Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Una ufinyu wa akili huwezi kuelewa nilichoandika. Soma mstari mmoja mmoja labda utaelewa nilichoandika. Ndiyo matatizo ya kusoma shule za kata. Eti misaada imepunguzwa na nchi wafadhili kwa kuikandamiza Chadema.🤣🤣🤣🤣🤣

Kweli Askofu Bagonza hakukosea aliposema tulipokuwa na Chuo Kikuu kimoja nchini hatukuwa na Wapumbavu wengi kama ilivyo sasa. Kuongezeka kwa vyuo vikuu nchini kumekuwa na negative impact kwani Wapumbavu pia wameongezeka kwa kasi ya kutisha.
Ni upumbavu mkubwa kwenda kaziba barabara kushusha wananchi kwenye mabasi kuwakata kumsafirisha mbowe tokea mwanza kwenda Dsm kukamata laptop yake ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi
 
Hata myie mnaofanya "mema" muda wenu ukifika na nyie mnakwenda tu.

Msitishe watu na kifo
Kwani Afrika kusini ya juzi walitishwa? uonevu unyanyasaji uovu mateso yenu kwa wapinzani ndiyo vitisho vya kunyamazisha watu kwa njia haramu za kishetani
 
Viongozi wa chadema mipango yao ya siri inafahamika
kwa sasa hakuna tena siri maana Makamanda wengi wa ukweli wapo nje ya Chadema na wanajua mikakati na figisu zote zinazo fanywa na viongozi wa chadema.
Polisi inataarifa zote za muhimu kupitia Makamanda wazalendo wa Taifa.
Hakuna cha Siri wala mipango yeyote na Polisiccm hawana taarifa yeyote zaidi ya wewe na wajinga wenzako kutengeneza propaganda na mazingira ya kishamba kidwanzi ili mpate kisingizio cha kuwabambikia kesi, acheni ujinga mungu anawaona, mama alianza vizuri lakini nyinyi wajinga mmemshauri vibaya ataenda kuitia Doa demokrasia ya Tanzania
 
Wasijisahau, kulikuwa na maombi ya awamu ya tano, na Mungu kayajibu. Wasitulazimishe tufunge ili yatokee tena.
Kuna wanufaika wa uonevu huko CCM wamegundua endapo hakuna uonevu hawapati pesa, wamemchochea mama afanye unyanyasaji uovu kwa wapinzani ili wapate kisingizio cha kuvuna pesa kwa kisingizio cha operations
 
Mie sielewi nini kingeharibika, iwapo wangefanya kongamano lao la katiba? Hakuna jambo lolote lingetokea, hakuna sheria iliovunja, mambo mengine mnayakuza bure, eti polisi anasema awajui kama mkutano ulitaka kufanyika ni wa adhara au wa ndani! Inabidi tuwaelimishe polisi maana ya mikutano na aina na tofauti kati ya adhara na ndani!
Katiba mpya ijayo iwe na Sheria juu ya ajira za Polisi, lazima Polisi wote wawe na Elimu ya juu na ufaulu mkubwa, waacha kuajiri wale wa division 4 form 4
 
Nani kakwambia upinzani ni tishio kwa usalama wa taifa nje ya wakati wa uchaguzi watz wanajielewa.
Sema kama mnataka kupigia dili kupitia gharama za kupambana na upinzani.
Wajanja wamelipana posho eti kwa kisingizio cha kuwadhibiti chadema ambao hawana madhara yeyote,
 
Ni ile kesi ya mwaka jana inarudiwa au? Na huo ugaidi aliufanya saa ngapi ? na wapi ?
aliufanyia chumbani kwake akiwa na mkewe......tz imekuwa nchi nzito sana. ndiyo sababu tuliambiwa na daktari wa uchumi tuhamie burundi
 
Anapapara nyingi sana mbowe hana maamuzi yaliyotulia 2023 apewe msigwa tu hiki kiti
 
Hata mahakama ya uhalifu wa kimataifa ICC sasa wanaanza kuangazia hilo taasisi za haki za binadamu zote wameona uonevu mateso waliofanyiwa wananchi kule mwanza, hii inaenda kumletea chuki kubwa Mama na itaharibu mazuri machache aliyokuwa kaanza kuyafanya
Nakumbuka ile aliyosema huku kalegeza mimacho "mataifa ya nje wanatuangalia sasa na waandishi wa kimataifa wanakuja kwa ajili ya RE=Branding Tanzania. " sasa ni kipindi muafaka cha Re branding Tanzania. Kumbe wanawake wanaweza kuwa madikteta
 
CCM is shooting itself in the foot.

Now Al-Jazeera and BBC World sre talking about Mbowe and constitutional reform in Tanzania.
They have been talking about such events since time immemorial with no effects.

Labda kama ukiona media za nje zimeripoti, unapata psychological relief. Probably that's what they need.
 
Wapinzani wapinzani hii nchi sijui vp
wamepata walichokitaka, wameongelewa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, Samia ameshapata doa kwenye uongozi wake, alikuwa ameanza kwa kusifiwa na media za nje kwa kuirudisha demokrasia na utawala bora...sasa hivi wanaojiita wanaharakati kama akina Maria wanasherekea kwa sababu relevancy yao inabaki and wanatengeneza mpunga zaidi !
 
Wajanja wamelipana posho eti kwa kisingizio cha kuwadhibiti chadema ambao hawana madhara yeyote,
True watazugazuga siku mbili wanamuachia chao washaweka mfukoni.
Check inatoka inaandikiwa pesa ya kumkamata pesa milioni 10 wanagawana,wabongo Fursa kila kitu,mbinu nyingi Sana za kutafuna kodi zetu kwa operation zisizo tija.
 
They have been talking about such events since time immemorial with no effects.

Labda kama ukiona media za nje zimeripoti, unapata psychological relief. Probably that's what they need.
What do you mean by "no effect"?

What metrics are you using in a country where practically everything important is afflicted by "no data available"?

Are you so medieval and brute that you don't care even about the country's image?

Have you read Amnesty International's release on the matter?

Can you honestly say this does not have any impact when Tanzania is donor dependent when it comes to fulfilling its budgetary obligations?

Do you want to validate the people who say Tanzania is an undemocratic shithole?
 
wamepata walichokitaka, wameongelewa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, Samia ameshapata doa kwenye uongozi wake, alikuwa ameanza kwa kusifiwa na media za nje kwa kuirudisha demokrasia na utawala bora...sasa hivi wanaojiita wanaharakati kama akina Maria wanasherekea kwa sababu relevancy yao inabaki and wanatengeneza mpunga zaidi !
Mama ilitakiwa apate personal mentor wa kumsaidia kufikiri Ili kumshape na sio hawa wanafiki wapo kazini kumuharibia.
Hii ni michezo inachezwa na jiwe gang.
Wapo kimkakati zaidi 2025.
 
Baada ya upekuzi wa Polisi kukamilika nyumbani Kwa M.Kiti Mbowe, tumepokea taarifa za kushtua na kushangaza kuwa Polisi wamemwambia kuwa ataunganishwa kwenye kesi ya Ugaidi na watuhumiwa walioko gereza mojawapo DSM.Tutaendelea kutoa taarifa za kina hapo baadaye.

View attachment 1862953


Acheni woga buana
 
Back
Top Bottom