubwa Mama na itaharibu mazuri machache aliyokuwa kaanza kuyafanya
Amani ndio jambo ambalo hatuwezi ku-compromise. Tunataka Watanzania waishi kwa amani ndani ya nchi yao.Pesa ya walipa kodi zinatumika hovyo kukandamiza demokrasia kwa njia haramu za kishetani, wametumia gharama kubwa kumsafirisha mbowe tokea mwanza hadi huko Dsm kwenda kusachi nyumbani kwake ni Aibu iliyoje
Yaani mateso kila siku ni kwa Chadema tu??Vurugu zipi? Wananchi wapi unawasemea? Hivi Unafikiri wananchi ni wapumbavu kama wewe? Wananchi wanaona wanaujua ukweli acha kuendekeza njaa zako kujinufaisha kupitia uonevu unyanyasaji uovu mateso ya kishamba kwa chadema
Tulivyokuwa tukiwaeleza kwamba muwe na adabu si mlisema mtamnyoa mama???Nchi ilikuwa imeanza kwenda vizuri lakini wajinga wachache kwa masilahi yao badala ya masilahi ya kitaifa wameamua kumshauri mama afanye udikiteta wapate kutimiza lengo lao, mama kuwa makini na washauri wako maana sasa wanaenda kukuharibia sifa zako zote
CCM ya sasa inachafua taswira ya Tanzania,ni muda sasa tuchukue hatua,mimi naanza kwa kususia system zao za kodi...sitatumia miamala ya simu kutuma hela,
Mbowe atakuwa huru tu wote waliojaribu kumumbikizia kesi waliondoshwa tunajua mungu atamlinda yu wapi yule waliyetaka kumuongezea muda
Kwani mama ni mtoto mdogo anashauriwa vibaya akubali kila kitu msimdharau hivyo. Please!Nchi ilikuwa imeanza kwenda vizuri lakini wajinga wachache kwa masilahi yao badala ya masilahi ya kitaifa wameamua kumshauri mama afanye udikiteta wapate kutimiza lengo lao, mama kuwa makini na washauri wako maana sasa wanaenda kukuharibia sifa zako zote
Very good, CCM Ni ileile mwendo uleule, kubambikiza watu kesi. Mama ajiandae kwa mwisho mbaya kama mwendazake
Na wapekuaji watapekuliwa na nani kwani wao ni binadamu pia?Wampekue vizuri maana binadamu ni watu wenye mambo mengi sana wanayo ficha
Acha dharau apotoshwe yeye mtoto mdogo. Huyu ni Rais ana uwezo mkubwa kuliko unavyofikiria wewe.Washauri wa mama acheni kumpotosha apate kuja kuwa Rais mwanamke wa kwanza Tanzania ambaye amekosa utu na haki za binadamu
[emoji106]Ukishika mkia wa mnyama mkali lazima akushughulikie. Ukikaribishwa sebuleni usifanye haraka kutaka kuingia chumbani bali subiri ukaribishwe chumbani baadaye. Vingenevyo unaweza ukafikiriwa kwamba wewe ni mwizi kumbe siyo. Hekima inatakiwa unapotekeleza- mikakati ya kukabiliana na adui/mshindani wako. Amemlazimisha mama kwenda maili nyingi. Ajiandae !
Uwezo mkubwa unapimwaje?Acha dharau apotoshwe yeye mtoto mdogo. Huyu ni Rais ana uwezo mkubwa kuliko unavyofikiria wewe.
Sasa huo ugaidi wanaoulilia utakuja kujitokeza kweli
Mnamwita Mama amewazaa?Ukishika mkia wa mnyama mkali lazima akushughulikie. Ukikaribishwa sebuleni usifanye haraka kutaka kuingia chumbani bali subiri ukaribishwe chumbani baadaye. Vingenevyo unaweza ukafikiriwa kwamba wewe ni mwizi kumbe siyo. Hekima inatakiwa unapotekeleza- mikakati ya kukabiliana na adui/mshindani wako. Amemlazimisha mama kwenda maili nyingi. Ajiandae !