Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapiga kelele hapa ,na kujitutumua,siku ya tatu hii haujalipwa buku 7...eti wananchi ndio nyinyi...WEZI WAKUBWA,MAJAMBAZI YA KURA..PAMBAFFWananchi ndo sisi bro, the majority, kinukisheni ndo utajua wananchi ni wapi hasa.
Mwendazake alikuwa mbabe mwisho akaishia ukingoni...The World is looking closelyUkishika mkia wa mnyama mkali lazima akushughulikie. Ukikaribishwa sebuleni usifanye haraka kutaka kuingia chumbani bali subiri ukaribishwe chumbani baadaye.
Vingenevyo unaweza ukafikiriwa kwamba wewe ni mwizi kumbe siyo. Hekima inatakiwa unapotekeleza- mikakati ya kukabiliana na adui/mshindani wako. Amemlazimisha mama kwenda maili nyingi. Ajiandae !
Hio gharama bora wangewapa wanakijiji wangejenge hata vyoo vya shule tuepuke aibu ya kujengewa na mabeberu.Pesa ya walipa kodi zinatumika hovyo kukandamiza demokrasia kwa njia haramu za kishetani, wametumia gharama kubwa kumsafirisha mbowe tokea mwanza hadi huko Dsm kwenda kusachi nyumbani kwake ni Aibu iliyoje
True mwendakombo ajawahi shinda chochote dunia hila bila kubebwa,phd alibebwa,ubunge alipiga figisu kupita bila kupingwa,udereva alipewa.Uchaguzi upi ulimchagua magufuli? Mwananchi yupi? Kura zipi? Tume upi? Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani tu
Nani kakwambia upinzani ni tishio kwa usalama wa taifa nje ya wakati wa uchaguzi watz wanajielewa.Hayati alipowanyoosha hawa watu mlimvaa mkasema dikteta [emoji2]... Nyie hawa watu wana siasa za kitoto na chafuzi zisizovumilika!!! Demokrasia haiko kwa kiasi hiko bwana! Wala huyu bi mkubwa hapati laana yoyote lazima awanyooshe hawa watu kwa maslahi ya Taifa.
vipi bibie hujaanza hash tag za free mbowe? wenzio wanakula msoto wewe uko kwenye keyboard yaani hamnaga akilim kabisa nyie mbururaHivyo ndivyo wanavyopanga
Unajibu kitu ambacho sijakiandika [emoji2]Nani kakwambia upinzani ni tishio kwa usalama wa taifa nje ya wakati wa uchaguzi watz wanajielewa.
Sema kama mnataka kupigia dili kupitia gharama za kupambana na upinzani.
Hakuna jipya chini ya Jua , Makaburu walimpa Mandela kesi ya UGAIDI.Hivyo ndivyo wanavyopanga
Chukua kinachokuhusuUnajibu kitu ambacho sijakiandika [emoji2]
Mabeberu gani walimpa mkopo,au unaongelea ADB.Nani kakudanganya vyama vya upinzani ni CHADEMA? mnajiita chama kikuu cha upinzani na hamna hata wabunge, chama cha upinzani kinacholazimisha vurugu ambazo wananchi hawaziungi mkono wafadhili gani hao wataokisikiliza? kama JPM licha ya kuwakalia kooni na kuingilia maslahi yao hao mabeberu bado akihitaji mkopo walimpa sembuse huyu mama alowalegezea?
Msihofu kwani hata Mandela aliwahi kutuhumiwa na kufungwa kama Gaidi lakini hata siku moja dhulma haishindi hakiBaada ya upekuzi wa Polisi kukamilika nyumbani Kwa M.Kiti Mbowe, tumepokea taarifa za kushtua na kushangaza kuwa Polisi wamemwambia kuwa ataunganishwa kwenye kesi ya Ugaidi na watuhumiwa walioko gereza mojawapo DSM.Tutaendelea kutoa taarifa za kina hapo baadaye.
View attachment 1862953
Kongamano la katiba hupekuliwa na Polisiccm?Wampekue vizuri maana binadamu ni watu wenye mambo mengi sana wanayo ficha
HakunaChukua kinachokuhusu